The World is a flat plane and not a globe

The World is a flat plane and not a globe

Tatizo lako neno satellite unafikiri ni chombo kinachoelea angani chenye kupitisha mawasiliano ila in reality sio kweli ni mchezo tu unaochezwa na unawaamini kwahiyo ni ngumu kuelewa.
Ndo maana zinaitwa satellite dish mkuu, zinachukua signal direct kutoka kwenye satellite.

Sat finder unaifahamu mkuu, kama unaijua huwa inatafuta minara au?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huamini ni ballons mkuu?kwanini usitafiti unapokea tu vitu?
Hakuna sehemu nilisema satellite inapiga picha dunia nzima mkuu, bali sehemu kubwa kama nchi au ahata bara zima

Nilikuwa najaribu kuwonesha hao wanaosema satellite hazipo, nikauliza hizo picha zinapigwa na nini wkaanza mnara mrefu, mara drone , wa mwisho parachute.

Nikauliza hiyo drone inayoweza piga picha hivyo ni aina gani, nijuavyo mimi highest attitude ya drone ni 11000 feet, kimya

Huo mnara mrefu uko wapi, una urefu gani angalau nifuatilie na mimi niujue kimya.

Mwingine katafiti anasema kamera zinawekwa kwenye maparachuti huyu ndo nilishindwa kumuelewa kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi ni binadamu mwenye msimamo wa flat disk maana ushahidi ni macho yangu sio hesabu za kuunda za kina copernicus na wenzake waliojaa theory tu,evidence starts with EYES.
Unaniuliza swali mimi? Huna habari?

Soma, fuatilia misimamo ya flat-earthers wenzako, si mimi niliyesema hivyo!

Hilo swali kawaulize wenzako kuwa walifikia wapi mpaka kuja na hiyo nadharia ambayo wewe unaipinga?

Na unaipinga kwa misingi gani tofauti na wenzako?

Swali jingine, wewe ni flat-earther wa namna gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
What simple and logical perspectives???

Flat-earth and your claims are illogical and absurd. Period!

Unasema nitumie ubongo wangu kufikiri....Hahaha! wakati huohuo unaamini katika illusions pamoja na conspiracy theories with no evidence whatsoever to support those claims.
Which illusions?
Kuona dunia ni dogo na sawa na mwezi na vinazunguka angani ni illusion?
Kama ni illusion basi dunia yako ni extra ordinary.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unasema; "uongo utimie kimahesabu"

Unaweza kuthibitisha huo "uongo" ya kwamba ni uongo?

Huo "uongo" unafanyika kwa maslahi ya nani? Kwa kusudi gani na ili iweje?

Karibu kwa majibu!
Maslahi ya IBILISI na kukuonesha huna thamani yani upo upo tu maana ulitoka kwa random ukawa nyani ndo sasa umetimia ,au mkuu asili yetu sio nyani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo flat eather wanatetea hoja kwa misingi ya kibiblia?

Dawa hapa wote wawili Globle na Flat earth welete Data za Antaktika
Globle earth wawezeshe kufanya Direct flight kutoka Argentina to Australia across antarctica .
Na Flat watuoneshe Ukuta

Na kingine Assignemt nyingine
Globle earth watuelezee Midnight Sun huko north pole.
Na
Flat earth waelezee Lunar eclipse inatokeaje .
Lunar eclipse ipo kwa thread na chanzo cha kuzuiwa Antarctic ipo kwa thread.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia imeshikiliwa na maji
Jua linazunguka dunia
Kuhusu lunar ni interaction ya jua na mwezi kutengeneza kivuli kulingana na phase za mzunguko.
Kama tukisema dunia ni kama meza tujiulize maswali haya matatu..
1. Nini imeshikilia dunia..au tuseme dunia imesimikwa kwenye kitu gani?
2. Jua likizama linaenda wapi hadi lije kuibuka pale pale lilikochomozea siku iliyotangulia?
3. Ni kwa vipi tunapata kupatwa kwa mwezi kama dunia ingekuwa flat??
cb53a671a790c31c8774d9ec1659d5e1.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom