Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,902
- 3,984
Hayo maswali kwa sisi wa Dunia tambarare nasi tunayauliza labda majibu yatoke kwa dunia mviringo, angalizo tuu hakikisha wanakupa mfano tofauti na wa inzi kwenye basi.Naomba kupatiwa majibu na pande zote mbili au kwa upande ambao utakuwa na majibu.
1. Kama dunia inazunguka katika mhimili wake kwa speed kali sana, timing ya ndege kwenye kutua inakuwaje? ( Chukulia mfano zile mashine zilizopo gym kwa ajili ya speed, let say imewashwa na inazunguka kwa speed kali, alaf unaambiwa urukie na kuanza kukimbia juu yake.
2. Na bakia hapo hapo kwenye ndege. Kutokana na speed kali ya mzunguko wa dunia hakuna uwezekana wa ndege wakati inatarajia kutua A, ikajikuta inatua point B?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa kuna mambo ya physics..nguvu ya mvutano. Dunia inapozunguka inafanya vitu vyote viwe kwenye mzunguko sawa na wa dunia.. chukulia mfano kwenye gari linapokuwa kwenye mwendo. Ukiwa kwenye basi unakuwa na speed sawa na ya basi..nikuulize swali, ukiwa kwenye basi lililoko kwenye mwendo, ukirusha juu chungwa litaangukia wapi? Ukipata jibu hutashindwa kupata majibu ya maswali yako.Naomba kupatiwa majibu na pande zote mbili au kwa upande ambao utakuwa na majibu.
1. Kama dunia inazunguka katika mhimili wake kwa speed kali sana, timing ya ndege kwenye kutua inakuwaje? ( Chukulia mfano zile mashine zilizopo gym kwa ajili ya speed, let say imewashwa na inazunguka kwa speed kali, alaf unaambiwa urukie na kuanza kukimbia juu yake.
2. Na bakia hapo hapo kwenye ndege. Kutokana na speed kali ya mzunguko wa dunia hakuna uwezekana wa ndege wakati inatarajia kutua A, ikajikuta inatua point B?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa unapaswa kuelewa mambo ya altitude (meinuko).. kwamba huko yanakoelekea kuna mwinuko mdogo ukilinganisha na huko yanakotoka.Kuna swali moja huwa najiuliza, inakuwaje maji ya mto Nile yanaflow kutokea East Africa na kwenda hadi Mediterania? Yawezekana swali langu ni la kizushi, ila kulingana na structure ya Spherical earth, nilitegemea yashuke South. Ni kitu gani kinayapandisha kule?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu kwa kuonesha nia ya kunifumbua macho. Kulingana na structure ya dunia mviringo ilivyo, inaonesha north pole ipo juu na south pole ipo chini, alaf mabara mengine yapo kati. Yani ni kama mtu akiwa upright, kichwa na miguu ni north na south pole respectively. Alaf huyo mtu akiwa anajizungusha ndio sawa na dunia inavyojizungusha kwenye mhimili wake.Hapa unapaswa kuelewa mambo ya altitude (meinuko).. kwamba huko yanakoelekea kuna mwinuko mdogo ukilinganisha na huko yanakotoka.
Kulinga na maelezo ya flat earthers niliyoyaona humu :Kama tukisema dunia ni kama meza tujiulize maswali haya matatu..
1. Nini imeshikilia dunia..au tuseme dunia imesimikwa kwenye kitu gani?
2. Jua likizama linaenda wapi hadi lije kuibuka pale pale lilikochomozea siku iliyotangulia?
3. Ni kwa vipi tunapata kupatwa kwa mwezi kama dunia ingekuwa flat??
Ninachoona unachanganya ni namna unavyoona ramani ya dunia inavyokuwa inaonyeshwa. Actually kaskazini sio juu ila ni namna tu ya kuonyesha muelekeo..kwa hiyo..imezoeleka kuwa Kaskazini ni uelekeo wa mbele kwenye ramani (sio juu) wakati kusini ni nyuma...na hapa tunachukulia pia sehemu jua linapochomozaAsante mkuu kwa kuonesha nia ya kunifumbua macho. Kulingana na structure ya dunia mviringo ilivyo, inaonesha north pole ipo juu na south pole ipo chini, alaf mabara mengine yapo kati. Yani ni kama mtu akiwa upright, kichwa na miguu ni north na south pole respectively. Alaf huyo mtu akiwa anajizungusha ndio sawa na dunia inavyojizungusha kwenye mhimili wake.
Sasa swali langu linakuja hapa, huyu mtu akiendelea kuwa upright, ni vigumu kwa yeye kushika kimiminika alaf kikaflow kuelekea kichwani.
Tukirudi kwenye dunia, naomba kujua hizo altitude zimekaa vipi hadi flow ya maji ielekee mediterania na sio chini?
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mkuu, yawezekana hapo ndio pananichanganya mimi. Tukiachana na ramani tunazoona, dunia kama duara imekaaje kiuhalisia? Pia mhimili wake unapita wapi?Ninachoona unachanganya ni namna unavyoona ramani ya dunia inavyokuwa inaonyeshwa. Actually kaskazini sio juu ila ni namna tu ya kuonyesha muelekeo..kwa hiyo..imezoeleka kuwa Kaskazini ni uelekeo wa mbele kwenye ramani (sio juu) wakati kusini ni nyuma...na hapa tunachukulia pia sehemu jua linapochomoza
Oval shape..kwa ukubwa wake huwezi kuona kama ni duara sehemu uliyopo..lakini ni uduara unaojitokeza kidogo kidogo..walioenda angani wana mengi ya kutuambiaSawa mkuu, yawezekana hapo ndio pananichanganya mimi. Tukiachana na ramani tunazoona, dunia kama duara imekaaje kiuhalisia? Pia mhimili wake unapita wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Oval shape..kwa ukubwa wake huwezi kuona kama ni duara sehemu uliyopo..lakini ni uduara unaojitokeza kidogo kidogo..walioenda angani wana mengi ya kutuambia
mkuu kwani hii imeshikiliwa na nini unahoweza kukithibitisha?Kama tukisema dunia ni kama meza tujiulize maswali haya matatu..
1. Nini imeshikilia dunia..au tuseme dunia imesimikwa kwenye kitu gani?
2. Jua likizama linaenda wapi hadi lije kuibuka pale pale lilikochomozea siku iliyotangulia?
3. Ni kwa vipi tunapata kupatwa kwa mwezi kama dunia ingekuwa flat??
Usiwaze saaanaa..jiulize jua na mwezi vimeshikiliwa na nini?mkuu kwani hii imeshikiliwa na nini unahoweza kukithibitisha?
Jibu laje mi mwenyewe bado najiuliza yani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama dunia ni flat surface, na jua linaizunguka (kulinga na picha/GIF zilizotumwa) nilitegemea jua lingekuwa linachomoza upande wa kaskazini, alaf kadiri ya linavyozunguka basi likazamie kusini, ila uhalisia upo tofauti"
Natanguliza shukrani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema inazunguka ardhi pamoja na anga lake la juuNaomba kupatiwa majibu na pande zote mbili au kwa upande ambao utakuwa na majibu.
1. Kama dunia inazunguka katika mhimili wake kwa speed kali sana, timing ya ndege kwenye kutua inakuwaje? ( Chukulia mfano zile mashine zilizopo gym kwa ajili ya speed, let say imewashwa na inazunguka kwa speed kali, alaf unaambiwa urukie na kuanza kukimbia juu yake.
2. Na bakia hapo hapo kwenye ndege. Kutokana na speed kali ya mzunguko wa dunia hakuna uwezekana wa ndege wakati inatarajia kutua A, ikajikuta inatua point B?
Sent using Jamii Forums mobile app