The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

bonge la shela mtot kavaa ...lina mkia huku mnaita ...tausi

.....hii fasheni ya tausi ilikuwa zilipendwa, ila nadhani itarudi kwa kuwa Kate kavaa. Haya misa ya ndoa inaanza sasa.
 
Kate kumbe kamuwinda jamaa kwa miaka 10? Walikuwa wakiachana na wanarudiana tena..... Ila bibie kimemsaidia kuwa walikuwa wakiachana, alikuwa haendi kubwabwaja ovyo mitaani huko kuhusu William. Naona hii imemsadia kuolewa na hadi leo kuwa HAI.

Kembemba hako ila NIDO ni moto, waswahili wanasema SAA SITA.
 
_52400882_011856863-1.jpg

Muuza sura yupo kwenye tuxido!!

Si Tuxedo. Charlie Champlin style
 
.....mdada kapendeza, katoka simple na classic.
 
Siyo zilipendwa ila GHARAMA sana na inabidi uwe na CARPET kila unapoenda maana viongonevyo mkia wa Tausi utakuwa mwekenduu kama umefanyia harusi huko Mpwapwa au Kizota.....

Ukiwa Arusha au Moshi ndiyo kasheshe maana hilo Vupi au Tope likiilamba Shela ..........

Camilla anasikitika tu saa hivi kuwa ALIMISS HII CHANCE. William kina AIBU ya Marehemu Mama yake, anaangalia na kusita. Siyo kama Mtoto wa kihuni Harry maana Dogo ndiyo close na Snoop Doggy mwenyewe.....

.....hii fasheni ya tausi ilikuwa zilipendwa, ila nadhani itarudi kwa kuwa Kate kavaa. Haya misa ya ndoa inaanza sasa.
 
attachment.php


Magnificent Abbey. Magnificent Wedding!​
 
Kate kumbe kamuwinda jamaa kwa miaka 10? Walikuwa wakiachana na wanarudiana tena..... Ila bibie kimemsaidia kuwa walikuwa wakiachana, alikuwa haendi kubwabwaja ovyo mitaani huko kuhusu William. Naona hii imemsadia kuolewa na hadi leo kuwa HAI.

Kembemba hako ila NIDO ni moto, waswahili wanasema SAA SITA.
Nashukuru kwa kuliona hilo mie nilikuwa napata kigugumizi cha kusema
 
akamege mara ngapi wakati alikuwa nacho miaka 7 nyuma leo anakamilisha taratibu tu

Leo atakamega kwa raha na furaha ya pekee tena kihalali kabisa. Ukimega siku kama hii inakuwepo tofauti flani hivi....trust me.
 
padre anaongea...tumekusanyika hapa leo ili kushuhdia kiapo cha hawa wapendwa wetu...........
 
Hahahaaaa, Mami wee vipi? Amege leo? Kwani wiki jana alikuwa akifanya nini?

Kama unafikiri kuna mambo ya SHUKA NYEUPE basi sahau.

Si anamega kuhalalisha ndoa....mami acha bana....kumega siku kama ya leo ina raha ya pekee.
 
Ila sijaiona tu ASTON MARTIN.

Labda Mchungaji Masa ambaye yupo hapo Mjengoni kuwakilisha kanisa lake atatueleza kwanini AM halipo kwenye list ya magari yaliyopo hapo kwenye harusi. Watakuwa na bahati mbaya sana kama ma PM Tony Blair na Gordon Brown.....

Nimesikitika hakuna hata gari za farasi!
 
Nimefurahi wimbo wa kwanza ulikuwa Niongoze Bwana Mungu uko kwenye kitabu cha Mwimbieni Bwana cha KKKT
 
anasema hairuhusiwi kwa namna yoyote ile wakaachana nawala asiwepo mtu wa kuingilia ndoa yao..mpaka mungu awatengenishe..na watoto wao wakue na kulele katika maadili ya kimungu
 
Back
Top Bottom