Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Hivi Boss ulisha mkubali Kongosho?
Maana bado hakieleweki.................
Aaaah! Afrodenzi, mbona swali lako limekaa kama halijaeleweka? Huyu boss analo! Atadondokewa hapa mpaka akome
Hivi Boss ulisha mkubali Kongosho?
Maana bado hakieleweki.................
Hivi nania anaamsha haya maruhani jamani
Naomba shekhe aje achome ubani
I hate you Lizzy, with my very own sol.
Ndahani, nimewahi kukukosea?
Au kukuudhi?
Why all this?
Hizi tamathali za semi na nahau za nini?
All my friends are quite, and you should be one of them.
Kongosho ulisomaga 'novel' ya salamu kutoka kuzimu by Jerry Kiango (if I'm correct, manake niliisoma nikiwa std 5,lol).
Itafute, murua sana
honestly sikuwahi kuhisi wewe ni mdada
but i am humbled ......karibu jf......
Tangawizi nae... yani kaenda kupekua archives na kuifukua thread ya watu ya mwaka jana, alafu anajifanya kushangaa as if kaionna tu kwa bahati mbaya!
Mwali, we bado hujajua ya kale dhahabu? Mi nimefundishwa kujari yaliyopita ili kujipanga na yale yanayokuja. I like this Dude anayedondokewa kama hana akili nzuri, lol!
Umetumia neno la busara kutetea ujinga. Mambo ya The Boss na Kongosho yanakusaidiaje wewe kujipanga?Mwali, we bado hujajua ya kale dhahabu? Mi nimefundishwa kujari yaliyopita ili kujipanga na yale yanayokuja. I like this Dude anayedondokewa kama hana akili nzuri, lol!