Habari za namna Dunia ilivyoumbwa zinapatikana katika kitabu cha Mwanzo, tena Mwanzoni kabisa....
Hebu soma vizuri utaigundua shape ya Dunia kama ni duara mviringo au duara tambarare.
Halafu humu hatubishani kipi ni sahihi kiumbo ila tunatakiwa tutafakari zaidi na zaidi.
Niwaulize Mnaopinga Dunia Flat.
Kuna kipi mnachokijua ktk Dunia Duara Mviringo ambacho Tunaoamini Dunia ni Flat hatukijui?
Basi tulivyofundishwa tukaendelea kuhoji tukafundishwa tena Dunia Flat ilivyo.. na baada ya hapo tukaanza kutafuta ukweli....
Sasa wewe usiyeisoma elimu ya Dunia flat unawezaje kumpinga mtu mwenye hiyo elimu uliyonayo ya dunia mviringo na akaongezea na nyingine ya dunia flat.?
Jifunzeni kutafiti kabla ya kujibu. We unaona Jua linatembea, mtu anakuambia limesimama unamuamini...
Hiyo hiyo biblia uliyoitumia reference ina andiko la watu kuomba Jua lisimame waendelee kupigana vita bila usiku kuingia, kwanini hawakuomba Dunia isimame?
Kama kuna Sattelite kwanini gharama za mawasiliano ni tofauti kati ya simu za ndani ya nchi ma nje ya nchi?...
Asolimia zaidi ya 90 mawasiliano yanatumia cable zilizosambazwa chini ya bahari dunia nzima, kwanini?
Hapa unakosea sana mkuu, hizo cables unazozungumzia zitakuwa fible optics ambazo bongo zimetandazwa juzi tu. Nakupa mfano kijijini kwetu ni very interior hata umeme hakuna ila kuna jamaa ana DSTV na Azam anaonesha mpira hizo signals za madish yake zinatoka wapi wakati hizo cables unazozungumzia hazijafika huko? Au ndo hiyo asilimia kumi inayobaki kwenye 90 ulosema? Au ni mnara mrefu aliosema yule jamaa?
Jamaa wa spice x ametangaza hapo mbeleni atawezesha mawasiliano ya internet kwakutumia sattelite, ina maana hazipo kwasasa?
Angalau hii project unajua na unakubali kwamba ipo, wenzio wanaona kila kitu uzushi
Fanyeni kugooogle Google Map wanatumia nini kupiga picha ziitwazo za sattelite. Camera zinafungwa kwenye mapashuti yenye uwezo wa kwenda juu zaidi kwa ajili ya nini na kuna sattelite?
Hapa ndo unakosea zaidi kweli baloom iweze kupiga picha Aerial ya nchi au bara zima?
Highest height ya baloon kufly unaijua mkuu au unaongea tu?
Halafu unazungumzia kutafiti huo utafiti wako umefanyia wapi mkuu?