Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
nimejiona mwana poa..poa....... Nakukubali......Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope, mamaafacebook II
I know my dear...You people are inspirational, if you know what I mean.
Thump Up.
I know my dear...
Thank you again & again
Nitamuambia bae lazima tukukumbuke ktk safari yetu
Hahaa aisee.Ngoja namimi nianze kuandika point labda naweza kukumbukwa.Nitajiunga kwa ID nyingne na kwa tabia nyingne ila tabia zangu zitaendelea kwenye hii ID tu
ShukraanAm humbled.
Nitashukuru kwa namna yoyote ile.
Asante na jioni njema.
Nipo nimejaa tele kaa pishi la ubwabwaDah mpaka machozi hivi hamna ka member lonely kama mimi tuanzie safari yetu humu kwenye uzi wa The bold ?
Samahani kizibo wewe ni jinsia gani ?Nipo nimejaa tele kaa pishi la ubwabwa
Hahahahah!! Mkuu Yamakagashi una vituko sana aisee..Dah mpaka machozi hivi hamna ka member lonely kama mimi tuanzie safari yetu humu kwenye uzi wa The bold ?
Ujue hapa nafanya masihara ila in real sense nafurahia sana mahusiano yenu ,Mungu awabariki kuna siku Niffah atajua kwanini nilikuwa nafurahia mahusiano yenu ,ataishia kucheka tuHahahahah!! Mkuu Yamakagashi una vituko sana aisee..
Nakukubali sana Mkuu, salute
Unajuaga vile mtu unakosa the right words kuexpress kile unataka kusema.. Ndio niko kwenye situation hiyo.. Sipati neno la kukwambia..Mungu wangu! Am speechless.
Sikuwahi kufikiri kama ipo siku nami nitakuwepo katika list yako ya kukumbukwa!
What a honour?
Asante sana The bold.
Ni kweli kabisa, nakiri tulikuwa maadui wakubwa sana.
Kila tulipokutana ktk threads tuliumana kwelikweli, namshukuru Mungu kwa busara alizokujaalia maana siku zote ulijishusha wewe.
Nakupongeza kwa aina ya makala ulizoamua kuja nazo ndizo zilizonifanya niweke silaha chini na kuomba kuimaliza vita.
Kupitia kwako nimejifunza mengi kubwa zaidi ya yote ni kumheshimu kila mtu.
Nilikuchukia kipindi kile,sikuwahi kufikiri kama una akili kubwa kiasi cha kunifanya nianze kuvutiwa nawe.
Hivi sasa nimebadilika sana,namheshimu kila mtu humu JF,nimeamua kwa nia ya dhati kuachana na vita vya maneno na members humu.
Never say never,nobody knows tomorrow...
Leo hii wewe niliyekuchukia ndiye kitu cha kwanza kunijea ktk akili yangu kila niamkapo.
Lazima nikutafute nikutakie asubuhi njema ndipo mambo mengine yaendelee.
Nakutakia kila la kheri katika makala zako za kusimumua,daima nitakuwa nawe bega kwa bega.
You got my full support my love...
#TheBoldIsMine#
Naheshimu sana unachokifanya. Uandishi ni tasnia ngumu sana, unaweza ukawa na kipaji ila kama huna content utaishia kuandika madudu, unaweza ukawa na content ila huna kipaji cha uandishi pia utaishia kuandika madudu tu.Divine... glory to yhwh Nifah BansenBurner Alisen Papushikashi Magazine Fire miss chagga succinate coA hydrogenase SANCTUS ANACLETUS mngony Excel Mussolin5 Jimena Inferiority Complex gwijimimi wambura marwa Hoshea Shareef Conscious wambeke The Boss deejay Nasmile gkileo Juma chief Mangi flani hivi Ngongo makaveli10 KENZY kadada wa pili Root aretasludovick jonnie_vincy Clkey KAFA.cOm mbewe makedonia Afande Nyati peterchoka Leonard Robert Nchi Kavu STUNTER Chrizo jully van persie Khalidoun Tetramelyz punje haradari Mazigazi Alybaba babu na mjukuu platozoom jimmyfoxxgongo Nicodemas Tambo Mwikozi Ls man Heaven Sent sifongo Infantry Soldier haa mym 20acres MTS MarkHilary compos Tembo2 Erick the future nancy1983 Bulah binsaad Fazzaly The Wolf Firegironsa everhurt Melvine Mgibeon kijana wa leo samsun Coolant Jagood pacesetter apologize payton George Betram kisengeli Kiranga Jiwe Linaloishi Madame B jay john Guasa Amboni Dinazarde Juma chief Analyse Diva Beyonce snowhite Mmanu Expected Value onechromosome Missy rose Innocenthezron Immortal_MH Ficus sunola Robot la Matope, mamaafacebook II
Man yaani tangu ulipoanza kuandika makala zako umekuwa maarufu sana humu jf. Bahati mbaya kila uzi unaoweka humu nakutaga nimechelewa kuuona. Kwa sasa kila siku, kila baada ya masaa kadhaa lazima nichungulie kama umeweka uzi.
Napenda aina ya uandishi wako. Yaani hata ungekuwa mjinga wa kiwango cha juu akisoma lazima aelewe.
Keep it up mkuu.
Ukipata nafasi niwekee story ya jamaa mmoja akiitwa Abbuu Nidal.
Ujue hapa nafanya masihara ila in real sense nafurahia sana mahusiano yenu ,Mungu awabariki kuna siku Niffah atajua kwanini nilikuwa nafurahia mahusiano yenu ,ataishia kucheka tu