The Daring and Bold Magufuli

Mwenye uthubutu wa kujichotea trillions hazina pesa za walipa kodi bila idhini ya Bunge. Mwenye uthubutu wa kudharau sheria na taratibu zote za Serikali afanye vile atakavyo yeye na mara nyingi kuingiza nchi kwenye hasara kubwa sana.

Mwenye uthubutu wa hivi ambao 99% of the times ni majanga na hasara kubwa HATUFAI KABISA na hastahili kuendelea kuwepo madarakani.

Mwenye uthubutu wa kuminya upinzani, kuwaamrisha majaji wawafunge wabunge wa upinzani. Kifungo cha Sugu uamuzi ulitoka juu.

Mwenye uthubutu wa kuikata budget ya CAG, aliyeshindwa kutoa maelezo ya T 2.5 zikowapi.

Mwenye uthubutu wa kuongea Kiingereza ambacho anakisikia na kukielewa mwenyewe.
 
I think what you have just posted reinforces what I was trying to say. Magufuli can move things like a bulldozer. However, his style doesn't nurture the next gen of leaders.
 
Mwenye uthubutu wa kujichotea trillions hazina pesa za walipa kodi bila idhini ya Bunge. Mwenye uthubutu wa kudharau sheria na taratibu zote za Serikali afanye vile atakavyo yeye na mara nyingi kuingiza nchi kwenye hasara kubwa sana.

Mwenye uthubutu wa hivi ambao 99% of the times ni majanga na hasara kubwa HATUFAI KABISA na hastahili kuendelea kuwepo madarakani.
Hii Myth ya trililion kuchotwa hazina bila idhini ya bunge kama ilivyoletwa na Zitto mimi sijawahi kuona ushahidi wake. Katika kutuma lawama zake alidai ndege zilinunuliwa kinyemela bila idhini ya bunge, lakini ukipitia bajeti za Wizara ya Mawasiliano na Uchukuzi kwa miaka ya 2016/2017, 2017/2018. 2018/2019 utaonaona kuwa ununuzi wa ndege zote ulikuwa kwenye bajeti. Miradi yote ya ujenzi na uchukuzi imo kwenye bajeti; ni ajabu kuwa hata uwanja wa Chato ulikuwa kwenye bajeti na ikapitishwa na bunge lakini leo tunalalamika. Mbunge yoyote ana uwezo wa kusimamisha bajeti ya Wizara kwa kuondoa shilingi kama anaona kuna miradi haifai kutekelezwa; na inaonekana Zito naye hakuondoa shilingi yake kwenye bajeti zote.Siku hizi Zito amekuwa anarusha namba hewani ambazo hana ushahidi nazo, na kwa bahati mbaya sana baadhi yetu huchukulia matakamko yake kama kweli tupu hatuchukua muda kupima ukweli wake.

1564974483049.png
1564974988459.png
1564974872776.png
1564974125389.png
 

Attachments

  • 1564974818119.png
    1564974818119.png
    25.5 KB · Views: 5
Kasome ripoti ya CAG ya mwaka jana na mwaka huu pia. Wasikilize Wabunge wa upinzani. Watu hawakurupuki na kuandika vitu kutoka hewani.

Mfano kajichotea $495 millions bila idhini ya Bunge kwenda kununua ndege kwa cash, kisha kuigomea ofisi ya CAG isifanye audit ya pesa hizo. Pia kuna trillions zimechotwa na kupelekwa chato bila idhini ya Bunge.

Mtu anayejali maslahi ya nchi na pesa za walipa kodi iweje agomee ofisi ya CAG kufanya ukaguzi wa pesa husika!?

Hakuna sheria yoyote ile ya nchi inayompa mamlaka ya kugomea ofisi ya CAG kufanya audit zaidi ya kutumia udikteta na hofu kubwa ya maovu yaliyofanywa kuhusu pesa husika.

Zitto
 
Kasome ripoti ya CAG ya mwaka jana na mwaka huu pia. Wasikilize Wabunge wa upinzani. Watu hawakurupuki na kuandika vitu kutoka hewani.

Mfano kajichotea $495 millions bila idhini ya Bunge kwenda kununua ndege kwa cash, kisha kuigomea ofisi ya CAG isifanye audit ya pesa hizo. Pia kuna trillions zimechotwa na kupelekwa chato bila idhini ya Bunge.

Mtu anayejali maslahi ya nchi na pesa za walipa kodi iweje agomee ofisi ya CAG kufanya ukaguzi wa pesa husika!?

Hakuna sheria yoyote ile ya nchi inayompa mamlaka ya kugomea ofisi ya CAG kufanya audit zaidi ya kutumia udikteta na hofu kubwa ya maovu yaliyofanywa kuhusu pesa husika.

Zitto
Sisemi kuwa watu wanakurupuka bali ninalosema ni kuwa madai hayo hayana ushahidi. Usifuate unaloambiwa na wanasiasa, wewe chukua muda usome documents halisi. Soma hotuba za bajeti za wizara ya uchukuzi na Ujenzi zote kwa miaka hiyo minne, halafu pia usome ripoti za ukaguzi kwa miaka yote minne. Soma mwenyewe, usipewe summary na mtu mwingine; ukitegemea summary utalatewa summary ya William Barr kuwa there was no collusion!

Madai haya ni ya siku nyingi sana, na nimepitia nyaraka nyingi sana ili kupata ukweli wake, ndiyo maana nasema ni myth inayotokana na maneno ya Zitto yasiyokuwa na ushahidi. Wabunge wa upinzani hutoa hisia zao bungeni bila kuwa na ushahidi wowote, kwa mfano kudai kuwa ATCL haikukaguliwa kwa hiyo kuna jambo wanaficha kuhusu ununuzi wa ndege huku ikijulikana kuwa ndege hizo hazikununuliwa na ATCL bali zilinunuliwa na serikali; ATCL imekodishiwa tu. Kuhusu ripoti ya CAG yote niliisoma na yeye mwenyewe anasema kuwa 97% repoti za serikali zilikuwa perfect, 3% ndizo zilikuwa na ripoti zenye mashaka, na hapakuwa na hati isiyoridhisha. Hawezi kufikia conclusion hiyo kuwa hakuna hati isiyoridhisha iwapo kuna pesa zimechotwa kinyemela. Kuwa na hati yenye mashaka hakuna maana ya kuwa ni matumzi haramu, bali ni kutokuwa na record za kutosha kitaalamu.

1564977125517.png


Kama pesa zingekuwa zinachotwa kinyemela namna hiyo halafu kuna matokeo tunayoona, basi ni wazi kuwa serikali zilizopita zilikuwa zinachota kwa vifaru.
 
Siku nyingi sana zipi? Wakati ripoti za ofisi ya CAG zilizoweka bayana uchotwaji wa pesa bila idhini ya Bunge na pia kutojulikana kwa 1.5 trillion ambayo haijulikani imetumika vipi katika ripoti ya mwaka jana na mwaka huu 5 trillions ambazo hata kwenye mfuko wa hazina hazikuingia hazijulikani zimetumika vipi?

Kuna sheria inayompa mamlaka ya kuzuia ofisi ya CAG kufanya audit ya pesa za walipa kodi? Waliomtangulia hawajawahi hata mara moja kuizuia ofisi ya CAG kufanya audit ya pesa zozote za walipa kodi. Unadhani kwanini yeye kagomea audit ya $495 millions kununua ndege, pesa zote zilizopelekwa chato, 1.5 trillions ambayo haijulikani ilipo katika ripoti ya mwaka jana na 5 trillions haijulikani ilipo katika ripoti ya mwaka huu?

Siyo kuwa nimekurupuka, kwani madai haya ni ya siku nyingi sana, na nimepitia nyaraka nyingi sana ili kupata ukweli wake, ndiyo maana nasema ni myth inayotokana na maneno ya Zitto. Wabunge wa upinzani hutoa hisia zao bungeni bila kuwa na ushahidi wowote, kwa mfano kudai kuwa ATCL haikukaguliwa kwa hiyo kuna jambo wanaficha kuhusu ununuzi wa ndege huku ikijulikana kuwa ndege hizo hazikununuliwa na ATCL bali zilinunuliwa na serikali; ATCL imekodishiwa tu. Kuhusu ripoti ya CAG yote niliisoma na yeye mwenyewe anasema kuwa 97% repoti za serikali zilikuwa perfect, 3% ndizo zilikuwa na ripoti zenye mashaka, na hapakuwa na hati isiyoridhisha. Hawezi kufikia conclusion hiyo kuwa hakuna hati isiyoridhisha iwapo kuna pesa zimechotwa kinyemela. Kuwa na hati yenye mashaka hakuna maana ya kuwa ni matumzi haramu, bali ni kutokuwa na record za kutosha kitaalamu.

View attachment 1172626


Kama pesa zingekuwa zinachotwa kinyemela namna hiyo halafu kuna matokeo tunayoona, basi ni wazi kuwa serikali zilizopita zilikuwa zinachota kwa vifaru.
 
Siku nyingi sana zipi? Wakati ripoti za ofisi ya CAG zilizoweka bayana uchotwaji wa pesa bila idhini ya Bunge na pia kutojulikana kwa 1.5 trillion ambayo haijulikani imetumika vipi katika ripoti ya mwaka jana na mwaka huu 5 trillions ambazo hata kwenye mfuko wa hazina hazikuingia hazijulikani zimetumika vipi?

Kuna sheria inayompa mamlaka ya kuzuia ofisi ya CAG kufanya audit ya pesa za walipa kodi? Waliomtangulia hawajawahi hata mara moja kuizuia ofisi ya CAG kufanya audit ya pesa zozote za walipa kodi. Unadhani kwanini yeye kagomea audit ya $495 millions kununua ndege, pesa zote zilizopelekwa chato, 1.5 trillions ambayo haijulikani ilipo katika ripoti ya mwaka jana na 5 trillions haijulikani ilipo katika ripoti ya mwaka huu?
Hiyo post nilliedit baada ya kupost lakini kumbe tayari ulikwishaikopi

Sasa wewe usiongee hisia zaidi; ripoti zote za CAG zote ziko hapa;


Chomoa ripoti mojawapo unionyeshe ukurasa gani unasema TSh1.5t zimeibiwa. Hizi Summary za Zitto zinatupoteza sana. Tofautisha accounting error na wizi.

Halafu bajeti za Wizara ya Ujenzi, Usafirishaji na Mawasiliano ziko hapa


Tafuta mradi unaojengwa ambao haukuwa kwenye bajeti

Geita Regional Airport ilikuwa kwenye bajeti na ilikuwa imetengewa TSh4,000m, kilichofanyika tu kuamua kuujenga Chato badala ya sehemu nyingine kwenye Mkoa huo wa Geita.
1564980050926.png
 
Mwalimu,

This "weighing" scale is too big to try and qualify Bwana mkubwa to be fiting. Yes, we may give him kudos for decisiveness but due to recklessness.. things have been overtutned and will overturned when he is gone.

People (watu, Team) are scared to stand up and say "boss this isn't right" becuase of the cult of people who will punch you in the face and bark "how dare you say boss this isn't right" and he will snarl and utashughulikiwa.

If the devisiveness was more measured and not impulsive and reactionary i would have said.. yes, the leader, vision and plans are strong.

Honsetly if we were to throughly take time and award objectovely grades (A-F) on the 9 leadership qualities listed.. I am afraid weight average will be D- or D, not anywhere close to C!
 
Uamuzi wa kuhamisha ujenzi wa airport kutoka Geita na kwenda Chato ulifanywa na nani na kuthibitishwa na nani? Unilateral decision ya Waziri au Rais? isnt that abuse of power? or rather deceiption?
 
Comrade Mzuvendi,

It had been years since we enjpyed such discussions.

I have highlighted few things on your first paragraph and I am very much alarmed by your comments which comes across as adoration of the "strong leadership" even though in true essence it isnt leadership but a type of Ops Manager or the MBWA typw (management by walking around) which isnt leadership at all. What is evenscary is that at nearly 60 years of self independence, there is a desparate need ya the type of "hands on " leader which is a result of delegation of responsibility hasn't worked well.

The quesion is would this shaking up things would result to a new norm? ridding paying lip service, reversing micro management and allow delegation to take place? would the new day become self sustainable and durable to last at least3 to 4 future decades with leadership rotation to come afte Magufuli?

Lastly, why does Tanzania at 58 years old, needed to have a micro manager as president of the country? Why arent we self propelling to get things done and we had to require mkung'uto na virungu to get the gurudumu la Taifa move somehow from tope... regardless if its moving to the right direction or not?

Do we have a succession (successor) system that can carry one the tempo, zeal and attitude ya result orianted leadership.. au kama kawaida tutakwenda through phase ya "hebu tupumue kwanza'? and if as taifa we choose "hebu tupumue kwanza"... don't wea ll think its time to do soul search to how we got there?
 
Uamuzi wa kuhamisha ujenzi wa airport kutoka Geita na kwenda Chato ulifanywa na nani na kuthibitishwa na nani? Unilateral decision ya Waziri au Rais? isnt that abuse of power? or rather deceiption?
Bunge linatenga pesa halafu Wizara inasimamia; kwa hiyo madai ya kuchota pesa hazina kinyemela bila kupitishwa na bunge sasa tukubali siyo kweli.

Sasa zile operational procedures za utekelezaji wa miradi hilo ni jambo la Wizara husika, siyo la Bunge. Ijulikane kuwa Geita ni mkoa mkubwa na ile Regional Airport ingeweza kujengwa sehemu yoyote ndani ya mkoa huo kwa vile hakukuwa na airport yoyote ndani ya mkoa huo wakati huo; ndiyo maana appropriation inmonyesa kabisa kuwa construction of new airport. Inaonekana wazi kabisa kuwa kulikuwa na upendeleo wa kuchagua mahala pa kujenga airport hiyo kumpendeza Magufuli personally, lakini hilo halikiuki sheria yoyote ya bunge.
 
Kwa vile hatujawahi kuingia kwenye vikao vya cabinet yake, ni vigumu kujua iwapo kweli watu wake wanaogopa kumwambia ukweli, eti hawasikilizi washauri wake. Hizo ni speculations tupu. Kutoa amri za ufuatailiaji wa jambo fulani hadharani ni tofauti sana na kujadiliana mikakati ya uendeshaji mkiwa kikaoni.

Wakati wa ufunguzi wa airport terminal 3, nilisikia kuwa mwaka 2016 ujenzi ulisimama, Magufuli akaingilia kati, lakini akashauriwa vingeniveyo, na kweli akakubali ushauri ule.

Akiondoka madarakani ni kweli kiongozi ajaye ataweza kuovertrun maamuzi yake ya sasa hivi. It happens everywhere; Mwinyi alioverturn Azimio la Arusha, Mkapa alioverturn Ruksa, Kikwete alioverturn Uwazi na Ukweli, Trump ameoverturn maamuzi mengi ya Obama. Hiyo haitanishanganza, inategemea anaoverturn kwa mema, mabaya au kwa kisasi cha kutaka kufuta legacy ya yule aliyemtangulia.
 
Hatari ni kuwa hana Muda wakujenga BOLD and DARING Institutions( Kitu nachoamini akitaka anaweza na akiondoka tutamkumbuka kwa kujenga strong institutions) , yuko busy Kujijenga yeye.
Muda utasema.
Build strong institutions and being individually bold and daring aren't mutually exclusive. So personally I think he can continue with his leadership style only if the end game is to make the country and the institutions the country depends on stronger.

This notion of weakening institutions is very conjectural because I see all institutions running smoothly. The Parliament, Ministries, Courts, National Defense and Security Forces and all organs are running as expected. Of course is not business as usual, they have to run at some standard; if the head of some institution cannot lead that institution at the expected standard, it is fine for the president to let him/her go. The days of business as usual are gone
 
Duh...kuandika unapenda lkn ukiangalia matukio yanayotokea, ukaangalia watoto wako, mme...basi unasema ngoja nibaki kuwa msomaji walau nishuhudie wanangu wakikua...
 
Duh...kuandika unapenda lkn ukiangalia matukio yanayotokea, ukaangalia watoto wako, mme...basi unasema ngoja nibaki kuwa msomaji walau nishuhudie wanangu wakikua...

Unaweza kupinga jambo lolote lakini lipinge ukiwa na ushahidi wa kwa nini unapinga. Wengie wamekuwa wanalalamika hapa kwa kutumia data za Zitto ambazo na kujipikia. Najua kuwa wakati wa Kikwete viongozi wa serikali walikuwa wanajigawia fedha mbalimbali ambazo walikuwa wanazirudisha kwenye mzungukp na hivyo raia wote kupata mgao fulani. Pamoja na effect nzuri ya hela hizo, zilikuwa nia pesa haramu. Jamaa kabana hizo pesa haramu zisiingine kwenye mzunguko tena, na najua kuwa watu wanaumia sana. Nakumbuka pia wakati wa utawala wa Mkapa tulikuwa na kitu kinaitwa Ukapa kwa sababu hiyo hiyo. Suluhishi siyo kuruhusu peasa haramu ziendelee kuingia mitaani, na vile vile siyo kutoa lawama ambazo hazina msingi.

Kitu ambacho watu wangelalamikia zaidi ni kuwa miradi yote ya ujenzi inayolipiwa na pesa za serikali iajiri watanzania wengi kwa malipo mazuri kusudi pesa hizo ziingine mitaani tena, siyo kuleta hadithi za uongo kuwa pesa zimechotwa kiholela. Mimi ninakumbukua kuwa miaka ya themanini wakati wa miradi ya Nyerere, wazungu kwenye miradi ile walikuwa ni wale mabosi wa ufundi tu, lakini watumishi wengine wote walikuwa watanzania, na pesa za miradi ile nyingi zilikuwa zinarudi mitaani.
 
Data utazitoa wapi hali watoa data wanabambikwa kesi? Kwa Mh.Kikwete tuliona kwa sababu watu waliruhusiwa kusema kile ambacho wewe unaona kilikuwa kibaya kwa wakati ule..hv sasa utapata habari kutoka serikalini tu hakuna chanzo chochote cha habari.

Tatizo si kuwa na habari za uhakika tatizo ni kuwa wenye madaraka hawataki kusikia wasichopenda...Najua unaelewa ninachomaanisha lkn unahamua kutwist twst maneno..uko kwenye hofu kama mimi lkn umeamua kutetea ili na wewe ushuhudie wanao wakikua kama mimi..

NHv bei za ndege ni mil 500 kama sio gharama zilihidhinishwa na nani?

Je kuna tofauti kati Geita na Chato? Kama pesa ziliidhinishwa kujenga.uwanja Geita ilikuwaje zikapelekwa Chati...Unataka kuniambia wabunge walishindwa kuandika neno Chato..au Ninaposema Geita ninamaanisha Chato?
 
Data utazitoa wapi hali watoa data wanabambikwa kesi? Kwa Mh.Kikwtw tulona kwa sababu watu waliruhusiwa kusema kile ambacho wewe unaona kilikuwa kibaya kwa wakati ule..hv sasa utapata habari kutoka serikalini tu hakuna chanzo chochote cha habari.

Tatizo si kuwa na habari za uhakika tatizo ni kuwa wenye madaraka hawataki kusikia wasichopenda...Najua unaelewa ninachomaanisha lkn unahamua kutwist twst maneno..uko kwenye hofu kama mimi lkn umeamua kutetea ili na wewe ushuhudie wanao wakikua kama mimi..

Tuwe na imani kuwa kuna vyombo vyenye mamlaka ya kutoa statistical data za serikali; iwapo unapewa data na serikali halafu unasema ni za uowongo wakati wewe huna mamlaka ya kukusanya data hizo, unaishia kujipikia data za kukufurahisaha tu lakini siyo realistic. Kwa marekani kila mwisho wa mwezi Wizara ya kazi hutoa data kuonyesha ni watu wangapi wampata ajira mwezi huo, halafu Wizara ya Biashara nayo hutoa maendeleo ya cuhumi kwala baada ya miwezi mitatu Trump alikuwa anapinga data hizo wakati wa Obama lakini leo anakubaliana nazo.

Sheria hiyo ya kudhibiti utoaji wa takwimu za serikari siyo nzuri kidemokrasialakini vile vile inapunguza upotoshaji usiokuwa na ushahidi. Kama hatuna imani na vyombo vyetu vya serikali kuhus takiwmu zake, basi hilo ni jambo tofauti kabisa.
 
Tuwe na imani kuwa kuna vyombo vyenye mamlaka ya kutoa statistical data za serikali; iwapo unapewa data na serikali halafu unasema ni za uowongo wakati wewe huna mamlaka ya kukusanya data hizo, unaishia kujipikia data za kukufurahisaha tu lakini siyo realistic. Kwa marekani kila mwisho wa mwezi Wizara ya kazi hutoa data kuonyesha ni watu wangapi wampata ajira mwezi huo, halafu Wizara ya Biashara nayo hutoa maendeleo ya cuhumi kwala baada ya miwezi mitatu Trump alikuwa anapinga data hizo wakati wa Obama lakini leo anakubaliana nazo.

Sheria hiyo ya kudhibiti utoaji wa takwimu za serikari siyo nzuri kidemokrasialakini vile vile inapunguza upotoshaji usiokuwa na ushahidi. Kama hatuna imani na vyombo vyetu vya serikali kuhus takiwmu zake, basi hilo ni jambo tofauti kabisa.
Hapo juu umesema kuhusu utawala wa Kikwete hizo data kuhusu utawala wa.Mh.Kikwete ulizitoa wapi? Ulizitoa kwa vyombo vyenye mamlaka? Au Kwa Mh.Kikwete ni sawa kwa Magufuli si, sawa?
Husisahau kujibu post no.36
 
Hapo juu umesema kuhusu utawala wa Kikwete hizo data kuhusu utawala wa.Mh.Kikwete ulizitoa wapi? Ulizitoa kwa vyimbo vyenye mamlaka? Au Kwa Mh.Kikwete ni sawa kwa Magufuli si, sawa?
Cool down; wewe pitia bajeti zote za serikali wakati wa Kikwete, halafu vile vile pitia bajeti zote za serikali wakati wa Magufuli; hazifichwi kama nilivyomuonyesha ndugu yangu BAK huko nyuma. Matumizi yote yaliyoko kwenye sehemu inayoitwa Recurrent Expenditure kwenye bajeti hizo ndiyo ambayo huingia mitaani, halafu yale ya Capital au Development Expenditure ndiyo yanayojenga miradi ya maendeleo. Matumzi haya yako wazi kwenye kila Wizara, ukitaka nitakutafutia lakini yako wazi kabisa. Kikwete alikuwa na recurrent expenditures kubwa sana kuliko capital expenditures, na kuna mara kadhaa Ofisi ya Rais ilikuwa inazidisha kiwango kilichoidhinishwa na Bunge kutokana na safari nyingi za nje ingawa hatukulalamika. Safari moja ya Rais ilikuwa inaongozan na ujumbe wa tu wengi sana ambao wote walikuwa wanalipwa allowances!.
 
Alinda post yako #36 jibu lake linapatikana kwenye post yangu hii. Usiendeshe maisha yako kwa hisia na kitu kinaitwa Confirmation Bias. Wewe fanya mambo yako kulingana na uhalisia na ukweli wa mambo yaliyoko mbele yako wakati huo.

Geita ni mkoa, na Chato ni mojawapo ya wilaya tano zilizo ndani ya mkoa wa Geita. Appropriation ilisema uwanja utajengwa mkoani Geita, haukusema utajengwa mjini Geita au wilayani Geita. Soma tena bajeti ile kwenye link nilizoweka huko nyuma. Ni kweli kuwa uamuzi wa kuepeleka uwanja huo Chato ulikuwa wa kibinafsi sana kwa Magufuli, lakini haukuvunja sheria yoyote ya bunge.

1565124260591.png
 
Back
Top Bottom