Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,878
Kwa kweli nimeona nitoe hii habari hasa kwa hao viongozi wa chama huyu bwana kawafanyia nini jamani!!!ndugu john shibuda amesikika akilalamika jinsi anavyoishi kama mfungwa katik chama chake anachokipenda,habari zaidi ziansema shibuda alilalamika hayo baada ya kuondlewa katika kamati!!alipotaka kugombea kwenye jumuiya ya wazazi!
Ni kweli niko chamani nahisi kama mfungwa wa kisiasa kila nilnalotaka kufanya kukitumikia chama changu nakumbana na vizingiti toka kwenye kamati,hizi NAJUA tatizo langu ni kugombania urais,lakini si tatizo na nwatangazia kabisa wajitayarishe 2010 niko kwenye uchaguzi wa rais tena naomba niwatangazie mapema,,ebu angalieni kila ukigombea mtu unakumbana na vijikamati kamati,what is kamati?
ni basi tu nakipenda chama changu,ila kimejaa majungu tupu,,
SRC:MWANACHI
POLE NDUGU YANGU:::SOLN UNAIJUA
Ni kweli niko chamani nahisi kama mfungwa wa kisiasa kila nilnalotaka kufanya kukitumikia chama changu nakumbana na vizingiti toka kwenye kamati,hizi NAJUA tatizo langu ni kugombania urais,lakini si tatizo na nwatangazia kabisa wajitayarishe 2010 niko kwenye uchaguzi wa rais tena naomba niwatangazie mapema,,ebu angalieni kila ukigombea mtu unakumbana na vijikamati kamati,what is kamati?
ni basi tu nakipenda chama changu,ila kimejaa majungu tupu,,
SRC:MWANACHI
POLE NDUGU YANGU:::SOLN UNAIJUA