Dah this can be the post of the day, by the The Boss, Rejao na MTM mmezungumza Mambo ya Msingi sana Tuliowapa dhamana ya kuliongoza Taifa hili kwa Kipindi cha Miaka mitano 2010/15 wamwshaloose phocus na wako busy kwa Mbio za Urais inabidi kama Taifa hii Tabia Ikemewe kwa Nguvu zote. Tukiilea hii Tabia Tutakuwa kila Baada ya miaka Mitano tunachagua Viongozi ambao watakuwa busy na Urais ujao Matokeo tutakuwa ni taifa la uchaguzi tu
.....hoja na fikra zenye mantiki/mashikoUnatumia vigezo gani kutokumkubali?
we mtoto weh!!!
yalaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu wewe mchokozi sana, yani unaunga mkono Dovutwa before membe??Dah this can be the post of the day, by the The Boss, Rejao na MTM mmezungumza Mambo ya Msingi sana Tuliowapa dhamana ya kuliongoza Taifa hili kwa Kipindi cha Miaka mitano 2010/15 wamwshaloose phocus na wako busy kwa Mbio za Urais inabidi kama Taifa hii Tabia Ikemewe kwa Nguvu zote. Tukiilea hii Tabia Tutakuwa kila Baada ya miaka Mitano tunachagua Viongozi ambao watakuwa busy na Urais ujao Matokeo tutakuwa ni taifa la uchaguzi tu
As long as viongozi wetu wanapatikana kwa mfumo wa kisiasa, ni lazima mwisho wa uchaguzi mmoja utakuwa ni mwanzo wa uchaguzi mwingine, kwa walioshinda kutekeleza ahadi zao ili wakubalike tena kwenye uchaguzi ujao, kwa walioshindwa kuangalia walipojikwaa, na kwa wenye ndoto za nafasi mbalimbali za kisiasa kuanza michakato mbalimbali ya kufanikisha ndoto zao kwenye chaguzi zijazo, hilo halizuiliki.
...Tunachopaswa kuboresha ni uhakiki wa vigezo tutakavyovitumia kumpatia mtu nafasi ya uongozi, umefika wakati sasa tuwe makini kuangalia fikra, uwezo na record za wagombea na vyama vyao ili kujiridhisha kama kweli wana uwezo na utayari wa kuzimudu changamoto tulizonazo kama Taifa, tusipoboresha hapa na kuishia kuimbaimba tu verse ole wetu..
MTM, choice yangu ni Membe, quality analysis ya nini?. Kwani Watanzania tunahitaji quality analysis ndipo tuchague rais?. Urais Tanzania ni kwa zamu na kuangalia sura. Kwani tulipomchagua JK kwa landslide ule mwaka 2005, tulimchagua kwa quality analysis gani?. Haya baada ya kumchagua na tukaona performance yake, si tumemchagua tena!. Watanzania wanachagua sura na sio sifa ndio maana nikasisitiza kigezo changu kwa Membe ni zamu tuu, tafadhali MTM usianze kutaka kuleta sifa na vigezo ili kumharibia Membe wetu, please!.
Kweli Watanzania tuko milioni 40 plus, CCM wako milioni 4. JK amechaguliwa kwa kura milioni 4, hivyo whoever ambaye ndie mgombea wa CCM, ndiye rais wa nchi hii, nawaombeni sana, msianze kumwekea Membe zengwe!.
NN, just keep sensing a whiff of sarcasm, ila mimi chaguo langu la 2015 kwa CCM ni Membe, you can have your choice na kila mtu yuko huru kuwa na chaguo lake. Kwani JK alipopitishwa, alipitishwa kwa vigezo gani?, na performance yake pia si tumeiona!, sasa mimi nasisitiza, baada ya JK, Membe ndio the best option, nawaomba wana jf wenzangu, niungeni mkono kwenye hili.I am sensing a whiff of sarcasm in your posts in this topic! But others are foaming at the mouth about them. Dunno why...
mabadiliko ya katiba ndio suluhisho
Mkuu MTM binafsi naunga mkono kwa asilimia 100% kuwa 2015 ni zamu ya Membe.
Sababu yangu kuu ya 2015 ni Membe ni moja tuu inaitwa 'trend'. Kama baada ya x inafuata y the z ndio kukamilisha xyz, then Membe ndio z ili kukamilisha trend.
Mkapa ndio alikuwa MFA kipindi cha Mwinyi, na baada ya Mwinyi ndipo Mkapa akawa rais. Wakati Mkapa akiwa rais, JK ndio alikuwa MFA na baada ya Mkapa rais ndio JK.
Kipindi hiki cha JK, Membe ndie MFA hivyo 2015 ni zamu ya Membe.
Natoa wito kwa wanajf wenye mapenzi mema na nch yetu, bila kujalisha ni washabiki wa vyama gani, tuungane mkono kuhakikisha CCM inamsimamisha Mhe. Benard Membe ili kukamilisha trend!.
Tuanze kumzingumzia vizuri ikiwemo kumpigia chapuo la kila aina huku tukimwimbia nyimbo za sifa na mapambio.
Jamani mambo bado kabisaa. Tusubiri angalau 2013 ndio tutajua upepo umekaaje. Sasa hivi ni vigumu kujua nominees watakuwa akina nani. Tunajaribu tu kufanya guesing. You may be taken by supprise mkimjua mtu anayeandaliwa. Let's be patient
Mkuu MTM binafsi naunga mkono kwa asilimia 100% kuwa 2015 ni zamu ya Membe.
Sababu yangu kuu ya 2015 ni Membe ni moja tuu inaitwa 'trend'. Kama baada ya x inafuata y the z ndio kukamilisha xyz, then Membe ndio z ili kukamilisha trend.
Mkapa ndio alikuwa MFA kipindi cha Mwinyi, na baada ya Mwinyi ndipo Mkapa akawa rais. Wakati Mkapa akiwa rais, JK ndio alikuwa MFA na baada ya Mkapa rais ndio JK.
Kipindi hiki cha JK, Membe ndie MFA hivyo 2015 ni zamu ya Membe.
Natoa wito kwa wanajf wenye mapenzi mema na nch yetu, bila kujalisha ni washabiki wa vyama gani, tuungane mkono kuhakikisha CCM inamsimamisha Mhe. Benard Membe ili kukamilisha trend!.
Tuanze kumzingumzia vizuri ikiwemo kumpigia chapuo la kila aina huku tukimwimbia nyimbo za sifa na mapambio.