The Royal Wedding: Prince William & Kate Middleton

The prince of Wales anaelekea kwenye eneo la tukio....Waingereza bwana magari yao balaaa
 
charles and camilla ndo wanatoka clarence house kuelekea westminister( hawa ni ndugu wa bwana harusi)
 
the queen and duke wanatoka kueleka mjengoni.....kila mmoja anawasili kwa mda aliopangiwa
 
Hiki Kibibi bana, si kingelimwachia tu miaka hiyo Charles amuowe Camilla wake?

Hatimaye bibi leo kaingia kama Mama wa William na kupewa heshima zote.........

Kimama kweli kilikuwa Ki-Fundamentalist kikali sana na nafikiri Diana kakibadili maana kwa William hajaleta maneno.

Waingereza sasa wanatangaza tu MAGARI yao maana hakuna gari lolote linalotengenezwa nje ya UK.....

Hata Jaguar wameiondoa maana ilishauzwa tayari. Kweli hii ni MAONYESHO YA BIASHARA na siyo HARUSI.

Kila la kheri kwa MAHARUSI ila siwaonei gere kwa harusi yao..........
 
Hiki Kibibi bana, si kingelimwachia tu miaka hiyo Charles amuowe Camilla wake?

Hatimaye bibi leo kaingia kama Mama wa William na kupewa heshima zote.........

Kimama kweli kilikuwa Ki-Fundamentalist kikali sana na nafikiri Diana kakibadili maana kwa William hajaleta maneno.

Waingereza sasa wanatangaza tu MAGARI yao maana hakuna gari lolote linalotengenezwa nje ya UK.....

Hata Jaguar wameiondoa maana ilishauzwa tayari. Kweli hii ni MAONYESHO YA BIASHARA na siyo HARUSI.

Kila la kheri kwa MAHARUSI ila siwaonei gere kwa harusi yao..........
Kweli kabisa magari yote ya ukweli na product za UK...wanaitangazia dunia nilikuwa naangalia bei zake balaa tupu
 
attachment.php

The Queen arriving at The Abbey​
 
Back
Top Bottom