The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya kutisha kiasi cha Dolla 282,600

The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya mauaji kiasi cha Dollar 282,600.

Ndugu zangu watanzania, hii story ni fupi sana ukilinganisha na story zingine nilizowahi kuziweka humu JF, lakini inatoa funzo moja kubwa na muhimu katika maisha kuhusiana na suala zima la kuamini watu kupita kiasi katika masuala ya biashara na fedha kwa ujumla. Tafadhali isome kwa umakini.

View attachment 1555657

Hapo zamani mahakama moja nchini China iliwahukumu watu sita juu ya uhusika wao katika jaribio lililogonga mwamba la "kuuziana kazi" na kupeana mkataba wa kuua kupitia mlolongo mrefu wa madalali. Wanaume hao walishtakiwa kwa jaribio la mauaji ya kukusudia na walipokea kifungo cha hadi miaka mitano jela katika mji wa Guangxi mnamo mwezi Oktoba, tarehe 17, kulingana na uamuzi uliotolewa na mahakama.

Kesi hiyo iliyojawa na sintofahamu nyingi, ambayo watu wengine nchini China waliiona kama mfano wa kujifunza katika maisha ya kisasa na kutoa funzo juu ya hatari iliyopo kwa wale wanaojihusisha na vitendo vya kifisadi na rushwa, ilianza wakati mmiliki wa biashara za majumba ya bei mbaya Tan Youhui alipowasiliana na mtu anayedaiwa kuwa ni muuaji mnamo mwezi Oktoba mwaka 2013, na kumuomba kumuua mshindani wake wa biashara, aliyejukana kwa jina la Wei .

Mtu alikodishwa, Xi Guangan, alipokea kiasi cha fedha ya China Yuan milioni mbili (sawa na $ 282,600) kumuua Wei, ambaye alikuwa amewasilisha kesi dhidi ya kampuni ya Tan juu ya mzozo uliokuwa unaotokana na mradi wa maendeleo.

View attachment 1555774

Xi alichukua pesa na kisha kutoa dili hilo la kazi kwa mtu mwingine ambaye angekuja kutekeleza mauaji yale, aliyejulikana kama Mo Tianxiang, huku akibakiza nusu ya kiwango cha awali.

Mo, ambaye alipewa Yuan milioni moja ya Kichina (sawa na $ 141,300), pia aliamua kutokutekeleza mauaji yale. Badala yake, alitia mfukoni pesa kadhaa zilizopendekezwa na kutafuta "hitman" mwingine, aliyeitwa Yang Kangsheng. Yang alilipwa Yuan 270,000 za Kichina (sawa na $ 38,100) kama malipo ya awali na kuahidiwa kiasi kingine cha Yuan 500,000 za Kichina (sawa na $ 70,600) punde tu kazi hiyo itakapokamilika.

Yang kisha akazitia kibindoni sehemu ya pesa na kutoa kazi hiyo kwa mtu wa nne, Yang Guangsheng, na ofa ya kwanza ya Yuan ya Kichina 200,000 ($ 28,200), na bonasi zaidi ya yuan 500,000 za Kichina ($ 70,600) baada ya kukamilisha shughuli. Hati ya mahakama haikufafanua zaidi ikiwa hao akina Yang wawili walikuwa na uhusiano wowote wa kindugu.

View attachment 1555775

Mlolongo wa kupeana dili lile la kazi uliendelea kwa zaidi ya miezi sita hadi kazi ilipofikia mtu wa tano, Ling Xiansi. Mpaka kufikia hapo, Ling alipewa pesa kiasi cha Yuan 100,000 tu ($ 14,100) ili kumuua Wei. Ling pia alipatwa na kiwewe juu ya namna gani nzuri ya kumuua Wei.

Lakini badala ya kumuua Wei au kutafuta mtu mwingine anayedhaniwa kuwa ni muuaji bora, aliamua kukutana na mtu aliyelengwa kuuawa moja kwa moja - na akajitolea kumsaidia kufoji/kughushi kifo chake. Wei alikubali kumruhusu Ling apige picha zake akiwa amefungwa kamba kama jaribio la kutaka kufanya mauaji.

Ling baadaye aliripoti juu ya "kufanikiwa" kwake juu katika kufanya mauaji kwa kufuata mlolongo ule ule (Chain of Outsouring), hadi habari zikafika kwa Tan - mtu aliyetoa tenda hii ya kikatili.

View attachment 1555779

Wakati huo huo Wei pia aliripoti kesi hiyo kwa polisi, ambao walimshtaki Tan na wahusika wengine watano kwa jaribio la kupanga mauaji ya kukusudia. Tan alipewa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuanzisha njama ya mauaji, wakati wale ambao wangekuwa wauaji watarajiwa walipokea adhabu ya gerezani kati ya miaka miwili hadi minne, kulingana na hukumu wa majaji na uamuzi juu ya kesi ile.

Kesi ile ilisababisha mijadala mipana mitandaoni huko nchini China. Watu Wengine waliifananisha kesi hiyo na mazoea ya kupeana tenda ambayo ni ya kawaida katika tasnia ya ujenzi wa nchi hiyo, ambayo mara nyingi imekuwa ikikosolewa kwa kusababisha majengo yasiyofaa kujengwa ama kujengwa chini ya kiwango.

View attachment 1555780

Kuna muuaji mmoja alisikika akisema "Hata wauaji nchini China wameelewa madhara ya kufanya Subconstruction/Outsourcing katika kazi zao na hii ndio hali ya biashara pale unapojeka mazoea ya kupitiliza na kuamini sana watu".

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
yule mchimbaji mdogo aliyepewa mabilion na Magufuli amshukuru sana Rais kwa kuwa na roho nzuri.
 
The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya mauaji kiasi cha Dollar 282,600.

Ndugu zangu watanzania, hii story ni fupi sana ukilinganisha na story zingine nilizowahi kuziweka humu JF, lakini inatoa funzo moja kubwa na muhimu katika maisha kuhusiana na suala zima la kuamini watu kupita kiasi katika masuala ya biashara na fedha kwa ujumla. Tafadhali isome kwa umakini.

View attachment 1555657

Hapo zamani mahakama moja nchini China iliwahukumu watu sita juu ya uhusika wao katika jaribio lililogonga mwamba la "kuuziana kazi" na kupeana mkataba wa kuua kupitia mlolongo mrefu wa madalali. Wanaume hao walishtakiwa kwa jaribio la mauaji ya kukusudia na walipokea kifungo cha hadi miaka mitano jela katika mji wa Guangxi mnamo mwezi Oktoba, tarehe 17, kulingana na uamuzi uliotolewa na mahakama.

Kesi hiyo iliyojawa na sintofahamu nyingi, ambayo watu wengine nchini China waliiona kama mfano wa kujifunza katika maisha ya kisasa na kutoa funzo juu ya hatari iliyopo kwa wale wanaojihusisha na vitendo vya kifisadi na rushwa, ilianza wakati mmiliki wa biashara za majumba ya bei mbaya Tan Youhui alipowasiliana na mtu anayedaiwa kuwa ni muuaji mnamo mwezi Oktoba mwaka 2013, na kumuomba kumuua mshindani wake wa biashara, aliyejukana kwa jina la Wei .

Mtu alikodishwa, Xi Guangan, alipokea kiasi cha fedha ya China Yuan milioni mbili (sawa na $ 282,600) kumuua Wei, ambaye alikuwa amewasilisha kesi dhidi ya kampuni ya Tan juu ya mzozo uliokuwa unaotokana na mradi wa maendeleo.

View attachment 1555774

Xi alichukua pesa na kisha kutoa dili hilo la kazi kwa mtu mwingine ambaye angekuja kutekeleza mauaji yale, aliyejulikana kama Mo Tianxiang, huku akibakiza nusu ya kiwango cha awali.

Mo, ambaye alipewa Yuan milioni moja ya Kichina (sawa na $ 141,300), pia aliamua kutokutekeleza mauaji yale. Badala yake, alitia mfukoni pesa kadhaa zilizopendekezwa na kutafuta "hitman" mwingine, aliyeitwa Yang Kangsheng. Yang alilipwa Yuan 270,000 za Kichina (sawa na $ 38,100) kama malipo ya awali na kuahidiwa kiasi kingine cha Yuan 500,000 za Kichina (sawa na $ 70,600) punde tu kazi hiyo itakapokamilika.

Yang kisha akazitia kibindoni sehemu ya pesa na kutoa kazi hiyo kwa mtu wa nne, Yang Guangsheng, na ofa ya kwanza ya Yuan ya Kichina 200,000 ($ 28,200), na bonasi zaidi ya yuan 500,000 za Kichina ($ 70,600) baada ya kukamilisha shughuli. Hati ya mahakama haikufafanua zaidi ikiwa hao akina Yang wawili walikuwa na uhusiano wowote wa kindugu.

View attachment 1555775

Mlolongo wa kupeana dili lile la kazi uliendelea kwa zaidi ya miezi sita hadi kazi ilipofikia mtu wa tano, Ling Xiansi. Mpaka kufikia hapo, Ling alipewa pesa kiasi cha Yuan 100,000 tu ($ 14,100) ili kumuua Wei. Ling pia alipatwa na kiwewe juu ya namna gani nzuri ya kumuua Wei.

Lakini badala ya kumuua Wei au kutafuta mtu mwingine anayedhaniwa kuwa ni muuaji bora, aliamua kukutana na mtu aliyelengwa kuuawa moja kwa moja - na akajitolea kumsaidia kufoji/kughushi kifo chake. Wei alikubali kumruhusu Ling apige picha zake akiwa amefungwa kamba kama jaribio la kutaka kufanya mauaji.

Ling baadaye aliripoti juu ya "kufanikiwa" kwake juu katika kufanya mauaji kwa kufuata mlolongo ule ule (Chain of Outsouring), hadi habari zikafika kwa Tan - mtu aliyetoa tenda hii ya kikatili.

View attachment 1555779

Wakati huo huo Wei pia aliripoti kesi hiyo kwa polisi, ambao walimshtaki Tan na wahusika wengine watano kwa jaribio la kupanga mauaji ya kukusudia. Tan alipewa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuanzisha njama ya mauaji, wakati wale ambao wangekuwa wauaji watarajiwa walipokea adhabu ya gerezani kati ya miaka miwili hadi minne, kulingana na hukumu wa majaji na uamuzi juu ya kesi ile.

Kesi ile ilisababisha mijadala mipana mitandaoni huko nchini China. Watu Wengine waliifananisha kesi hiyo na mazoea ya kupeana tenda ambayo ni ya kawaida katika tasnia ya ujenzi wa nchi hiyo, ambayo mara nyingi imekuwa ikikosolewa kwa kusababisha majengo yasiyofaa kujengwa ama kujengwa chini ya kiwango.

View attachment 1555780

Kuna muuaji mmoja alisikika akisema "Hata wauaji nchini China wameelewa madhara ya kufanya Subconstruction/Outsourcing katika kazi zao na hii ndio hali ya biashara pale unapojeka mazoea ya kupitiliza na kuamini sana watu".

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
 
The Saga Of Subcontracted Hit Men For Hire Who Outsourced Murder: Mtandano wa wauaji wa kukodisha waliouziana tenda ya mauaji kiasi cha Dollar 282,600.

Ndugu zangu watanzania, hii story ni fupi sana ukilinganisha na story zingine nilizowahi kuziweka humu JF, lakini inatoa funzo moja kubwa na muhimu katika maisha kuhusiana na suala zima la kuamini watu kupita kiasi katika masuala ya biashara na fedha kwa ujumla. Tafadhali isome kwa umakini.

View attachment 1555657

Hapo zamani mahakama moja nchini China iliwahukumu watu sita juu ya uhusika wao katika jaribio lililogonga mwamba la "kuuziana kazi" na kupeana mkataba wa kuua kupitia mlolongo mrefu wa madalali. Wanaume hao walishtakiwa kwa jaribio la mauaji ya kukusudia na walipokea kifungo cha hadi miaka mitano jela katika mji wa Guangxi mnamo mwezi Oktoba, tarehe 17, kulingana na uamuzi uliotolewa na mahakama.

Kesi hiyo iliyojawa na sintofahamu nyingi, ambayo watu wengine nchini China waliiona kama mfano wa kujifunza katika maisha ya kisasa na kutoa funzo juu ya hatari iliyopo kwa wale wanaojihusisha na vitendo vya kifisadi na rushwa, ilianza wakati mmiliki wa biashara za majumba ya bei mbaya Tan Youhui alipowasiliana na mtu anayedaiwa kuwa ni muuaji mnamo mwezi Oktoba mwaka 2013, na kumuomba kumuua mshindani wake wa biashara, aliyejukana kwa jina la Wei .

Mtu alikodishwa, Xi Guangan, alipokea kiasi cha fedha ya China Yuan milioni mbili (sawa na $ 282,600) kumuua Wei, ambaye alikuwa amewasilisha kesi dhidi ya kampuni ya Tan juu ya mzozo uliokuwa unaotokana na mradi wa maendeleo.

View attachment 1555774

Xi alichukua pesa na kisha kutoa dili hilo la kazi kwa mtu mwingine ambaye angekuja kutekeleza mauaji yale, aliyejulikana kama Mo Tianxiang, huku akibakiza nusu ya kiwango cha awali.

Mo, ambaye alipewa Yuan milioni moja ya Kichina (sawa na $ 141,300), pia aliamua kutokutekeleza mauaji yale. Badala yake, alitia mfukoni pesa kadhaa zilizopendekezwa na kutafuta "hitman" mwingine, aliyeitwa Yang Kangsheng. Yang alilipwa Yuan 270,000 za Kichina (sawa na $ 38,100) kama malipo ya awali na kuahidiwa kiasi kingine cha Yuan 500,000 za Kichina (sawa na $ 70,600) punde tu kazi hiyo itakapokamilika.

Yang kisha akazitia kibindoni sehemu ya pesa na kutoa kazi hiyo kwa mtu wa nne, Yang Guangsheng, na ofa ya kwanza ya Yuan ya Kichina 200,000 ($ 28,200), na bonasi zaidi ya yuan 500,000 za Kichina ($ 70,600) baada ya kukamilisha shughuli. Hati ya mahakama haikufafanua zaidi ikiwa hao akina Yang wawili walikuwa na uhusiano wowote wa kindugu.

View attachment 1555775

Mlolongo wa kupeana dili lile la kazi uliendelea kwa zaidi ya miezi sita hadi kazi ilipofikia mtu wa tano, Ling Xiansi. Mpaka kufikia hapo, Ling alipewa pesa kiasi cha Yuan 100,000 tu ($ 14,100) ili kumuua Wei. Ling pia alipatwa na kiwewe juu ya namna gani nzuri ya kumuua Wei.

Lakini badala ya kumuua Wei au kutafuta mtu mwingine anayedhaniwa kuwa ni muuaji bora, aliamua kukutana na mtu aliyelengwa kuuawa moja kwa moja - na akajitolea kumsaidia kufoji/kughushi kifo chake. Wei alikubali kumruhusu Ling apige picha zake akiwa amefungwa kamba kama jaribio la kutaka kufanya mauaji.

Ling baadaye aliripoti juu ya "kufanikiwa" kwake juu katika kufanya mauaji kwa kufuata mlolongo ule ule (Chain of Outsouring), hadi habari zikafika kwa Tan - mtu aliyetoa tenda hii ya kikatili.

View attachment 1555779

Wakati huo huo Wei pia aliripoti kesi hiyo kwa polisi, ambao walimshtaki Tan na wahusika wengine watano kwa jaribio la kupanga mauaji ya kukusudia. Tan alipewa kifungo cha miaka mitano jela kwa kuanzisha njama ya mauaji, wakati wale ambao wangekuwa wauaji watarajiwa walipokea adhabu ya gerezani kati ya miaka miwili hadi minne, kulingana na hukumu wa majaji na uamuzi juu ya kesi ile.

Kesi ile ilisababisha mijadala mipana mitandaoni huko nchini China. Watu Wengine waliifananisha kesi hiyo na mazoea ya kupeana tenda ambayo ni ya kawaida katika tasnia ya ujenzi wa nchi hiyo, ambayo mara nyingi imekuwa ikikosolewa kwa kusababisha majengo yasiyofaa kujengwa ama kujengwa chini ya kiwango.

View attachment 1555780

Kuna muuaji mmoja alisikika akisema "Hata wauaji nchini China wameelewa madhara ya kufanya Subconstruction/Outsourcing katika kazi zao na hii ndio hali ya biashara pale unapojeka mazoea ya kupitiliza na kuamini sana watu".

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Rais Magufuli ni kipenzi cha Watanzania, huyo msaliti wa Nchi mrudisheni ubeligiji.
 
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
Hakika mkuu.
ElmOZ0cX0AYmNPa.jpg
 
Yaani ndio umegundua hili leo? Huyo ni Mataga ndio sisomagi tena story zake za abunuasi.
Mimi ni mzalendo haswa. Kuhusu story zangu ndio usizisome kwani nimekulazimisha?

JF in members zaidi ya laki tano kwanini niumize kichwa na watu wachache kama wewe?
 
Back
Top Bottom