hahaha kwa vigezo gani?!! Ufisadi?!tumfanye lowasa na familia yake kuwa royal family
The prince of Wales anaelekea kwenye eneo la tukio....Waingereza bwana magari yao balaaa
charles and camilla ndo wanatoka clarence house kuelekea westminister( hawa ni ndugu wa bwana harusi)
Kweli kabisa magari yote ya ukweli na product za UK...wanaitangazia dunia nilikuwa naangalia bei zake balaa tupuHiki Kibibi bana, si kingelimwachia tu miaka hiyo Charles amuowe Camilla wake?
Hatimaye bibi leo kaingia kama Mama wa William na kupewa heshima zote.........
Kimama kweli kilikuwa Ki-Fundamentalist kikali sana na nafikiri Diana kakibadili maana kwa William hajaleta maneno.
Waingereza sasa wanatangaza tu MAGARI yao maana hakuna gari lolote linalotengenezwa nje ya UK.....
Hata Jaguar wameiondoa maana ilishauzwa tayari. Kweli hii ni MAONYESHO YA BIASHARA na siyo HARUSI.
Kila la kheri kwa MAHARUSI ila siwaonei gere kwa harusi yao..........
Kumbe mtoto wa Miner!!anasindikizwa na baba yake mzaz ( former miner)