The Bold: Shukrani Wakuu

Mungu wangu! Am speechless.
Sikuwahi kufikiri kama ipo siku nami nitakuwepo katika list yako ya kukumbukwa!
What a honour?
Asante sana The bold.

Ni kweli kabisa, nakiri tulikuwa maadui wakubwa sana.
Kila tulipokutana ktk threads tuliumana kwelikweli, namshukuru Mungu kwa busara alizokujaalia maana siku zote ulijishusha wewe.

Nakupongeza kwa aina ya makala ulizoamua kuja nazo ndizo zilizonifanya niweke silaha chini na kuomba kuimaliza vita.

Kupitia kwako nimejifunza mengi kubwa zaidi ya yote ni kumheshimu kila mtu.
Nilikuchukia kipindi kile,sikuwahi kufikiri kama una akili kubwa kiasi cha kunifanya nianze kuvutiwa nawe.
Hivi sasa nimebadilika sana,namheshimu kila mtu humu JF,nimeamua kwa nia ya dhati kuachana na vita vya maneno na members humu.

Never say never,nobody knows tomorrow...
Leo hii wewe niliyekuchukia ndiye kitu cha kwanza kunijea ktk akili yangu kila niamkapo.
Lazima nikutafute nikutakie asubuhi njema ndipo mambo mengine yaendelee.

Nakutakia kila la kheri katika makala zako za kusimumua,daima nitakuwa nawe bega kwa bega.
You got my full support my love...
#TheBoldIsMine#
Unajuaga vile mtu unakosa the right words kuexpress kile unataka kusema.. Ndio niko kwenye situation hiyo.. Sipati neno la kukwambia..

Thank you beautiful!
 
Naheshimu sana unachokifanya. Uandishi ni tasnia ngumu sana, unaweza ukawa na kipaji ila kama huna content utaishia kuandika madudu, unaweza ukawa na content ila huna kipaji cha uandishi pia utaishia kuandika madudu tu.

Kipaji ni baraka huwa kinakuja tu ila content ni kitu kinachotafutwa ... unatakiwa kusoma sana ila ukitumia nguvu kubwa katika kusoma tu pasipo kushirikisha ubongo wako katika kufikiri nje ya box basi pia utaishia kuandika madudu tu.

The bold, una kipaji, una soma sana (hili liko wazi katika makala zako) na zaidi unatumia ubongo wako vizuri katika kufikiri kwa kina kile ukisomacho ili ukiwasilishe vyema.

Siku ile nilikuita taasisi, ni kweli wewe ni taasisi....
kwangu unashika nafasi ya pili maana nafasi ya kwanza aliitwaa kiranga kitambo sana.
 
Man yaani tangu ulipoanza kuandika makala zako umekuwa maarufu sana humu jf. Bahati mbaya kila uzi unaoweka humu nakutaga nimechelewa kuuona. Kwa sasa kila siku, kila baada ya masaa kadhaa lazima nichungulie kama umeweka uzi.

Napenda aina ya uandishi wako. Yaani hata ungekuwa mjinga wa kiwango cha juu akisoma lazima aelewe.
Keep it up mkuu.
Ukipata nafasi niwekee story ya jamaa mmoja akiitwa Abbuu Nidal.

Shukrani sana Mkuu! I will look into that (Abbuu Nidal)
 
Back
Top Bottom