The Bold: Shukrani Wakuu

The Bold: Shukrani Wakuu

Thanks The bold
Screenshot_2016-12-08-21-48-16-1.png
 
Hongera mkuu The bold mwaka unaenda kuisha sasa wacha niseme wewe ni hazina una utajiri wa kutisha katika brain yako kipaji ulicho nacho ni cha kipekee sana mku.
Binafsi wewe ni mtu muhimu unaeyenielimishaga na kunifanya nakuwa nafuraha niingiapo hapa najifunza mengi kutoka kwako, mada zako na michango yako kwa kweli imenitanua sana upeo wangu wa mwono Respect sana mkuu& SALUTE.
 
Mungu wangu! Am speechless.
Sikuwahi kufikiri kama ipo siku nami nitakuwepo katika list yako ya kukumbukwa!
What a honour?
Asante sana The bold.

Ni kweli kabisa, nakiri tulikuwa maadui wakubwa sana.
Kila tulipokutana ktk threads tuliumana kwelikweli, namshukuru Mungu kwa busara alizokujaalia maana siku zote ulijishusha wewe.

Nakupongeza kwa aina ya makala ulizoamua kuja nazo ndizo zilizonifanya niweke silaha chini na kuomba kuimaliza vita.

Kupitia kwako nimejifunza mengi kubwa zaidi ya yote ni kumheshimu kila mtu.
Nilikuchukia kipindi kile,sikuwahi kufikiri kama una akili kubwa kiasi cha kunifanya nianze kuvutiwa nawe.
Hivi sasa nimebadilika sana,namheshimu kila mtu humu JF,nimeamua kwa nia ya dhati kuachana na vita vya maneno na members humu.

Never say never,nobody knows tomorrow...
Leo hii wewe niliyekuchukia ndiye kitu cha kwanza kunijea ktk akili yangu kila niamkapo.
Lazima nikutafute nikutakie asubuhi njema ndipo mambo mengine yaendelee.

Nakutakia kila la kheri katika makala zako za kusimumua,daima nitakuwa nawe bega kwa bega.
You got my full support my love...
#TheBoldIsMine#
Neno wakati mwingine si kwa chuki bali challenge kama umerudi kutetea hoja kwa nguvu ya hoja badala ya hoja ya nguvu maana kipindi kile ukiwa na vita baridi na yule bi. Dada mange ulikuwa umetumbukiwa nyongo hukuwa na simile na wala hukuzikwepa fatiki basi nawe makofi kwako maana kupata heshima si kazi bali kazi kulinda heshima yako
 
Hongera mkuu The bold mwaka unaenda kuisha sasa wacha niseme wewe ni hazina una utajiri wa kutisha katika brain yako kipaji ulicho nacho ni cha kipekee sana mku.
Binafsi wewe ni mtu muhimu unaeyenielimishaga na kunifanya nakuwa nafuraha niingiapo hapa najifunza mengi kutoka kwako, mada zako na michango yako kwa kweli imenitanua sana upeo wangu wa mwono Respect sana mkuu& SALUTE.
Shukrani sana sunola! Salute
 
Back
Top Bottom