Hapa the ishu ni Shibuda, kama unataka mimi anzisha thread inayonihusu, ya CCM kukopa kwanza siyajui na sielewi yanauhusiano gani na hii topic? au?
Vipi mkuu mbona kwa kawaida huwa tunaheshimiana?
FMES
Nakuheshimu sana sana na sana kabisa kama mimi ninavyopenda kuheshimiwa.
Tatizo ambalo nimeshindwa kukuelewa ni jini gani ambavyo ulikuwa unamtetea bwaba Tanil na mamilion yake huko kwenu UVCCM. Halafu kabisa unamshangaa mwanawane Shibuda
FMES pamoja na kuheshimiana kwetu na pamoja na umaskini wetu tusikubali tu kutoa wala kupokea misaada kabisa inatufanya tunakuwa watumwa yaani haina tija. Kufa na njaa yako, mbona Mkwawa alikubali kufa? kwani alishindwa kukubaliana na wakoloni? siamini kama watu wanafanya maamuzi yao kutokana na matakwa yao ila kuna makosa yaliwapelekea au mazuri wanayofkiri kuamua hivyo.
Hivi leo nina harusi ya gharama ya milioni tano, wewe kunijua mimi, kuheshimiana na ulafi wangu ukaamua kunipa milion nne kugharamia harusi. Hivi kesho ukiniambia inataka kumkiss wetly mke wangu nitabishaaa. Pinda na Hosea wamesema kuwa mafisadi watayumbisha nchi, si kunanihiii kabisa utawala wa sheria na kukosa confidence? what the source?
Urafiki wa kweli katika ya mtu na mtu na kadhalika is always based on interest. wote wavuta bangi, walevi, malaya, mafisadi nk. haiwezakni mlevi simply bia akawa rafiki na muuza bangi, au mjasiriamali na fisadi. mifano hai USA na Osama, JK and his team, mimi niliosoma nao pr,ms,un ninao wapi? Look at you self, ni watu wangapi leo are you are best friends? count from Pr, sec, col.Na unaokutana nao hapa kazini au unapojitolea? wale nilionao since then ni wale tu ambao we have common interest.
Hoja ya Shibuda na CCM, my understanding kama wewe hujaelewa ni hivi.....
I do trust you, na unaelewa bila shaka kuwa watu wengi wapo huko CCM sio kwa kupenda ila kulinda maslahi yao. Wapo wanaotaka kutoka but wakifikiria ugali wao na maharage yao since then yanatoka CCM. sasa leo umwambie atoke?!!!!! Hivi leo Tanil ametoa mil 400 kachapisha yeye hizo noti?. JK alisema ametangaza kibiashara sasa leo mambo yanaenda kombo atatoka? si wale waliomshawishi watamwambia bosi, mzee, nk subiri tunafanya viitu? kwani anatengeneza faida ya mil 400 kwa saa? Shibuda anapingwa wilayani, mkoani sina hakika na taifa, je hajawahi kutoa mchango kama (sio kiasi, alipoweza) wa Tanil? kwani ccm ni Chechi au msikitini kuwa ametoa sadaka atalipwa ahera au paradiso? Je, kama mafisadi wengine wakipelekwa mahakamani nchi itayumba, je Shibuda nae hayumo? kama ana siri fulani kuhusu epa na kladhalika hakuna wa kumzuia asitoke kulinda hadhi ya chama na serikali?
FMES, hivi haya umejiuliza na kujijibu? mana nahisi unajua vema CCM kuliko mimi sasa nashangaa tena kumshangaa Shibuda.
Asante