Mbeky
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 672
- 520
- Thread starter
- #81
Ushirikina wao sio wakushika vibuyu kaka anamaanisha kuwa hawa Freemasos ni watu wanao mwabudu shetani namaanisha kuwa wanampinga mungu kingine ni huu mstari wa mkuu Nicholas
Illuminati wana mind control, na kuna spiritual threats mbaya, ambazo muathirika ana ushuhuda wa adhabu za kishetani, na akipima anaona ni bora kumtetea mtesi wake kuliko.
hawa jamaa huwa wanacheza na akili za watu na Huwezi kuamini Mpaka sasa wanai control dunia kwa au zaidi ya 50% wanaamua kipi wafanye au kipi wasifanye yupi awe kiongozi yupi asiwe, pia katika mahakama nyingi huwa wanasimamia kesi kubwakubwa.
Duh..hizi mambo...