Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,833
- 130,023
MTM, choice yangu ni Membe, quality analysis ya nini?. Kwani Watanzania tunahitaji quality analysis ndipo tuchague rais?. Urais Tanzania ni kwa zamu na kuangalia sura. Kwani tulipomchagua JK kwa landslide ule mwaka 2005, tulimchagua kwa quality analysis gani?. Haya baada ya kumchagua na tukaona performance yake, si tumemchagua tena!. Watanzania wanachagua sura na sio sifa ndio maana nikasisitiza kigezo changu kwa Membe ni zamu tuu, tafadhali MTM usianze kutaka kuleta sifa na vigezo ili kumharibia Membe wetu, please!.shocking
no quality analysis no nothing... simply zamu to lead 40M people to teh tunnel and fly out when tough get going
arvedechi
Kweli Watanzania tuko milioni 40 plus, CCM wako milioni 4. JK amechaguliwa kwa kura milioni 4, hivyo whoever ambaye ndie mgombea wa CCM, ndiye rais wa nchi hii, nawaombeni sana, msianze kumwekea Membe zengwe!.