Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,998
- 103,387
Magufuli mwana wa Africa
Anashambulia km Barcelona
Tuna Rais bwana
Kweli wajinga ndio waliwao, hii post ya Paskali kwa asiyejua anaweza dhania anasifia kumbe anasanifu. Treni ya Kenya Ina afadhali maana wangalau inatembea, hii ya kwetu hata Morogoro haijaanza kwenda, na haifahamiki kama itavuka Morogoro itakapoanza. Rejea hapo anaposema huenda hizo ndege zikaleta faida ya ajabu huko mbele, ina maana mpaka saa ni hola.