
Nitasimulia tu Mkuu wala usijali.. Ila next year nadhani (kuhusu hicho kilichotokea)The bold tushushie vitu banaaaa halaf utusimulie nini kilikukuta tujue na sisi mura
Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope, mamaafacebook II
Yeah nafahamu Mkuu! Na movement ilifanikiwa haswaaa..Hilo jina lilitokana na kuanzisha movement ya kutetea wanyonge/makapuku iliishaisha
Anyway nakuelewa sana
dah mkuu umenifurahisha sanaHaya majina ya watu wa jamii forum utafikiri majina ya majiniii.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Jipaishe nawe tukusifie, maana hiyo laki imekuwa adimu sana mtaani, huenda ikawa blessing $$$ kwa wakusifiaoUmejipaisha tu huna lolote
Hizi post zimenichekesha sana, maana Yamakagashi ni mpweke anahitaji kampani ya member wa kike.Dah mpaka machozi hivi hamna ka member lonely kama mimi tuanzie safari yetu humu kwenye uzi wa The bold ?
Nipo nimejaa tele kaa pishi la ubwabwa
Hizi post zimenichekesha sana, maana Yamakagashi ni mpweke anahitaji kampani ya member wa kike.Dah mpaka machozi hivi hamna ka member lonely kama mimi tuanzie safari yetu humu kwenye uzi wa The bold ?
Nipo nimejaa tele kaa pishi la ubwabwa
Mkuu mimi sio ndugu The bold ,lakini mimi pia ni "mwanafunzi" na "mfuasi" mkubwa wa huyu jamaa,mpaka "kijiweni" kwangu kuna mtu huwa anadadavua mambo mpaka tumempa jina la The bold