KakindoMaster
JF-Expert Member
- Dec 5, 2006
- 1,356
- 91
MwK'
Hili ni tatizo dogo na limekwishajulikana. Iliyobaki ni kwa wapinzani kuitangazia Tanzania yote kungali mapema kabisa kwamba upuuzi huu hauwezi kuendelea kuvumiliwa. Hayo yote na yaliyotokea Kiteto upinzani ni lazima wajiweke tayari kuyakabili kwa nguvu zote zinazowezekana. Wakati wa kulialia tu ili kuonewa huruma umepitwa na wakati.
Tatizo kubwa ni kuwaelimisha wananchi ili wawakatae CCM.
Hala Hala.......lakini mjadala uendelee
JJ
Hakuna cha kungoja wakati ni huu, CCM imeshavurunda vya kutosha, CCM has to go, Hatuwezi kukubali kuendelea kuongozwa na Mafisadi na Majambazi. Kwa hiyo nadhani 2010 ni muda muafaka kabisa wa kutumia kila mbinu kuwatoa madarakani CCM. Dr. Slaa for President.
Yes there is an opportunity. But even with that, it doesn't just happen because you said so. Wapinzani have got to prepare and not just whine out after the outcome.
Hakuna lolote hapa.
Linalotakiwa, iwe ni Mexico, Paraguay, Kenya, Zambia, Malawi, n.k., ni kumpata/kuwapata viongozi katika upinzani wenye 'charisma', ushawishi na kuaminiwa na wapiga kura. Tunataka wajitokeze akina Slaa na wengine, tumpate huyo kiongozi tutakayempa jukumu la kuwavuta wananchi.
Yote hayo unayoyasema kukosa ushirikiano na kufanya maandalizi kungali mapema, yote yanahusiana na kukosa kiongozi/viongozi hawa tunaowalilia wajitokeze mapema. Lakini wewe unawapinga wasijitokeze. Hueleweki msimamo wako upo wapi!
Ninakushangaa kama huoni somo lolote katika mifano ya Mexico na Paraguay! Nadhani unaishi katika dunia ya kipekee, au mambo ya siasa hunayo habari kabisa.
Believe me or not; mwaka 2010 [endapo wapinzani hawataleta products zinazouzika] CCM watapata ushindi wa kishindo tu.
Wapinzani wanatakiwa kuleta vichwa vipya for God's sake. Think of it Kitila
Kalamu,
Tunaweza tukaongelea mifano ya nchi hata 30, labda kwa vile tunaipenda, lakini hakuna hata mmoja ambao utatusaidia either kujenga upinzani wa dhati au kuiondoa CCM madarakani. Vyama kujisafisha na kuwa na maandalizi yanayofaa ndio solution peke yake.
- Hapajawahi kuwepo kiongozi mwenye hizo sifa ulizozitaja kwenye upinzani kama Mrema. Mpaka wasomi wa UDSM walimkubali awe kiongozi wao, matokeo - akapigwa chini.
- Kama unafikiria wapinzani wana muda, basi ngoja waendelee kusubiri mpaka 2010 ndio waanze kujipanga, hala tutasikia matokeo.
- Mimi sipingi yeyote yule kujitokeza, ninachopinga ni kuwatoa kafara mtu kama Dr.Slaa, wakati vyama vyenyewe havijajiweka sawa.
Who are wapinzani? if you the citizen who does not agree with the existing situation(which dejure makes you one of wapinzani), sits back and just whine? You should be part of the preparations and determine the outcome. Otherwise, you better shut up!
Asha
Asha,
When angry count to ten before you speak. If very angry, count to one thousand in your case. Just take a note that not everyone who is dissatified with CCM is a CHADEMA. Some are even Democrats.
Kubwa jingajinga
Hivi upinzani ni nini na wapinzani ni wakina nani?
Asha
Asante kubwa jingajinga
Nawe hesabu mpaka elfu kumi kabla ya kuandika ili upate muda wa kufikiria jamani. Nashukuru walau sasa umepunguza ule msimamo wako wa awali wa kwamba upinzani hawana kabisa uwezo wa kushinda na kwamba CCM ni lazima itashinda 2010. Sasa tuko ukurasa unaokaribiana kwamba ni vyema upinzani ukajiandaa zaidi.
Ila nimeuliza swali upinzani ni nini na upinzani ni nani, hujanijibu
Asha
Asante kubwa jingajinga
Nawe hesabu mpaka elfu kumi kabla ya kuandika ili upate muda wa kufikiria jamani. Nashukuru walau sasa umepunguza ule msimamo wako wa awali wa kwamba upinzani hawana kabisa uwezo wa kushinda na kwamba CCM ni lazima itashinda 2010. Sasa tuko ukurasa unaokaribiana kwamba ni vyema upinzani ukajiandaa zaidi.
Ila nimeuliza swali upinzani ni nini na upinzani ni nani, hujanijibu
Asha
Asha,
Mimi sina upendeleo kwenye misimamo yangu kama ilivyo ya kwako. Kama Chadema wanaboronga utanisikia. Kama ni wengine bakora yangu ni ileile.
Tokea awali nimesema hapa waziwazi kuwa kama Chadema wataingia kwenye uchaguzi na mgawanyiko wa vyama kama ulivyo hivi sasa, itakua ni ndoto za mchana kudhania kuwa watashinda, hata kama Asha anataka iwe hivyo.
Kutaka tu Chadema ishinde 2010, haina maana itakuwa hivyo. Wanatakiwa wajipange sio kwa maneno tu bali kwa vitendo. CCM sio goi goi, hata ukijumlishia ufisadi wao. They are organized and have resources.
Hata mimi ni mwanaCHADEMA, ninaungana na KJ kuwa kwa wapinzani mambo baaaaaaado, labda 2020. Kwa sasa tugombee ubunge tupate wafuasi wengi, tutoe elimu ya kutosha kwa wananchi waelewe kwa nini waibwage CCM. Nadhani wengi wa wananchi wa Tanzania hawajui kwa nini wanaichagua CCM, nadhani wanafanya tu kwa mazoea.
Kalamu,
Tunaweza tukaongelea mifano ya nchi hata 30, labda kwa vile tunaipenda, lakini hakuna hata mmoja ambao utatusaidia either kujenga upinzani wa dhati au kuiondoa CCM madarakani. Vyama kujisafisha na kuwa na maandalizi yanayofaa ndio solution peke yake.
- Hapajawahi kuwepo kiongozi mwenye hizo sifa ulizozitaja kwenye upinzani kama Mrema. Mpaka wasomi wa UDSM walimkubali awe kiongozi wao, matokeo - akapigwa chini.
- Kama unafikiria wapinzani wana muda, basi ngoja waendelee kusubiri mpaka 2010 ndio waanze kujipanga, hala tutasikia matokeo.
- Mimi sipingi yeyote yule kujitokeza, ninachopinga ni kuwatoa kafara mtu kama Dr.Slaa, wakati vyama vyenyewe havijajiweka sawa.
Yes there is an opportunity. But even with that, it doesn't just happen because you said so. Wapinzani have got to prepare and not just whine out after the outcome.
Who are wapinzani? if you the citizen who does not agree with the existing situation(which dejure makes you one of wapinzani), sits back and just whine? You should be part of the preparations and determine the outcome. Otherwise, you better shut up!
Asha
Tungekuwa na electorate iliyo sophisticated wapinzani wangeingia ikulu huku wakitembea. Yaani hamna cha wao kuleta products zinazouzika wala nini. Kwanza CCM wangetuheshimu sisi wananchi na kuachia kabisa hiyo nafasi ya uraisi kwa kutokuweka mgombea. Wapinzani wakishindwa sitawalaumu, wa kulaumiwa watakuwa wananchi wanaowapigia kura watu wanaowaambia kula nyasi/ majani.
Hata mimi ni mwanaCHADEMA, ninaungana na KJ kuwa kwa wapinzani mambo baaaaaaado, labda 2020. Kwa sasa tugombee ubunge tupate wafuasi wengi, tutoe elimu ya kutosha kwa wananchi waelewe kwa nini waibwage CCM. Nadhani wengi wa wananchi wa Tanzania hawajui kwa nini wanaichagua CCM, nadhani wanafanya tu kwa mazoea.
Murra,
Angalau umeiona hii picha ya 2010. Lakini mawazo yangu ni zaidi ya Chadema kutoweka mgombea uraisi. Nilishauri kuwa kama vyama vya upinzani haviko tayari kuungana, basi haitakuwa vema kuwatoa mhanga wale ambao wana nafasi ya kuwa wabunge, ili wakashindwe kwenye uraisi halafu wawe kama Mrema, i.e. Watakosa jukwaa, bunge, la kuikosolea serikali.
Lakini kama wapinzani wakiungana, then sio vibaya kumtoa kafara hata Dr. Slaa, maana wakati huo upinzani utakuwa na nguvu na msimamo mmoja.
Lakini kuna wanaojidanganya na huu umaarufu wa hivi karibuni ambao Chadema imejipatia na kufikiri kuwa wao sasa wana ubavu wa kupambana na CCM. Hizi ni ndoto za alinacha na tamaa ya haraka haraka kwao ya kushika madaraka bila kufikiria historia na kifua cha CCM.
Uwezo wa kifendha wa Chadema ni mdogo sana na kama hizo kidogo zilizopo zikitumiwa vibaya kwenye uraisi, uwezo wa Chadema kushindana na CCM unapungua, na sio ajabu wakapoteza viti kama ilivyokuwa kwa Dr. Kaborou.