Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,633
- 6,229
Ila sijaiona tu ASTON MARTIN.
Labda Mchungaji Masa ambaye yupo hapo Mjengoni kuwakilisha kanisa lake atatueleza kwanini AM halipo kwenye list ya magari yaliyopo hapo kwenye harusi. Watakuwa na bahati mbaya sana kama ma PM Tony Blair na Gordon Brown.....
Labda Mchungaji Masa ambaye yupo hapo Mjengoni kuwakilisha kanisa lake atatueleza kwanini AM halipo kwenye list ya magari yaliyopo hapo kwenye harusi. Watakuwa na bahati mbaya sana kama ma PM Tony Blair na Gordon Brown.....
Kweli kabisa magari yote ya ukweli na product za UK...wanaitangazia dunia nilikuwa naangalia bei zake balaa tupu