The king makers

The king makers

Nazidi kuongeza madini katika ufahamu wangu wa mambo yanavyoendeshwa hapa duniani!
 


The bold naona Mods wamemuwachilia,
Karibu sana mkuu uraiani.
 
Umenirudisha kwenye topic ya "CONSOLIDATION"...chuo!......good work indeed...unaweza kidhi vigezo vya kwa financial journalist.
 
Saluti kwako mkuu.. Juzi kati nilikua maeneo yangu ya kujidai hapa kitaani. Kama kawaida nikishakula utirio huku nawaweka chini natoa lecture. Basi mzee mmoja akanifuata nimfahamishe chuo nilichosoma ili ampeleke mwanawe maana najua vitu vingi. nikamwambia ni THE BOLD UNIVERSITY Uganda.
plz usiache kuni tag.
Wewe ni sheeeeda...
 
Nauza viwanja..vipo Chanika majumba sita-homboza @3.5Milion..viko vitano..size 20kwa 20...vyote vina barabara..mtu akichukua kwa jumla vyote ni million 13 vyote.mawasiliano.Dr.Lyimo Innocent.phone no;0758317999.Watsup na SMS za kawaida plus cals utanipata.<br />Nb;kumejengeka mno..na maji yapo ,ila havijapimwa..ukitaka hati ile ya kijiji unaenda ofisi za kijiji wanakuprocesia hazina shida.Ni Mali yangu mwenyewe haina udalali
ONYO
hapa sio mahala pake
 
Back
Top Bottom