Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,498
- 51,090
Ni upuuzi mtupu kudhani eti Kenya hawatajenga SGR
Wenzako wapo busy wanajenga bandari ya LAMU ili iwe source ya mzigo kwa SGR yao wewe unaleta habari eti wamegive up, Sasa watagive up vipi kwani Kenya haihitaji reli?.
Kwani South Sudan hawatahitaji SGR in the future?
Paschal ukiwa unakuja hapa usiwe unatuletea habari zisizo na Kichwa wala miguu, hii ni JF ya Great thinkers siyo hao vilaza unaoshinda nao bar
Wenzako wapo busy wanajenga bandari ya LAMU ili iwe source ya mzigo kwa SGR yao wewe unaleta habari eti wamegive up, Sasa watagive up vipi kwani Kenya haihitaji reli?.
Kwani South Sudan hawatahitaji SGR in the future?
Paschal ukiwa unakuja hapa usiwe unatuletea habari zisizo na Kichwa wala miguu, hii ni JF ya Great thinkers siyo hao vilaza unaoshinda nao bar