NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,288
- 12,789
"Benchikha mchezaji yoyote atakae mtaka tutampa"
Hayo ni maneno ya Try again akizungumza na waandishi Habari lakini katika jicho la tatu ni maneno ya kufikiria sana na yanayoleta maswali mengi.
(1) je kocha Robertinho alipewa uhuru huo wa kuchagua/kununua wachezaji Kama thamani anayopewa Benchikha?
Ikumbukwe tu kocha Robertinho Alishawahi kumfanyia Sub Mchezaji Chama, ziliibuka Kelele nyingi sana kuanzia kwa mashabiki mpaka Viongozi wa timu walipiga Kelele Sana kwa Nini Chama atolewe.
Siyo hivyo tu mwalimu kocha Mark Zolan pia alikutwa na chanagamoto hiyo alipotua msimbazi, na yeye pia aliona Chama hafit katika mfumo wake hiyo ilipelekea kuleta makelele kwa nini Chama akae Benchi.
Ujio wa Kocha Benchikha imekua tofauti misimamo yake imekubalika kwa Viongozi wa timu husika na Chama anafanyiwa sub hakuna Kelele/ anaanzia benchi hakuna anayeleta Kelele.
NALIA NGWENA nimepenyezewa za chini chini kuwa Kocha kaletwa na tajiri/bosi Kama boss na ndiyo maana hakuna wakuleta ng'a! Wala ng'e!
Kwa tathimini hiyo ndogo unagundua kabisa kumbe walimu waliopita hawana makosa Bali wenye shida ni viongozi wa timu, hao ndiyo walimpangia kocha nini Cha kufanya na mchezaji gani acheze/apangwe katika mechi husika.
Kwangu mimi Mark Zolan na Robertinho ni walimu wazuri Ila waliangushwa na ujanja ujanja wa viongozi kwa kuwaingilia majukumu yao katika utendaji wa kazi, Hata wao Kama wangepewa Uhuru Kama huo anaopewa Benchikha sidhani Kama ungeibuka mgogoro Pale msimbazi.
Hayo ni maneno ya Try again akizungumza na waandishi Habari lakini katika jicho la tatu ni maneno ya kufikiria sana na yanayoleta maswali mengi.
(1) je kocha Robertinho alipewa uhuru huo wa kuchagua/kununua wachezaji Kama thamani anayopewa Benchikha?
Ikumbukwe tu kocha Robertinho Alishawahi kumfanyia Sub Mchezaji Chama, ziliibuka Kelele nyingi sana kuanzia kwa mashabiki mpaka Viongozi wa timu walipiga Kelele Sana kwa Nini Chama atolewe.
Siyo hivyo tu mwalimu kocha Mark Zolan pia alikutwa na chanagamoto hiyo alipotua msimbazi, na yeye pia aliona Chama hafit katika mfumo wake hiyo ilipelekea kuleta makelele kwa nini Chama akae Benchi.
Ujio wa Kocha Benchikha imekua tofauti misimamo yake imekubalika kwa Viongozi wa timu husika na Chama anafanyiwa sub hakuna Kelele/ anaanzia benchi hakuna anayeleta Kelele.
NALIA NGWENA nimepenyezewa za chini chini kuwa Kocha kaletwa na tajiri/bosi Kama boss na ndiyo maana hakuna wakuleta ng'a! Wala ng'e!
Kwa tathimini hiyo ndogo unagundua kabisa kumbe walimu waliopita hawana makosa Bali wenye shida ni viongozi wa timu, hao ndiyo walimpangia kocha nini Cha kufanya na mchezaji gani acheze/apangwe katika mechi husika.
Kwangu mimi Mark Zolan na Robertinho ni walimu wazuri Ila waliangushwa na ujanja ujanja wa viongozi kwa kuwaingilia majukumu yao katika utendaji wa kazi, Hata wao Kama wangepewa Uhuru Kama huo anaopewa Benchikha sidhani Kama ungeibuka mgogoro Pale msimbazi.