Wametangaza leo.anaondoka july.
Wametangaza leo.anaondoka july.
Hilo ni sahihi kabisa lakini kocha naye ana mchango wake, hivi uliona Simba walivyovurunda mwaka jana? Baada ya kubadilishiwa kocha siunaona mambo yalivyobadilika? sasa wamewekeza nini? akina mgosi, haruna, nyagawa ni walewale!Wabongo kama kawaida yetu tunataka mafanikio ya haraka haraka katika soka bila kuwekeza. Soka ni kama shughuli nyingine, inahitaji uwekezaji sahihi na wa muda mrefu ili uanze kupata mavuno mazuri. Haitoshi kufikiri kuwa tatizo la msingi ni kocha. Tunahitaji kuanza kukuza vipaji toka shule za msingi ili baadaye waweze kuchezea kilabu na hatimaye taifa. Aden Rage aliwahi kusema kuwa "watanzania wanataka kwenda peponi bila kufa" - akiwa na maana kuwa hatutaki kuingia gharama za kukuza soka lakini tunataka mafanikio katika soka. Kocha Maximo amejitahidi kwa kiasi chake licha ya mapungufu kadhaa aliyonayo. Kiwango cha timu ya taifa kwa kiasi fulani kimepanda ukilinganisha na kabla ya ujio wake. Tangu atue nchini, Stars imecheza mechi 57 chini ya Maximo na kufungwa na kutoka sare mechi 17, hivyo kushinda mechi 40 - hii ni sawa na ushindi wa asilimia 70. Tukilinganisha na makocha waliotangulia, naweza kusema kwa kiasi kikubwa amejitahidi. Kama tusipobadili mfumo wa kuendesha soka kwa kuanzia chini, tutaendelea kubadili makocha huku tukiendelea tukisuasua.
Hilo ni sahihi kabisa lakini kocha naye ana mchango wake, hivi uliona Simba walivyovurunda mwaka jana? Baada ya kubadilishiwa kocha siunaona mambo yalivyobadilika? sasa wamewekeza nini? akina mgosi, haruna, nyagawa ni walewale!
Maximo ndo nani tena?Bora tenga alivoamua
sasa tusubiri huyo kocha mpya..
Sijui watamtoa wapi...
Wangekuwa na akili
wangetafuta kocha kutoka uholanzi
Hilo ni sahihi kabisa lakini kocha naye ana mchango wake, hivi uliona Simba walivyovurunda mwaka jana? Baada ya kubadilishiwa kocha siunaona mambo yalivyobadilika? sasa wamewekeza nini? akina mgosi, haruna, nyagawa ni walewale!
Nasikia hata TFF hawajui Maximo analipwa Tsh ngapi kwani ajuaye ni mkuu pekee...kitu cha kwanza kama napata nafasi ya kuingia TFF ni kuvunja mkataba na MAXIMO hana jipya
MILIONI 12 kwa mweziNasikia hata TFF hawajui Maximo analipwa Tsh ngapi kwani ajuaye ni mkuu pekee...
umefurahi eeh?!hayawi hayawi hatimaye yamekuwa,
sasa maximo anaondoka rasmi february 2010 at least tupate faraja na timu yetu ya taifa ianze kufanya vizuri na kuleta vikombe.
Huyu baba kocha/kimeo wa ki-brazil alitukera sana mpaka tusijuwe cha kufanya(hasa ikichukuliwa TULILETEWA KAMA ZAWADI YA URAIS) tukaamua kumwachia MUNGU hatimaye kilio chetu wapenzi na wadau wa soka la kitanzania kimesikika..sasa tutapumzika...UENDE UENDAKO MAXIMO HUNA LOLOOOTE
umefurahi eeh?!
Kaka nitakuwa muongo nikisema SIJAFURAHIA MAXIMO KUONDOKA...nimefurahi sanaaa pamoja na watanzania wenzangu woote wenye mapenzi ya kweli na timu yetu na taifa letu kwa ujumla...pole sana kama wewe hujafurahia hili.