The road towards 2010 Elections

The road towards 2010 Elections

Kati ya hawa nani atafaa kutuongoza 2010-2015?

  • Edward Lowassa

    Votes: 0 0.0%
  • Dr. Slaa

    Votes: 7 38.9%
  • Prof. Lipumba

    Votes: 0 0.0%
  • Mizengo Pinda

    Votes: 5 27.8%
  • Samwel Sitta

    Votes: 0 0.0%
  • Jakaya Kikwete

    Votes: 2 11.1%
  • Mark Mwandosya

    Votes: 2 11.1%
  • Harisson Mwakyembe

    Votes: 2 11.1%
  • None of The above

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    18
  • Poll closed .
Tanzania imekuwa ikigubikwa na majanga ya wizi wa mali za umma kupitia makundi ya kialifu na baadhi ya wanasiasa. Mpaka sasa hivi kuna hali ya kuchelea katika kupambana ‘kikweli' na janga hili. Tukielekea Uchaguzi wa 2010, Je kuna Mwanasiasa mwenye ubavu wa kutupa karata ya kuanzisha ‘Kunde la Ng'e' kupambana na majanga haya? [habari zaidi kuhusu kundi hili la ng'e soma hapa: http://en.wikipedia.org/wiki/Scorpions_(South_Africa)]

Dondoo: Nimelichulia kundi la Ng'e la Afrika Kusini kwa kazi yake nzuri iliyofanywa kuanzia mwaka 2001 mpaka pale lilipovunjwa mwaka huu. Kundi hili lilikuwa mwiba mchungu kwa wabaka uchumi, wanasiasa mabazazi et al.
 
JF, nimeamua kuuliza hili swali baada ya kuona threads kadhaa za siasa hapa zikuzungumzia habari ya Uchaguzi 2015, au Membe anataka Urais 2015. Ni vizuri kuanza kuzungumzia mambo ya namna hiyo mapema ili tuweze kujua kama wenye nchi ni nani tunayemtaka kuwa Kiongozi wetu, kura si ni yetu bwana!
Lakini kinachonishangaza ni kwamba tunaongelea 2015 kama vile tumemaliza kupiga kura 2010 na Rais tunaye tayari. Hili swala sijui mnalionaje wenzangu lakini isije ikafika 2010 hapa halafu tukaanza kujiuliza kama wenzetu wa Iran "WHERE IS MY VOTE?". Je tunaye Rais tayari kwa 2010-2015? Tuna uhakika kiongozi wetu huyu ambaye tumemchagua anafanya yale tuliyomtuma afanye?
Kazi kwetu!

Inamaana we mgeni TZ? Any way kwa tafsida labda kuna De-Juri na De-facto. Compare and contrast then you will probably perceive which is which as far as what are people trying to imply in Tanzania's chaguzi hasa kwenye presidency. Na kwenye ubunge ndo kama unajua kula na vipofu vizuri basi ni de-juri tu ukisogelea tu ushakua adui hata kama unania ya dhati kuleta mabadiliko including ya yule anaetangaza uadui na wewe.

Mpaka tutakapo de-link siasa na kipato na kuestablish system ambayo every individual gets whatever he wants kwa juhudi na maarifa. Yaani practice ya "asiefanya kazi na asile". Ukitaka angalia udiwani na ujumbe wa nyumba kumi ambao ndo muhimu katika kuleta maendeleo ya haraka kama mbio zake ni sawa na hizo mbili ndo utakapo jua kinacho piganiwa maendeleo au ......Kama mawazo ya maendeleo mbona ujumbe wa nyumba kumi ndo unawafikia vizuri wahusika wa kuendelezwa hasa kwa hadhira ya Tanzania?

Ebu jaribu kuimagine uchaguzi wa 2010; wasomi wote wanao wania ubunge wangepewa incentive na serikali wakagombee udiwani na kuspread sehemu zote za Tanzania alafu kukawa na sheria ya diwani kutokaa nje ya eneo lake la uchaguzi 80% ya siku za mwaka ila atakae enda kukaa huko salary yake itakuwa maintained kama ilivyo kwa muda wote wa tenure ili walete hayo maendeleo watakayokuwa wakiwahubiria wananchi wakati wa kampeni kwa speed angalau ya mkokoteni kwa kusaidia kuboresha utendaji wa serikali za mitaa, wangapi watajitokeza?


Utaona watu wazuri sana wakutoa proposals za development lakini inapokuja into doing or practicing their theories kila mmoja ana mnyooshea kidole mwenzake wewe hujafanya hiki wewe hujafanya hiki lakini kwenye kupata income wewe si haki yako ila mimi tu ndo na stahili. Kwa ubinafsi huu come rain come sun season after the other kitakacho fuata nikupigania hiyo meager income ambayo inapungua daily in relative term maana walaji wanaongezeka wazalishaji wana pungua.
 
Ndugu watanzania na msiowatanzania,
Nataka tujiandae kimawazo, ili vitendo vyetu kuelekea uchaguzi huo, vifanane na mawazo yetu na matarajiao yetu.

Uchaguzi mkuu wa rais na wabunge Tanzania utafanyika tena mwaka kesho 2010.

Najiuliza kama CCM ndo itapata tena ushindi wa kishindo kama miaka iliyopita au kuna mtazamo gani?

Au kuna dalili zozote za chama kingine kuishinda CCM na kuchukua madaraka ya kuiongoza Tanzania?

Bado CCM ni bora kuliko vyama vingine vilivyoko kwa sasa?
 
Chama kindine kinaweza kushinda uchaguzi lakini ni vigumu sana kuishinda CCM
 
Kwanini ni vigumu kuishinda CCM?.
Ina kinga gani mkuu?
Kinachotatiza ni muelekeo wa vyombo vya Dola na dhana ya kuheshimu maadili ya utawala bora.Mfano mmojawapo,ni Iran vyombo vya dola vina behave kama mali binafsi ya Ahmadinejad badala ya kutumikia wananchi.Tatizo lingine ni Tume ya Uchaguzi.Kikubwa kuliko vyote ni uelewa wa haki zao za kiraia wapiga kura wa Tanzania.
 
Mimi Ningekuwa JK ningependekeza nipate mpinzani wa Kweli na kujua kama bado wana Imani na mimi, Maana huwezi kusema mtu anapendwa kwake yeye mwenyewe tu, CCM wana haja ya Kuacha Watu wengi watokee kugombea na Jk apite na kuwashinda hao walijitokeza, Maana mpaka sasa yupo mtu mmoja tu naye ni Shibuda tu na Mchungaji Dr Mwamasika
 
Colleagues,

I want to use Jamii Forum to solicit voluntary ideas from you on what initiatives you would have introduced if you were running for office. I intend to run for Parliament in the coming general elections. Even though you are all from different constituencies, most of our grievances are not unique. Tanzanians in 2009 still cannot afford basic livelihood necessities. On the principles of checks and balances (as provided by our Constitution), parliament's role in checking the executive branch cannot be overstated and it is my opinion that our parliament is still a "rubber stamp" of the executive rather than an equal branch of government.

Newt Gingrich, the former US Speaker of the House engineered what was labeled in 1993 "the Reagan revolution" and I think it is about time we have "the Nyerere revolution" and take back our country from leaders who do not have love for country, but love for self.

I intend to run for the Singida North Constituency through my party - Chama Cha Mapinduzi.

Thank you.
Sungi
 
Colleagues,

I want to use Jamii Forum to solicit voluntary ideas from you on what initiatives you would have introduced if you were running for office. I intend to run for Parliament in the coming general elections. Even though you are all from different constituencies, most of our grievances are not unique. Tanzanians in 2009 still cannot afford basic livelihood necessities. On the principles of checks and balances (as provided by our Constitution), parliament's role in checking the executive branch cannot be overstated and it is my opinion that our parliament is still a "rubber stamp" of the executive rather than an equal branch of government.

Newt Gingrich, the former US Speaker of the House engineered what was labeled in 1993 "the Reagan revolution" and I think it is about time we have "the Nyerere revolution" and take back our country from leaders who do not have love for country, but love for self.

I intend to run for the Singida North Constituency through my party - Chama Cha Mapinduzi.

Thank you.
Sungi

Yani umeingia Rasmi JF kwa ajili ya kampeni?
 
Mkuu,
Hongera kwa maamuzi yako. BTW kabla sijakwenda mbali zaidi, je ni nani mbunge wako kwa sasa?
 
Mkuu kwanza naomba utumwagie sera zako na nini unalo panga kulifanyia jimbo lako na taifa iwapo utashinda. Hapa hoja zako ndizo zitatupa moyo ya kukusupoort mkuu.
 
Ningependa kiongozi mkweli, wewe ni mpotoshaji, hii sio "Breaking News."

Pili, mimi simpendi New Gingrich, alikuwa anamchana chana Clinton kwa zinaa wakati na yeye ana kimada, mnafiki. Kwa hiyo, achana na matumizi ya mifano au maneno ambayo yanaweza kutenga wale ambae wangeweza kukuunga mkono. "Nyerere Revolution" ingetosha na kueleweka bila kuleta "Reagan Revolution" ya New Gingrich. Na sio kila mtu anakubaliana kuwa "Reagan Revolution" ya Newt ilifanikiwa kuliko DNC na Clinton.

Mwisho, nilifikiri unagombea kwa sababu una maono, kumbe huna, unataka ya kwetu. Haya, jifunze ukweli.
 
Nina mawazo mengi, lakini kama kweli tunataka kujenga Tanzania ya karne ya ishirini na moja ambayo wote tutajivunia - na watoto wetu, wajukuu zetu, na vitukuu, watakumbuka generation yetu, tunatakiwa wote tujihusishe kwenye kazi hii kwa dhati. Mfano tu ni forum hii (Jamii Forum) ambayo ni njia mojawapo inayoweza kutumika ili tufikie lengo hili. Hebu nipeni mawazo ...
 
Ndugu Dilunga,
Asante kwa maoni yako. Ebu nisubiri maoni ya wengine pia. Mimi nafikiri kiongozi anatakiwa kusikiliza na sio kujifanya mjuaji ... hilo ndio kosa la baadhi ya viongozi wetu.
 
Ndugu Dilunga,
Asante kwa maoni yako. Ebu nisubiri maoni ya wengine pia. Mimi nafikiri kiongozi anatakiwa kusikiliza na sio kujifanya mjuaji ... hilo ndio kosa la baadhi ya viongozi wetu.

Kwakutumia nafasi yako fanya kila njia upinzani unakuwa na nguvu ili kuwa na true democracy na gud governance. Yaani washauri wenzako wakubali kuwa wameshiba sasa wawakumbuke raia na njia pekee ni kuondoa monopoly ya chama na kutunga katiba mpya inayoendana na karne ya electronics ile iliyochapwa wakati wa type writter "inabana maana mtoto keshakuwa mwali na anaacha maungo nje....mbaya"; aibu kwa wazazi majirani wanaona mwali hakulelewa vizuri.
 
Why is the POLL closed? I want to vote for Dr. Slaa. These other guys are running the country to the ground!
 
Back
Top Bottom