The Hexagon Arusha Stadium, uwanja wa kisasa kabisa wa mpira wa miguu kujengwa Olmoton Arusha

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,824
18,568
uwanja-pic.png


Mwananchi Communications Limited

Serikali ya Tanzania imejipanga kwelikweli katika kubeba jukumu la uenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 itakayoshirikiana na nchi za Kenya na Uganda.

Mara baada ya nchi kutambua kuwa inataka uenyeji wa fainali hizo zitakazokuwa za 36 tangu michuano hiyo ilipoanzishwa mwaka 1957, tayari mipango ilianza mapema ya kuhakikisha inakuwa na miundombinu rafiki kwa wageni watakaoshiriki fainali hizo zinazoandaliwa kwa mara ya kwanza na nchi za Afrika Mashariki (EAC).

Mbali na miundombinu, pia Tanzania ilishajipanga kujenga uwanja mpya wa kisasa katika jiji la kitalii la Arusha utakaokuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 30,000 watakaokaa na wenye huduma zote kwa uwanja wa kisasa kama huo ambao utafahamika kama The Hexagon Arusha Stadium.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini, Ally Mayay, uwanja huo utajengwa pembezoni mwa jiji la Arusha katika Kata ya Olmoti na tayari michoro ipo tayari na kwa sasa mainjinia wapo kazini kwa ajili ya ujenzi huo utakaochukua muda wa miezi 18 (mwaka na nusu) hadi kukamilika.

Mbali na uwanja huo, pia Benjamin Mkapa na Amaan Zanzibar ambavyo kwa sasa vyote vipo kwenye ukarabati navyo vinatarajiwa kutumiwa kwa fainali hizo zinazokuwa za sita kwa Ukanda wa Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya awali Sudan na Ethiopia kuandaa mara tano tofauti hadi kati ya 1957 na 1976 iliyokuwa mara ya mwisho kwa nchi za ukanda huo.

Pichani ni muonekano wa mchoro ya uwanja huo utakaofanana kwa kiasi flani na ule wa Allianz Arena unaomilikiwa na Bayern Munich ya Ujerumani na ule wa Taifa wa Senegal.

 
uwanja-pic.png


Mwananchi Communications Limited

Serikali ya Tanzania imejipanga kwelikweli katika kubeba jukumu la uenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 itakayoshirikiana na nchi za Kenya na Uganda.

Mara baada ya nchi kutambua kuwa inataka uenyeji wa fainali hizo zitakazokuwa za 36 tangu michuano hiyo ilipoanzishwa mwaka 1957, tayari mipango ilianza mapema ya kuhakikisha inakuwa na miundombinu rafiki kwa wageni watakaoshiriki fainali hizo zinazoandaliwa kwa mara ya kwanza na nchi za Afrika Mashariki (EAC).

Mbali na miundombinu, pia Tanzania ilishajipanga kujenga uwanja mpya wa kisasa katika jiji la kitalii la Arusha utakaokuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 30,000 watakaokaa na wenye huduma zote kwa uwanja wa kisasa kama huo ambao utafahamika kama The Hexagon Arusha Stadium.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini, Ally Mayay, uwanja huo utajengwa pembezoni mwa jiji la Arusha katika Kata ya Olmoti na tayari michoro ipo tayari na kwa sasa mainjinia wapo kazini kwa ajili ya ujenzi huo utakaochukua muda wa miezi 18 (mwaka na nusu) hadi kukamilika.

Mbali na uwanja huo, pia Benjamin Mkapa na Amaan Zanzibar ambavyo kwa sasa vyote vipo kwenye ukarabati navyo vinatarajiwa kutumiwa kwa fainali hizo zinazokuwa za sita kwa Ukanda wa Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya awali Sudan na Ethiopia kuandaa mara tano tofauti hadi kati ya 1957 na 1976 iliyokuwa mara ya mwisho kwa nchi za ukanda huo.

Pichani ni muonekano wa mchoro ya uwanja huo utakaofanana kwa kiasi flani na ule wa Allianz Arena unaomilikiwa na Bayern Munich ya Ujerumani na ule wa Taifa wa Senegal.

Hivi wa tanzania ujinga utaisha lini? yaani nchi hii ijenge uwanja wa namna hiyo kweli mtaji wa wanasiasa ni watu wajinga.
 
Uwanja kama allianz arena eti ujengwe miezi 18, wazungu wenyewe wenye pesa zisizokiwa na mbamba mbamba walitumia zaidi ya miaka minne, uwanja wa santiago, wa tottenham n.k ni zaidi ya miaka minne, leo hii mdanganyika anambiwa uwanja kama huo utajengwa miezi 18 naye amekaa kusimamisha fuvu juu.
 
CCM isingeiba viwanja vyetu nchi nzima, ilikuwa ni kuvifanyia tu ukarabati wa kutosha viwanja kama vya Kirumba Mwanza, Sheikh Amri Abeid Arusha, nk. Badala ya kujenga hivyo viwanja vipya, kwa mamilioni ya walipa kodi.
 
Uwanja kama allianz arena eti ujengwe miezi 18, wazungu wenyewe wenye pesa zisizokiwa na mbamba mbamba walitumia zaidi ya miaka minne, uwanja wa santiago, wa tottenham n.k ni zaidi ya miaka minne, leo hii mdanganyika anambiwa uwanja kama huo utajengwa miezi 18 naye amekaa kusimamisha fuvu juu.
Mkuu Allianz arena unabeba watu elfu 70 huu ni nusu yake usiogope mfanano inawezekana kujengwa
 
uwanja-pic.png


Mwananchi Communications Limited

Serikali ya Tanzania imejipanga kwelikweli katika kubeba jukumu la uenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 itakayoshirikiana na nchi za Kenya na Uganda.

Mbali na miundombinu, pia Tanzania ilishajipanga kujenga uwanja mpya wa kisasa katika jiji la kitalii la Arusha utakaokuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 30,000 watakaokaa na wenye huduma zote kwa uwanja wa kisasa kama huo ambao utafahamika kama The Hexagon Arusha Stadium.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini, Ally Mayay, uwanja huo utajengwa pembezoni mwa jiji la Arusha katika Kata ya Olmoti na tayari michoro ipo tayari na kwa sasa mainjinia wapo kazini kwa ajili ya ujenzi huo utakaochukua muda wa miezi 18 (mwaka na nusu) hadi kukamilika.

Pichani ni muonekano wa mchoro ya uwanja huo utakaofanana kwa kiasi flani na ule wa Allianz Arena unaomilikiwa na Bayern Munich ya Ujerumani na ule wa Taifa wa Senegal.
Tanzania wanataka kufanya kosa kubwa. Uwanja kama huo una gharama kubwa sana kuu-maintain, kuanzia umeme, nyasi, taa nk. Tozo zinazotokana na viingilio hazitoshi kumudu gharama za ku-manage uwanja.

Sasa kabla hawajavurumuka kujenga hivi viwanja, wajiulize, mashindano yakiisha, nini kitakuwa chanzo cha mapato ili viwanja hivyo viendeshwe kibiashara? Na hapo utakuta labda Arusha hakuna hata timu moja ya ligu kuu, au ligi ya pili.

Uwanja wa Taifa wa Mkapa unawashinda kuu maintain, na kuna timu nyingi zinautumia. Sembuse viwanja vya kisasa zaidi ya National Stadium?

Tutabaki na viwanja ambavyo ni white elephants
 
Uwanja kama allianz arena eti ujengwe miezi 18, wazungu wenyewe wenye pesa zisizokiwa na mbamba mbamba walitumia zaidi ya miaka minne, uwanja wa santiago, wa tottenham n.k ni zaidi ya miaka minne, leo hii mdanganyika anambiwa uwanja kama huo utajengwa miezi 18 naye amekaa kusimamisha fuvu juu.
Acha usha technology kila siku inakuwa mambo yanabadilika..
 
uwanja-pic.png


Mwananchi Communications Limited

Serikali ya Tanzania imejipanga kwelikweli katika kubeba jukumu la uenyeji wa michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) 2027 itakayoshirikiana na nchi za Kenya na Uganda.

Mara baada ya nchi kutambua kuwa inataka uenyeji wa fainali hizo zitakazokuwa za 36 tangu michuano hiyo ilipoanzishwa mwaka 1957, tayari mipango ilianza mapema ya kuhakikisha inakuwa na miundombinu rafiki kwa wageni watakaoshiriki fainali hizo zinazoandaliwa kwa mara ya kwanza na nchi za Afrika Mashariki (EAC).

Mbali na miundombinu, pia Tanzania ilishajipanga kujenga uwanja mpya wa kisasa katika jiji la kitalii la Arusha utakaokuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki 30,000 watakaokaa na wenye huduma zote kwa uwanja wa kisasa kama huo ambao utafahamika kama The Hexagon Arusha Stadium.

Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Michezo nchini, Ally Mayay, uwanja huo utajengwa pembezoni mwa jiji la Arusha katika Kata ya Olmoti na tayari michoro ipo tayari na kwa sasa mainjinia wapo kazini kwa ajili ya ujenzi huo utakaochukua muda wa miezi 18 (mwaka na nusu) hadi kukamilika.

Mbali na uwanja huo, pia Benjamin Mkapa na Amaan Zanzibar ambavyo kwa sasa vyote vipo kwenye ukarabati navyo vinatarajiwa kutumiwa kwa fainali hizo zinazokuwa za sita kwa Ukanda wa Baraza la Vyama vya Soka kwa Nchi za Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya awali Sudan na Ethiopia kuandaa mara tano tofauti hadi kati ya 1957 na 1976 iliyokuwa mara ya mwisho kwa nchi za ukanda huo.

Pichani ni muonekano wa mchoro ya uwanja huo utakaofanana kwa kiasi flani na ule wa Allianz Arena unaomilikiwa na Bayern Munich ya Ujerumani na ule wa Taifa wa Senegal.

Ukijengwa wa hivi kabla ya 2027, niiteni kenge niko palee napiga urabu, sijui mnatuonaje watanzania
 
Back
Top Bottom