The SGR, War, MAGUFUGAME Kidedea, MUSEVENYATTA Mikono Juu Kukubali Matokeo!, Magufuli Shujaa, Apiga Bao Kupiga Tanchi!. Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.

Magufuli mwana wa Africa

Anashambulia km Barcelona

Tuna Rais bwana

Kweli wajinga ndio waliwao, hii post ya Paskali kwa asiyejua anaweza dhania anasifia kumbe anasanifu. Treni ya Kenya Ina afadhali maana wangalau inatembea, hii ya kwetu hata Morogoro haijaanza kwenda, na haifahamiki kama itavuka Morogoro itakapoanza. Rejea hapo anaposema huenda hizo ndege zikaleta faida ya ajabu huko mbele, ina maana mpaka saa ni hola.
 
Kutoka Rusumo falls - Kigali ni umbali sawa na Dar - Kiseke (Morogoro).

Kwa kuwa Tanzania sasa tunachukua ujuzi wa ujenzi kutoka kwa waturuki kuna uwezekano mkubwa wa sisi kumalizia kujenga vipande vingine (Isaka - Mwanza). Ujuzi wa civil teyari tunao, tumeshafufua reli ya Tanga na kule Portbell Uganda.

Reli ya Tanga imefufuliwa au unauziwa maneno na wanasiasa na ww unakubali? Nenda kaangalie reli ya Tanga-Arusha kisha uje ulete mrejesho hapa jukwaani. Toka nje ya box unaingizwa mjini boss.
 
Reli ya Tanga imefufuliwa au unauziwa maneno na wanasiasa na ww unakubali? Nenda kaangalie reli ya Tanga-Arusha kisha uje ulete mrejesho hapa jukwaani. Toka nje ya box unaingizwa mjini boss.
Reli iliyofufuliwa ni ile kutoka Tanga - Moshi.

Moshi - Arusha bado kwa kuwa inabidi ifumuliwe yote na kuwekwa reli mpya yenye kubeba mzigo mzito.
 
JPM ana uthubutu na haogopi kueleza au kufanya anachofikiri. Hana mpango wa kujipendekeza kwa mtu, ndio maana anakwenda.
Hakuna bahati. Bahati alikuwa nayo JK ila akatuangusha sana. Kuwabeba wanamtandao wasiobebeka ilitupa mzigo mkubwa wenye mawazo kibao

Hizi ni sifa za kijinga, ana uthubutu hilo ni kweli lakini hajui madhara ya uthubutu wake. Hana mpango wa kujipendekeza au huko kwa kujipendekeza hawakubaliani na uchezeaji wake wa demokrasia? Hao wazungu hawatoi msaada kwa mwizi wa kura.

Ni kweli mambo yanaenda, lakini unajua deni la taifa mpaka sasa limekua kwa kiasi gani? Hiyo miradi ina uhakika wa kulipa hilo deni, unajua terms za ulipaji wa hayo madeni?
 
Reli iliyofufuliwa ni ile kutoka Tanga - Moshi.

Moshi - Arusha bado kwa kuwa inabidi ifumuliwe yote na kuwekwa reli mpya yenye kubeba mzigo mzito.

Niliposema Tanga+Arusha nimemaanisha ni pamoja na Tanga- mpaka moshi nakuendelea. Ndio maana na kuambia nitajie lini kuna treni ya Tanga- moshi nikapakie mzigo wangu. Narudia tena, toka nje ya box unaingizwa mjini na wanasiasa wasaka kiki, hakuna kinachoendelea kwenye hiyo reli.
 
Hizi ni sifa za kijinga, ana uthubutu hilo ni kweli lakini hajui madhara ya uthubutu wake. Hana mpango wa kujipendekeza au huko kwa kujipendekeza hawakubaliani na uchezeaji wake wa demokrasia? Hao wazungu hawatoi msaada kwa mwizi wa kura.

Ni kweli mambo yanaenda, lakini unajua deni la taifa mpaka sasa limekua kwa kiasi gani? Hiyo miradi ina uhakika wa kulipa hilo deni, unajua terms za ulipaji wa hayo madeni?

Sio sofa za kijinga. Waafrika wengi hatuna hata confidence ya kufanya yale ambayo tuna utaalamu nayo sababu ya kuogopa wazungu wanasemaje au wananionaje.
JPM sets a new tone. Hata kama wengi hawakubaliani naye.
One thing for sure, we needed this pill to cure us from our illness. Ipo siku tutakaa sawa na kufanya tofauti. Tumezubaa sana
 
Pascal punguza njaa ndugu yangu maana wote tuna njaa lkn tunaridhika na hali zetu kwani umasikini siyo kilema
Wanabodi,

Huu ni uzi wa kuzungumzia vita ya The SGR, War, kati ya majeshi yayoutwa MAGUFUGAME yaliyoubuka Kidedea, dhidi ya majeshi pinzani ya MUSEVENYATTA ambayo yamepata kipigo hadi kunyanyua Mikono Juu Kuomba Po!, na Kukubali Matokeo!, Rais Magufuli ni Rais Shujaa Muona Mbali, , Baada ya zile Tanchi za Ndege, Apiga Tena Bao la Kisigino kwa Kupiga Tanchi ya SGR!. MUSEVENYATTA, Hoi, MAGUFUGAME Kidedea!, Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.

Ili uweze kulifaidi bandiko hili na kujua nazungumzia nini, anzia kwanza kwenye bandiko hili ili kuijua kwanza hiyo vita ya MAGUFUGAME vs MUSEVENYATTA ni vita gani na wanapigania nini?


Kwenye MAGUFUGAME VS MUSEVENYATTA, Hoja zilikuwa ni hizi...
1. Ili SGR ilete faida, reli hiyo has to pass through nchi moja kwenda nchi nyingine.
2. SGR ya Kenya Imeanzia bandari ya Mombasa ilikuwa ipite Uganda.
3. Na SGR ya Uganda ilikuwa itoke Kenya ipite Uganda hadi Rwanda na ilikuwa igharimiwe na Wachina.
4.Baada ya SGR ya Kenya kuanza, kabla hata haijavuka Kenya, huku Tanzania akaingia madarakani Mzee wa Kazi, JPM, na ziara yake ya kwanza ilikuwa ni kwenda Rwanda. Akarudi na a firm commitment ya Kagame kuwa SGR ya Tanzania, ndio itafika Rwanda

5. Uamuzi huu wa MAGUFUGAME, ulipelekea kizungumkuti kambi ya MUSEVENYATTA, hatua ya kwanza ni China kujitoa ku fund SGR ya Kenya, hivyo sasa SGR ya Kenya itaishia, Naivasha, that is the end of the road kwa SGR ya Kenya, hivyo sasa kuwa the biggest white elephant project in Kenya, kujilipa ni miujiza. Leo ndio Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amenyanyua mikono yake juu, na kukubali kupigwa bao na Tanzania, kwa kukubali kuwa sasa SGR ya Kenya itaishia Naivasha hivyo haiwezi kutengeneza faida, wala kujilipa.
6. Hivyo sasa sijui kama Museveni atajenga tena hiyo SGR yake, ikijengwa, itajengwa ili kupeleka wapi mzigo?.

Hitimisho.
Kiukweli kabisa, huu mtindo wa Rais Magufuli kupiga tanchi, sometimes ni mtindo mzuri na kuona mbali, huenda hata hii midege, alio inunua kwa kupiga tanchi; nako ni kuona mbali, mbele ya safari ikaja kuzalisha faida ya ajabu?.

Nani alijua kwanini Magufuli amekwenda Rwanda, akahamisha SGR ya Rwanda kupitia Tanzania. Alipokwenda Uganda, huko nako akapiga tanchi, Bomba la Mafuta la Uganda ambalo lilikuwa lipite Kenya kutumia Bandari ya Mombasa, sasa litapita Chongoleani, Tanga, Tanzania na kutumia Bandari ya Tanga.

Hii SGR ya Tanzania to Rwanda ikikamilika, Bandari ya DSM ndio itakuwa Bandari Kiongozi kwa nchi za Afrika Mashariki, kama SGR ikifika Rwanda, then Mzigo wa Uganda utafika mapema zaidi Uganda ukipitia Bandari ya DSM kuliko ukipitia Bandari ya Mombasa, kwasababu SGR ya Kenya inaishia Naivasha, SGR ya Tanzania inaishia Kigali, ni rahisi zaidi kutoa mzigo Kigali kupeleka Kampala kuliko kutoa Naivasha to Kampala, hivyo uamuzi wa Rais Magufuli kujenga SGR ya Tanzania hadi Kigali, umeipiga bao SGR ya Kenya na SGR ya Uganda. Hongera Magufuli shujaa, uliona mbali.

Paskali.
Rejea
 
Pascal kweli kuna mambo ya msingi yanampoteza.

1:Ukabila

2:Hali ya kiuchumi aliyo nayo inamlazimisha kuwa hivyo anavyofanya ili alazimishe kakake ampatie angalau ukuu wa wilaya.

3:Umri unazidi kumtupa mkono sana wakati familia inayo mtegemea bado ni kubwa
Daah ni wewe Pasco au uko baa mida hii mkuu? Umeandika kishabiki na kivigeregere zaidi bila kueleza ama kuchambua kwa fact, mengi uliyoandika ni dhahania tu kwamba "mradi huu ama ule ukikamilika tutakuwa tumepiga bao", Hii kwa mchambuzi mzoefu kama Pasco hukutakiwa kufanya huvyo mkuu.

Hivi tunavyozungumza SGR hata Morogoro haijafika, kisha unajadili na kutoa hitimisho SGR kufika Kigali???

Kenya wamezindua mradi wa pili wa SGR wako vitani na wanapigana kwa umakini bila miruzi mingi na makelele kama nyie huu Bongo
 
Akikujibu naomba unitag
Mkuu, nipe issues. Kwa nini Mwl. Nyerere alipenda reli ya kati iliyojengwa 1905 iendelee kuishia Isaka? Lakini lilipokuja suala la TAZARA, ikaishia Zambia ( Kapirimposhi)?
Hivi ni mizigo gani hiyo itabebwa na SGR kwenda au kutoka Rwanda ili tupime kama ni bao lenye mchongo.
 
Mkuu, nipe issues. Kwa nini Mwl. Nyerere alipenda reli ya kati iliyojengwa 1905 iendelee kuishia Isaka? Lakini lilipokuja suala la TAZARA, ikaishia Zambia ( Kapirimposhi)?
Hivi ni mizigo gani hiyo itabebwa na SGR kwenda au kutoka Rwanda ili tupime kama ni bao lenye mchongo.
Ngada
 
Sio sofa za kijinga. Waafrika wengi hatuna hata confidence ya kufanya yale ambayo tuna utaalamu nayo sababu ya kuogopa wazungu wanasemaje au wananionaje.
JPM sets a new tone. Hata kama wengi hawakubaliani naye.
One thing for sure, we needed this pill to cure us from our illness. Ipo siku tutakaa sawa na kufanya tofauti. Tumezubaa sana

Hatusemi kuogopa wazungu, bali wazungu hawakwepeki. Sina tatizo na uthubutu wake, je huo uthubutu wake una mtiririko mzuri? Mfano kwa sasa anajenga miradi miwili kwa wakati mmoja inayozidi 13t+, ni dhahiri hawezi kutekeleza miradi hiyo kwa fedha za ndani bila mikopo. Je unajua mikopo anayochukua inasemaje?

Uzoefu unaonyesha viongozi wa kiafrika wana tabia ya kukopa fedha ili kufanya miradi ya kusaka political millage. Je kuna mpaka mpango mzuri wa kulipa hizo pesa? Je kwa mfano huo mradi wa reli, ni dhahiri kutokana na raslimali muda sioni kama anaweza kumaliza hiyo reli kabla ya muda wake kuisha, huenda ikaishia Dodoma, je atakayeingia ataweza kuiendeleza? Ikiishia Dodoma italipa kiwango cha kuweza kulipa deni?
 
Niliposema Tanga+Arusha nimemaanisha ni pamoja na Tanga- mpaka moshi nakuendelea. Ndio maana na kuambia nitajie lini kuna treni ya Tanga- moshi nikapakie mzigo wangu. Narudia tena, toka nje ya box unaingizwa mjini na wanasiasa wasaka kiki, hakuna kinachoendelea kwenye hiyo reli.
Screenshot_2019-10-17 TANGA CEMENT KUFUNGULIWA KWA RELI YA KATI KILIMANJARO-ARUSHA KUMEONGEZA ...png



 
Hapa sasa iv tunavoongea sgr ya kenya ipo naivasha maana yake inaweza fanya kazi tokea mombasa hadi naivasha km 579.

Lakin hadi sasa sie watanzania sgr yetu haijaanza kufanya kazi dar to moro 200 km, then wewe pasco unakuja kusifia hata hueleweki
Wanabodi,

Huu ni uzi wa kuzungumzia vita ya The SGR, War, kati ya majeshi yayoutwa MAGUFUGAME yaliyoubuka Kidedea, dhidi ya majeshi pinzani ya MUSEVENYATTA ambayo yamepata kipigo hadi kunyanyua Mikono Juu Kuomba Po!, na Kukubali Matokeo!, Rais Magufuli ni Rais Shujaa Muona Mbali, , Baada ya zile Tanchi za Ndege, Apiga Tena Bao la Kisigino kwa Kupiga Tanchi ya SGR!. MUSEVENYATTA, Hoi, MAGUFUGAME Kidedea!, Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.

Ili uweze kulifaidi bandiko hili na kujua nazungumzia nini, anzia kwanza kwenye bandiko hili ili kuijua kwanza hiyo vita ya MAGUFUGAME vs MUSEVENYATTA ni vita gani na wanapigania nini?


Kwenye MAGUFUGAME VS MUSEVENYATTA, Hoja zilikuwa ni hizi...
1. Ili SGR ilete faida, reli hiyo has to pass through nchi moja kwenda nchi nyingine.
2. SGR ya Kenya Imeanzia bandari ya Mombasa ilikuwa ipite Uganda.
3. Na SGR ya Uganda ilikuwa itoke Kenya ipite Uganda hadi Rwanda na ilikuwa igharimiwe na Wachina.
4.Baada ya SGR ya Kenya kuanza, kabla hata haijavuka Kenya, huku Tanzania akaingia madarakani Mzee wa Kazi, JPM, na ziara yake ya kwanza ilikuwa ni kwenda Rwanda. Akarudi na a firm commitment ya Kagame kuwa SGR ya Tanzania, ndio itafika Rwanda

5. Uamuzi huu wa MAGUFUGAME, ulipelekea kizungumkuti kambi ya MUSEVENYATTA, hatua ya kwanza ni China kujitoa ku fund SGR ya Kenya, hivyo sasa SGR ya Kenya itaishia, Naivasha, that is the end of the road kwa SGR ya Kenya, hivyo sasa kuwa the biggest white elephant project in Kenya, kujilipa ni miujiza. Leo ndio Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amenyanyua mikono yake juu, na kukubali kupigwa bao na Tanzania, kwa kukubali kuwa sasa SGR ya Kenya itaishia Naivasha hivyo haiwezi kutengeneza faida, wala kujilipa.
6. Hivyo sasa sijui kama Museveni atajenga tena hiyo SGR yake, ikijengwa, itajengwa ili kupeleka wapi mzigo?.

Hitimisho.
Kiukweli kabisa, huu mtindo wa Rais Magufuli kupiga tanchi, sometimes ni mtindo mzuri na kuona mbali, huenda hata hii midege, alio inunua kwa kupiga tanchi; nako ni kuona mbali, mbele ya safari ikaja kuzalisha faida ya ajabu?.

Nani alijua kwanini Magufuli amekwenda Rwanda, akahamisha SGR ya Rwanda kupitia Tanzania. Alipokwenda Uganda, huko nako akapiga tanchi, Bomba la Mafuta la Uganda ambalo lilikuwa lipite Kenya kutumia Bandari ya Mombasa, sasa litapita Chongoleani, Tanga, Tanzania na kutumia Bandari ya Tanga.

Hii SGR ya Tanzania to Rwanda ikikamilika, Bandari ya DSM ndio itakuwa Bandari Kiongozi kwa nchi za Afrika Mashariki, kama SGR ikifika Rwanda, then Mzigo wa Uganda utafika mapema zaidi Uganda ukipitia Bandari ya DSM kuliko ukipitia Bandari ya Mombasa, kwasababu SGR ya Kenya inaishia Naivasha, SGR ya Tanzania inaishia Kigali, ni rahisi zaidi kutoa mzigo Kigali kupeleka Kampala kuliko kutoa Naivasha to Kampala, hivyo uamuzi wa Rais Magufuli kujenga SGR ya Tanzania hadi Kigali, umeipiga bao SGR ya Kenya na SGR ya Uganda. Hongera Magufuli shujaa, uliona mbali.

Paskali.
Rejea
 
Wanabodi,

Huu ni uzi wa kuzungumzia vita ya The SGR, War, kati ya majeshi yayoutwa MAGUFUGAME yaliyoubuka Kidedea, dhidi ya majeshi pinzani ya MUSEVENYATTA ambayo yamepata kipigo hadi kunyanyua Mikono Juu Kuomba Po!, na Kukubali Matokeo!, Rais Magufuli ni Rais Shujaa Muona Mbali, , Baada ya zile Tanchi za Ndege, Apiga Tena Bao la Kisigino kwa Kupiga Tanchi ya SGR!. MUSEVENYATTA, Hoi, MAGUFUGAME Kidedea!, Hongera JPM Kwa Kuona Mbali!.

Ili uweze kulifaidi bandiko hili na kujua nazungumzia nini, anzia kwanza kwenye bandiko hili ili kuijua kwanza hiyo vita ya MAGUFUGAME vs MUSEVENYATTA ni vita gani na wanapigania nini?


Kwenye MAGUFUGAME VS MUSEVENYATTA, Hoja zilikuwa ni hizi...
1. Ili SGR ilete faida, reli hiyo has to pass through nchi moja kwenda nchi nyingine.
2. SGR ya Kenya Imeanzia bandari ya Mombasa ilikuwa ipite Uganda.
3. Na SGR ya Uganda ilikuwa itoke Kenya ipite Uganda hadi Rwanda na ilikuwa igharimiwe na Wachina.
4.Baada ya SGR ya Kenya kuanza, kabla hata haijavuka Kenya, huku Tanzania akaingia madarakani Mzee wa Kazi, JPM, na ziara yake ya kwanza ilikuwa ni kwenda Rwanda. Akarudi na a firm commitment ya Kagame kuwa SGR ya Tanzania, ndio itafika Rwanda

5. Uamuzi huu wa MAGUFUGAME, ulipelekea kizungumkuti kambi ya MUSEVENYATTA, hatua ya kwanza ni China kujitoa ku fund SGR ya Kenya, hivyo sasa SGR ya Kenya itaishia, Naivasha, that is the end of the road kwa SGR ya Kenya, hivyo sasa kuwa the biggest white elephant project in Kenya, kujilipa ni miujiza. Leo ndio Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amenyanyua mikono yake juu, na kukubali kupigwa bao na Tanzania, kwa kukubali kuwa sasa SGR ya Kenya itaishia Naivasha hivyo haiwezi kutengeneza faida, wala kujilipa.
6. Hivyo sasa sijui kama Museveni atajenga tena hiyo SGR yake, ikijengwa, itajengwa ili kupeleka wapi mzigo?.

Hitimisho.
Kiukweli kabisa, huu mtindo wa Rais Magufuli kupiga tanchi, sometimes ni mtindo mzuri na kuona mbali, huenda hata hii midege, alio inunua kwa kupiga tanchi; nako ni kuona mbali, mbele ya safari ikaja kuzalisha faida ya ajabu?.

Nani alijua kwanini Magufuli amekwenda Rwanda, akahamisha SGR ya Rwanda kupitia Tanzania. Alipokwenda Uganda, huko nako akapiga tanchi, Bomba la Mafuta la Uganda ambalo lilikuwa lipite Kenya kutumia Bandari ya Mombasa, sasa litapita Chongoleani, Tanga, Tanzania na kutumia Bandari ya Tanga.

Hii SGR ya Tanzania to Rwanda ikikamilika, Bandari ya DSM ndio itakuwa Bandari Kiongozi kwa nchi za Afrika Mashariki, kama SGR ikifika Rwanda, then Mzigo wa Uganda utafika mapema zaidi Uganda ukipitia Bandari ya DSM kuliko ukipitia Bandari ya Mombasa, kwasababu SGR ya Kenya inaishia Naivasha, SGR ya Tanzania inaishia Kigali, ni rahisi zaidi kutoa mzigo Kigali kupeleka Kampala kuliko kutoa Naivasha to Kampala, hivyo uamuzi wa Rais Magufuli kujenga SGR ya Tanzania hadi Kigali, umeipiga bao SGR ya Kenya na SGR ya Uganda. Hongera Magufuli shujaa, uliona mbali.

Paskali.
Rejea

Kuna mtu ka-hack account ya huyu bwana!

Matamahuluku haya!
 

Ni hivi, ww ni baadhi ya watanzania mnaolishwa propaganda mfu na kuamini utapeli wa wanasiasa. Hivi ninavyozungumza niko hapa Tanga, nina mzigo ninataka kuupeleka moshi, nitajie kesho, jumamosi au jumapili kuna treni ya saa ngapi nikapakie huo mzigo? Toka nje ya box unaingizwa mjini na wanasiasa wasaka kiki. Nilijua tu unaongea jambo usilolijua ndio maana unasema treni ya Tanga-moshi inafanya kazi. Kama jambo hulijui kaa kimya maana utachekesha walionuna.
 
Ni hivi, ww ni baadhi ya watanzania mnaolishwa propaganda mfu na kuamini utapeli wa wanasiasa. Hivi ninavyozungumza niko hapa Tanga, nina mzigo ninataka kuupeleka moshi, nitajie kesho, jumamosi au jumapili kuna treni ya saa ngapi nikapakie huo mzigo? Toka nje ya box unaingizwa mjini na wanasiasa wasaka kiki. Nilijua tu unaongea jambo usilolijua ndio maana unasema treni ya Tanga-moshi inafanya kazi. Kama jambo hulijui kaa kimya maana utachekesha walionuna.
Mbona hiyo habari aliyoileta sijaona siasa wala mwana siasa, nimeona Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda cha Tanga Cement Mkoani Tanga Bw.Reinhardt Swart. Akiongea na waandiahi wa habari.

wewe utakuwa na chuki binafsi na wala hiyo habari hujaisoma.

ulitumbuliwa wapi?
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom