The Finest mmmmhhhh

The Finest mmmmhhhh

HTML:
Umeanza sasa nini? Ukaona uweke rangi rangi ili ivutie zaidi kumbe wengine macho yanatuuma..

She has a knack to complain.....................or should I say nag.....................
 
Nimemaliza chupa mbili za Black Label hata sijalewa sasa sijui ni Black Label za kichina

hahahaha lol
pole sana sana
naona wengi walijitokeza kusherehekea nawe
samahani wakoloni walinibana sikuweza kujumuika
ila usijali mie ntaanda Private party for two hahahahah lol
Hope you had a wonderful day...
AD
 
HTML:
Umeanza sasa nini? Ukaona uweke rangi rangi ili ivutie zaidi kumbe wengine macho yanatuuma..

She has a knack to complain.....................or should I say nag.....................

hahahah lol
Ndo matatizo ya kuishu na sis wangu
Nyumba moja ... Nimesha mzoea ...
 
Dogoooo!!!!!!!!!! Nilikuwa cjasanuka mpaka nimekubamba haya kaka ukue ukiongezeka kimo ukimpendeza Mungu na cc pia HAPPY BIRTHDAY THE FN. Live longer Buddy
 
HTML:
Umeanza sasa nini? Ukaona uweke rangi rangi ili ivutie zaidi kumbe wengine macho yanatuuma..

She has a knack to complain.....................or should I say nag.....................
Ahaaa ahaaa Ruta banaaa lol
 
hahahaha lol
pole sana sana
naona wengi walijitokeza kusherehekea nawe
samahani wakoloni walinibana sikuweza kujumuika
ila usijali mie ntaanda Private party for two hahahahah lol
Hope you had a wonderful day...
AD
Ile ya kwetu ya kwenda kule bado naisubiria
Dogoooo!!!!!!!!!! Nilikuwa cjasanuka mpaka nimekubamba haya kaka ukue ukiongezeka kimo ukimpendeza Mungu na cc pia HAPPY BIRTHDAY THE FN. Live longer Buddy
Nashukuru sana mkuu umepotea sana banaa
hahahahah lol
ujembe umefika usijali
anakutakia Happy Birthday pia hahaha lol
Naona unakzi ya ku Explain kwa Kimey
Kimey utamuweza siku hizi amekuwa CIA na FBI
hahahah lol
Mzima lakini Kimey ...
Kimey amesema ataanda cocktail party
shuuuuuuuuu
usimwage mchele kwenye kuku wengi..
:gossip::A S 20:
:israel::israel::israel::israel:
Mkuu kila la heri nakutakia maisha marefu yenye mafanikio na afya tele
Nashukuru sana mkuu
 
Aisee AD kwani party imeisha?

Hapy belated birthday kiongozi....dah...wish u many more happy years bana

naona unakaribia kukabidhiwa katiba sasa...
 
Aisee AD kwani party imeisha?

Hapy belated birthday kiongozi....dah...wish u many more happy years bana

naona unakaribia kukabidhiwa katiba sasa...

Kaizer party haijaanza dear
party Jmosi hii .. Jamaa alizaliwa
katikati ya wiki .. Haifai kufanya party
Sasa mshike shati akupe invitation card yako
maana nimempa, nikampigia na magoti aifikishe....
hahahahahaha lol
 
Kaizer party haijaanza dear
party Jmosi hii .. Jamaa alizaliwa
katikati ya wiki .. Haifai kufanya party
Sasa mshike shati akupe invitation card yako
maana nimempa, nikampigia na magoti aifikishe....
hahahahahaha lol
Aisee ngoja nipeleke kadi ya Kaizer baadae usije ukanianzishia Kung Fu Panda
yeah he is amazing person
Thank you so much dear ..
Thank you sugar-cake :happy::happy::happy:
 
Back
Top Bottom