Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu ni kama imekula kwetu. Kumbe hata kwenye Hansard kitu kimetulia! Basi tena lake nyasa!
Ndio maana tunatakiwa kuwa makini sana kwenye issue za mipaka ku avoid vita visivyo na mpango.
Kwa ajili ya kulinda maisha na maendeleo ya watanzania waishio na kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi kwa kutegemea ziwa nyasa ilikuwa ni muhimu sana hadi muda huu tunapojadiliana hapa JWTZ ingekuwa imekita kambi katika mpaka wetu na malawi.
Mazungumzo yafanyike lakini wakati huo kila nchi ikiwa inaheshimu kutokuingia eneo la nchi nyingine hata kama wanadhani ni lao.
Vinginevyo JWTZ ilitakiwa kufanya kazi yake na kuwasukuma nyuma hao watafiti wasithubutu kugusa eneo letu.
Kwa ajili ya kulinda maisha na maendeleo ya watanzania waishio na kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi kwa kutegemea ziwa nyasa ilikuwa ni muhimu sana hadi muda huu tunapojadiliana hapa JWTZ ingekuwa imekita kambi katika mpaka wetu na malawi.
Mazungumzo yafanyike lakini wakati huo kila nchi ikiwa inaheshimu kutokuingia eneo la nchi nyingine hata kama wanadhani ni lao.
Vinginevyo JWTZ ilitakiwa kufanya kazi yake na kuwasukuma nyuma hao watafiti wasithubutu kugusa eneo letu.
Kwa ajili ya kulinda maisha na maendeleo ya watanzania waishio na kujishughulisha na shughuli mbalimbali za kijamii na kiuchumi kwa kutegemea ziwa nyasa ilikuwa ni muhimu sana hadi muda huu tunapojadiliana hapa JWTZ ingekuwa imekita kambi katika mpaka wetu na malawi.
Mazungumzo yafanyike lakini wakati huo kila nchi ikiwa inaheshimu kutokuingia eneo la nchi nyingine hata kama wanadhani ni lao.
Vinginevyo JWTZ ilitakiwa kufanya kazi yake na kuwasukuma nyuma hao watafiti wasithubutu kugusa eneo letu.
Ndokyo, journal siyo hansard
Hiyo kazi ilichapwa katika JMAS ni si hansard ya BUNGE la JMT au Mahakama Kuu.[/QUOT
utafiti ulifanya ukihusisha pia hansard...mf chief Mhaiki anapoargue kuhusu watanganyika wanaoishi karibu na ziwa ,hicho kipande ni hansard extract...umeipata hiyo?
Nina wasiwasi na researcher alieandika hiyo article, inawezekana alikua biased upande wa Malawi. Hajazungumzia kabisa kipindi ambacho mpaka uliwahi kuwa defined kupita katikati ya ziwa chini ya utawala wa mjerumani. The biggest point i got from it is that Nyerere said, the transferring of the boarder from the middle of the lake to the shore done by the british was illegal in the sense that the britons had no such capacity in the trustee territory of Tanganyika. They were supposed to take care of the territory and not to do activities going as far as changing of boarders!