The happiest King in the world

The happiest King in the world

Na tatizo jingine watu tumekuwa tukipangiana Sana namna ya kuishi.

Mtu kaamua kuwanunulia wake zake magari,
Alafu eti anatumia vibaya Pesa!!! Kheee
Hapana mkuu siyo sahihi kutumia kodi kwa mambo yako ya anasa. Kama ni hela kutoka kwenye mshahara wake sawa na hawezi kuwa na iyo hela ya kununua roll royce phtom ambayo moja tu ni 500k+ us dollars.

Ndio maana waafrika hatuendelei. Hakuna hela muhimu katika nchi kama kodi.

Misusing of taxpayers payers money and public funds its totally unacceptable and fundamental wrong
 
Wale tunaohonga Vishamba vya urithi vyenye Makaburi Tupooo?

Mwenzetu anafanya hivyo halaf anaoa bikra,
Sisi unakuta na njitu Mileage inasoma 90000km,
anakukatia mauno mpk unaona aibu mwenyewe, yy ukimcheki uso mkavuuu
unajiuliza huyu kastaafu twanga pepeta au?,
Maana haina haja ya kuwasha feni, ukitoka hapo una pumu.
 
Nchi yake ni nchi pekee duniani ambako mamlaka ya anga moja ya kazi yake ni pamoja na kudhibiti wachawi wanaoruka angani.Kuna sheria kabisa ipo kuwa mchawi anatakiwa kuruka angani mita ngapi toka ardhini akizidisha anakamatwa na kupekekwa mahakamani
Umetupiga kamba mkuu
 
Jamaa anaucha wi wa hatari inaaminika kukitofautiana naye jua halizami
Hii kitu ya uchawi unajua Nigeria wanatuogopa sana watu wa SADC, ninasikia kutoka Mozambique, Malawi mpaka South Africa huko namba mbovu sana.
 
Huyu jamaa kazi yake kubwa itakuwa kula papuchi, mengine wanafanya wasaidizi wake. Nadhani akitembea anakuwa na ile natural scent ya utamu manake sio kwa kuzitafuna hukwo, duniani kuna watu wanaishi bwana, different papuchis, different tastes!!
 
Jamaa anaucha wi wa hatari inaaminika kukitofautiana naye jua halizami
Hahaha ukiwa muoga hata likizama utadhani halijazama.
Kuna jamaa alichukua mke wa mtu akaambiwa mwenye mke kafahamu na atamloga.
Sasa jamaa alikuwa apiti njiani kuelekea kwake, anakatiza vichakani kama mbwa mwitu.
Akipita njiani akikutana na paka anakimbia akihisi ndio uchawi umefika.
 
Wale tunaohonga Vishamba vya urithi vyenye Makaburi Tupooo?

Mwenzetu anafanya hivyo halaf anaoa bikra,
Sisi unakuta na njitu Mileage inasoma 90000km,
anakukatia mauno mpk unaona aibu mwenyewe, yy ukimcheki uso mkavuuu
unajiuliza huyu kastaafu twanga pepeta au?,
Maana haina haja ya kuwasha feni, ukitoka hapo una pumu.
hahahha hahahaha. We jama kiboko kama sio mamba
 
🤣
Bahati mbaya hawa hawana hata sanduku la kura.
Dah...labda si hitaji lao la msingi au hawaamini katika hilo.....kuna mengi wanahitaji...kwa utamaduni wao..na mazingira yao...kama walivyopanga na kuchagua 🤣 🤣
 
Hapana mkuu siyo sahihi kutumia kodi kwa mambo yako ya anasa. Kama ni hela kutoka kwenye mshahara wake sawa na hawezi kuwa na iyo hela ya kununua roll royce phtom ambayo moja tu ni 500k+ us dollars.

Ndio maana waafrika hatuendelei. Hakuna hela muhimu katika nchi kama kodi.

Misusing of taxpayers payers money and public funds its totally unacceptable and fundamental wrong
Kugawa pesa barabarani unaunga mkono!
 
Na bado mwanamke atataka kuchepuka hapo, "hawaridhikii hawaaa"
 
Kwann inaitwa e swatini hiyo eswatini ndio kitu gani e stands for what?
Walibadili jina toka Swaziland kuwa Eswatini kama wachina walivyobadili toka Peking kuwa Beijing. Swaziland Luna mchanganyo wa Swatini na land (nchi).
 
Wale tunaohonga Vishamba vya urithi vyenye Makaburi Tupooo?

Mwenzetu anafanya hivyo halaf anaoa bikra,
Sisi unakuta na njitu Mileage inasoma 90000km,
anakukatia mauno mpk unaona aibu mwenyewe, yy ukimcheki uso mkavuuu
unajiuliza huyu kastaafu twanga pepeta au?,
Maana haina haja ya kuwasha feni, ukitoka hapo una pumu.
Naona umeamuwa kuwatukana mama zako, dada na shangazi zako aiseeee
 
Wale tunaohonga Vishamba vya urithi vyenye Makaburi Tupooo?

Mwenzetu anafanya hivyo halaf anaoa bikra,
Sisi unakuta na njitu Mileage inasoma 90000km,
anakukatia mauno mpk unaona aibu mwenyewe, yy ukimcheki uso mkavuuu
unajiuliza huyu kastaafu twanga pepeta au?,
Maana haina haja ya kuwasha feni, ukitoka hapo una pumu.

na pumu juu

Cc Kingsmann
 
Back
Top Bottom