msukuma og toka shy
Member
- Mar 20, 2017
- 75
- 45
Ya kwangu nambari moja itakuwa ni: "Lulu Iko Mbinguni"
The sower's groupHuu Uzi umekua bless sana kwa mtu kama mimi Dah! Zamani,kitambo sana ...longtime ago " Sower's group ...sikia" ...Mimi nabarikiwa pia na Upendo group ...1:mambo sawa sawa ...2:Bam bam...3:Mungu akupenda na all songs za Ambassador of Christ Remera Kigali Rwanda """""""" Hivyo yani.'"*
Mbona kama naukumbuka....haunijii badoYeah Madame B huo ni wa kwetu! Mzee Mwanakijiji kasema nyimbo za Tanzania, wengine wameshaanza kuweka za Kenya. Mimi wangu ni NANYATANYATA.