Mnhenwa Ndege
JF-Expert Member
- Dec 5, 2007
- 242
- 21
Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni!!
Baada ya kukaa na kutafakari, na kuangalia kisomo cha Chenge, na kwavile kapitia Havard Law school, na pia amekuwa kama State Attorney kwa zaidi ya miaka 30, basi naona kwa kweli kutengeneza hivyo vijisenti ni kitu kidogo sana kwake.
All he needs to have done is a number of consulting jobs or presentations either at Havard itself or other institutions in different parts of the world. For him to be a State Attorney for that long, he has a wealth of information to share to the world.
Clinton analipwa kama £75,000 per lecture. Cherie Blair £30,000. As far as I am concerned someone like Chenge would have been highly regarded due to his position and his education. Even if he got paid £5,000 per lecture, calculate that maybe 5 to 10 lectures/presentation per year, over a stretch of 20years, plus smart investment in property (say UK).
On this logic (and this logic only) I am not surprised he could have that couple million 'vijisenti' in Jersey.
Yes that is true, but where is the evidence? Tanzanians are waiting to hear from Chenge.
vijisent (sent) ni fraction ya kile ulichonacho. Kwa maana hii Chenge anazo zaidi ya zile zilizopatikana katika akaunti husika ya vijisenti.
Hypothetically inawezekana. Lakini kwa nafasi ya AG wa Tanzania na bila kuwa na international exposure yoyote katika uwanja wa kimataifa hiyo degree yake ni sawa na digrii za kutoka vyuo vingine tu. Na hata hapo Tanzania bila kujiingiza kwenye siasa hakuwemo kwenye daftari ya who's who.
ever heard of privacy, most people don't like to reveal their wealth to the public, its a private matter in most countries, look at the Italian scandal of today regarding publications online! I bet even if the SFO clear this man you'll still find another pivothole to condemn him cause its a sin to be comfortable in Tanzania apparently
Awe amesoma mlimani or not, the fact kashikilia kazi kubwa hivyo miaka yote, marafiki atapata kwa international exposure ili watumiane kwasababu ya ufahamu wake.
Tatizo wewe unasema hana international exposure (hayo ni maneno yako, hujaishi naye miaka 30).
Watu humu wameanza kuongelea Economic Hitmen ndani ya nchi zetu, sasa ndio unakuta watu kama hawa, hamuwaoni miaka yote ndio mnashitukia sasa hivi. Ina maana hizo pesa wakati zinatolewa, wale wazungu wa Jersey hawakuona tatizo. Ila sasa ndio wanaona issue.
Mimi naona ugumu ni ku-justify tu.
Report ya pesa inaonyesha kapata mapesa mengi kupindukia kati ya 2003 na 2005. Hiyo miaka 30 sio zaidi kwenye hesabu.
hiyo report iko wapi? you're merely speculating!
Report ya pesa inaonyesha kapata mapesa mengi kupindukia kati ya 2003 na 2005. Hiyo miaka 30 sio zaidi kwenye hesabu.
ever heard of privacy, most people don't like to reveal their wealth to the public, its a private matter in most countries, look at the Italian scandal of today regarding publications online! I bet even if the SFO clear this man you'll still find another pivothole to condemn him cause its a sin to be comfortable in Tanzania apparently
Iko kwenye safe za JF kama zile zingine zote zilizovuja hapa kuanzia ya richmond mpaka hii ya juzi ya ATC
It is not sin to be 'comfortable in Tanzania' provided that you did not involve yourself in corrupt acitivities.
When you are public official and accused of corruption you have to defend yourself and in my opinion your privacy is no longer a priority, but so far we have not heard anything from Chenge but blah blah blah and more blahs
like I said you're merely speculating! Get facts
If you have those facts then please share with us, otherwise you're speculating too!
Sawa. Unajua kama jamaa sio tight wa pesa yake, akitumia malawyer wazuri, ndio mtashangaa hashikwi mtu. Wewe uchunguzi mnatengemea SFO mmmh, wakati the powers that be (Tanzania) hawana nguvu wala nia ya kutatua hili tatizo!!
Only a tight fisadi will be busted. But if he is willing to spend, kuzi-justify hela kitu kidogo.
GT, wape somo.
like I said you're merely speculating! Get facts
If you have those facts then please share with us, otherwise you're speculating too!
And the man saying wait for the SFO report isn't a defence, this guy is so confident that nothing will be found that his willing to let the evidence speak for itself and not mere hearsay
You speculated that I dont have facts!
Actually nadhani its very simple kwenye dunia ya leo mtu kuwa na pesa nyingi kama hivyo na ukaweza kuzi account for.
Mfano kama ana ma Lawyers wa zuri na anao ma accountants wazuri sidhani kama kuna tatizo...hawa jamaa wa SFO siyo wazuri kama wanavyotaka nyie wazalendo mjue
Sema ma osi wengi kwetu bado wana ujinga wa kuweka pesa kwenye off shores kama Jersey au SWISS au tuseme kule CAYMAN ambako at most wamejazana FBI,YARD na INTERPOL
I just hope kuwa kaziweka kwenye untraceable stocks hivi mnafikiri SAVIMBI wa UNITA walikuwa wanafund vipi vita ?
na wale TAMIL TIGERS wa Sri Lanka wanafund vipi vita vyao?
So lets not jump the gun eti pesa alizonazo Chenge kaziiba
Jiulizeni hao waingereza wamerudisha kiasi gani alichoiba BABANGIDA na ABACHA?
hapo sijaanza kuwazungumzia hao WASWISS
Hivi mnajua waarabu walipoanza kuondoa pesa zao toka USA after 9/11 baada ya witch hunts za wamarekani kulitokea nini?
Nakushangaeni mnangangania kuwaona hao SFO kama vile ni the cleanest of the clean na wana intereste za Tanzania. Kila kukicha nakuambieni mfano jiulizeni DFID washaingiza kiasi gani kwenye miradi ya maendeleo Tanzania na kiasi gani kimerudi UK
You're the one making these accusations, so support them. I'm merely invoking the defence that a man is innocent until proven guilty. I think you have convicted this man before any valid findings have been announced and that is not correct in any society