Mmmmmm, heb ngoja..........
Aisee, i think i love the whole me..
Sina kitu specific ambacho nakipenda kwangu zaidi ya vingine manake naona kila kitu nakipenda..
Yaani Physically, mentally, spiritually ...
hahahah..Waiting... Patiently....lol.. Usiniangushe Rejao lasivo namwita PAW....
Badala ya kujibu swali watu wanapiga story tu inaboa sana,mi napenda bidii yangu ya kutafuta pesa hata leo ikitokea jambo la kunikatisha tamaa kesho nikiamka nakuwa na mbinu mbadala nasonga mbele
Nimependa ulivojibu ila Tanmo nahisi umenikwepa.... Nitajie walau kimoja tu!
kucha
cz naztafuna nikiwa na stress ata nikiwa in gud mud n it has gud test
nawasilisha
AD, do something,,,, tell us about yourself as well!!!
Kwa kweli sioni cha zaidi ya vingine,
Anhaaaaa! Labda Kiburi, lol...
Manake kimenitoa kwenye mitego ambayo nisingekuwa nacho ningesafa zaidi!!
Khaaa!!! Vipi nitaje ile moja uliyoniambia kwamba unapenda sana vitumbuantarudi
Next time tukionana nitacheki na kucha zakokucha
cz naztafuna nikiwa na stress ata nikiwa in gud mud n it has gud test
nawasilisha
huyu jamaa hapendeki kabisa..labda akija kuwa soft kidogo.Unavozidi sema wamchukia nazidi mpenda!! lol