klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
sasa bihalusi kongosho mbona haonekani tena? au shela halikumfaa?Mgogoro wa madeni wa Ugiriki umechakachua euro, haifaaai, thamani yake kama Benki Kuu ya Ulaya yupo Mkulo!
sasa bihalusi kongosho mbona haonekani tena? au shela halikumfaa?Mgogoro wa madeni wa Ugiriki umechakachua euro, haifaaai, thamani yake kama Benki Kuu ya Ulaya yupo Mkulo!
Ipi hiyo Boss? Niliyoiona imemaliza na nikihitaji matofali mekundu niku PM
btw huyo Koshongo hahitaji kufundishwa mistari yeye kaachiwa urithi wa unyakanga wa ukoo, uchoke wewe tu
Haloooo
hee hee we mtoto
lugha ya 'manchester tandale' 'arosto' na wewe waijua?
kumbe 'manchester' haikasahaulisha sana?
uliiona pre nup ya beyonce?some pre nup zinawaumiza men...
kaitazame tena basi..lol
sasa bihalusi kongosho mbona haonekani tena? au shela halikumfaa?
#lawyer kakimbia naona....lol
huyu lawyer huyu.....anaweza fanya 'mapinduzi'.....simuoni lol
#
Hii kesi inataka umakini sana aisee!
wewe endelea na gaijin mimi kuna paperworks za biharusi nazishuhulikia
Hahaha Boss "Tandale oyeeee" au umesahau?!
Inamuumiza nini wakati kuwa na Bee "with her fake baby bump" tayari ujiko kwa Jay Zee!
kwa kweli Tandale yetu inakufanya uwe 'more alive and down to earth' lol
kwenye pre nup jay z atamlipa bee dollar milioni tano kwa kila mtoto atakaezaliwa...
Sasa shida gani?
Mnajua gharama ya mtoto kwa Bee?
Aache kusaka faranga muda mrefu, achakarike gym zaidi kurudisha mwili uwe na mvuto wake wa kila siku.
Milioni tano mbona kidogo?
wewe ulitaka kiasi gani?
wewe na kloro mkimshika 'kichwa' kongosho
nitakiona lol
TB unabahati sana wengine humu hata PM ya uwongo na kweli hakuna
Boss ngoja kwanza, nimeiona ile thread ....hahaha
Hunipatii picha ee. Hapo hujafika hata kwenye suala zima la kupika na kuni.
Unaambiwa uvuke mto ukiuliza daraja unaonyeshwa gogo! Huuuuh
hahaa umeona eeh????
Mkuu ukitaka wakuPM anzisha sredi ya "nyumba ndogo" tu watakumind kichizi. (na hii ndio siri ya mafanikio ya The Boss)TB unabahati sana wengine humu hata PM ya uwongo na kweli hakuna
Mkuu ukitaka wakuPM anzisha sredi ya "nyumba ndogo" tu watakumind kichizi. (na hii ndio siri ya mafanikio ya The Boss)