Thanks michuzi blogspot

Thanks michuzi blogspot

Status
Not open for further replies.
unaendeleza utoto tu hapa
ulichobisha wewe ni mandatory listing na mimi nimekuwekea mpaka ushahidi
sasa umebadili topic ya ubishani....
TBL kampuni mama ni sabmiller ambayo ni ya tatu duniani kwa ukubwa.....hujui hiyo naona..
Hahaha...inabidi tena hapa nianze kukupa darasa la Subsidiary companies zinavyofanya kazi!
Ngoja tu niondoke cuz nimeshakujua. Huwa unapenda kusimamia usichokijua. Hii ni mara ya pili najaribu kukuelimisha kwenye aspects za Finance. Ni mwanafunzi usiyeelewa!
Nakusubiri kwenye issue za uandisi na ukandarasi tena nikufundishe zaidi.
 
MTM, you are not dreaming wala hakuna kitu nyuma ya pazia, Membe for CCM-2015!.
Something else to think about, jee, unaijua technic inayotumiwa na wanariadha wa Kenya kushinda marathon nyingi duniani?.
Jee unajua technic ya kushinda mnada wa wazi wenye washindani wengi?.

Uchaguzi wa 2015 ni mbio za marathon na pia nafasi ya mgombea wa CCM iuna ushindani mkubwa kama mnadani, ili mgombea wako ashinde kiulaini, lazima tuanze kumfagilia sasa na Membe ndio the best choice!.
pacemakers??
 
Hahaha...inabidi tena hapa nianze kukupa darasa la Subsidiary companies zinavyofanya kazi!
Ngoja tu niondoke cuz nimeshakujua. Huwa unapenda kusimamia usichokijua. Hii ni mara ya pili najaribu kukuelimisha kwenye aspects za Finance. Ni mwanafunzi usiyeelewa!
Nakusubiri kwenye issue za uandisi na ukandarasi tena nikufundishe zaidi.

wewe habari ipo mpaka kwenye magazeti unabisha
jipe darasa wewe kwanza kwa kuanza kusoma magazeti pia...
eti aspects of finance......lol.....hata miswaada ya bunge husikilizi....
 
MTM, choice yangu ni Membe, quality analysis ya nini?. Kwani Watanzania tunahitaji quality analysis ndipo tuchague rais?. Urais Tanzania ni kwa zamu na kuangalia sura. Kwani tulipomchagua JK kwa landslide ule mwaka 2005, tulimchagua kwa quality analysis gani?. Haya baada ya kumchagua na tukaona performance yake, si tumemchagua tena!. Watanzania wanachagua sura na sio sifa ndio maana nikasisitiza kigezo changu kwa Membe ni zamu tuu, tafadhali MTM usianze kutaka kuleta sifa na vigezo ili kumharibia Membe wetu, please!.

Kweli Watanzania tuko milioni 40 plus, CCM wako milioni 4. JK amechaguliwa kwa kura milioni 4, hivyo whoever ambaye ndie mgombea wa CCM, ndiye rais wa nchi hii, nawaombeni sana, msianze kumwekea Membe zengwe!.
Hahah..Pasco hapa umenifurahisha sana. Kama ni kuangalia zam tu naona Membe hafai. Kwanza watanzania wanaomfahamu Membe ni wachache sana. Atleast 2005 JK alikuwa ana mvuto flani. Alitokea kupendwa tu bila sababu yoyote ya msingi! Sasa Membe nani anamtaka? Kila siku akiongea anaharibu tu. Hajawahi kuzungumza kitu akakosa kupingwa.
 
Mkuu MTM binafsi naunga mkono kwa asilimia 100% kuwa 2015 ni zamu ya Membe.

Sababu yangu kuu ya 2015 ni Membe ni moja tuu inaitwa 'trend'. Kama baada ya x inafuata y the z ndio kukamilisha xyz, then Membe ndio z ili kukamilisha trend.

Mkapa ndio alikuwa MFA kipindi cha Mwinyi, na baada ya Mwinyi ndipo Mkapa akawa rais.
Wakati Mkapa akiwa rais, JK ndio alikuwa MFA na baada ya Mkapa rais ndio JK.

Kipindi hiki cha JK, Membe ndie MFA hivyo 2015 ni zamu ya Membe.

Natoa wito kwa wanajf wenye mapenzi mema na nch yetu, bila kujalisha ni washabiki wa vyama gani, tuungane mkono kuhakikisha CCM inamsimamisha Mhe. Benard Membe ili kukamilisha trend!.

Tuanze kumzingumzia vizuri ikiwemo kumpigia chapuo la kila aina huku tukimwimbia nyimbo za sifa na mapambio.

Benyamin Mkapa alikuwa Waziri wa Sayansi, Technolojia, na Elimu ya Juu alipoelekea kwenye Uraisi.
 
There you are!

Pasco unajua kwa afya ya Kikwete na 'michezo'
ya kupelekana India ilivyoshamiri.....sasa
hakuna anejua by 2015 'picha halisi'
itakuwaje.....what we have is we don't know the unknowns unknowns.....
 
Hahah..Pasco hapa umenifurahisha sana. Kama ni kuangalia zam tu naona Membe hafai. Kwanza watanzania wanaomfahamu Membe ni wachache sana. Atleast 2005 JK alikuwa ana mvuto flani. Alitokea kupendwa tu bila sababu yoyote ya msingi! Sasa Membe nani anamtaka? Kila siku akiongea anaharibu tu. Hajawahi kuzungumza kitu akakosa kupingwa.
Rejao, tumpambe Membe ameremete, tumpake mafute ang'ae, tumtaje taje sana mpaka afahamike na awe na mvuto kama JK, na kwa vile ni Mkatoliki, kanisa Katoliki litoe waraka maalum kuwa ule utaratibu wa zamu za Wakristu na Waislamu CCM unamaanisha Wakatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki na sasa ni Membe, Mkatoliki.

Pia katika kumfagilia Membe, lazima kuundwa mtandao wa wanahabari kama ile timu ya JK ya 2005 ambao kazi yao itakuwa kuwamaliza every posible threats, Sitta ni CCJ, Magufuli ataweza kuwa Dictator, Pinda ni too humble hivyo too weak at the end of the day, anabaki Membe and only him!
 
Rejao, tumpambe Membe ameremete, tumpake mafute ang'ae, tumtaje taje sana mpaka afahamike na awe na mvuto kama JK, na kwa vile ni Mkatoliki, kanisa Katoliki litoe waraka maalum kuwa ule utaratibu wa zamu za Wakristu na Waislamu CCM unamaanisha Wakatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki na sasa ni Membe, Mkatoliki.

Pia katika kumfagilia Membe, lazima kuundwa mtandao wa wanahabari kama ile timu ya JK ya 2005 ambao kazi yao itakuwa kuwamaliza every posible threats, Sitta ni CCJ, Magufuli ataweza kuwa Dictator, Pinda ni too humble hivyo too weak at the end of the day, anabaki Membe and only him!
Dah...na wewe bado upo kwenye siasa za nyerere za kupokezana waislam na wakatoliki? Madhehebu mengine inamaana kuwa hayawezi kutoa viongozi.
Mi naona tusubiri 2015 naona kama vile mambo yatabadilika na raisi muislam ataibuka tena.
Tukiendelea kurudi nyuma kwenye siasa za Nyerere, kumbuka sasa ni zam ya Mzanzibar..na sidhani kama Zanzibar kuna mkristo mwenye quality za kuwa raisi!
 
waacheni sisiemu na magamba yao wachague nani ataizika sisiem
 
Pasco unajua kwa afya ya Kikwete na 'michezo'
ya kupelekana India ilivyoshamiri.....sasa
hakuna anejua by 2015 'picha halisi'
itakuwaje.....what we have is we don't know the unknowns unknowns.....
thanks boss.... And the future is gloomy everywhere, kiuchumi kisiasa na kiutamaduni

i pray for private candidates achilia mbali uchaguzi wa dharura
 
thanks boss.... And the future is gloomy everywhere, kiuchumi kisiasa na kiutamaduni

i pray for private candidates achilia mbali uchaguzi wa dharura

mkuu kama TISS wanaweza kupokea 'order'
kutoka kwa mtu ambaye siyo official kiongozi..
unaweza jiuliza what next......
 
Rejao, tumpambe Membe ameremete, tumpake mafute ang'ae, tumtaje taje sana mpaka afahamike na awe na mvuto kama JK, na kwa vile ni Mkatoliki, kanisa Katoliki litoe waraka maalum kuwa ule utaratibu wa zamu za Wakristu na Waislamu CCM unamaanisha Wakatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki na sasa ni Membe, Mkatoliki.

Pia katika kumfagilia Membe, lazima kuundwa mtandao wa wanahabari kama ile timu ya JK ya 2005 ambao kazi yao itakuwa kuwamaliza every posible threats, Sitta ni CCJ, Magufuli ataweza kuwa Dictator, Pinda ni too humble hivyo too weak at the end of the day, anabaki Membe and only him!

Haa ha ha...

..Utaongeza Lowassa ni fisadi, Mwandosya ni mgonjwa, Dr.Slaa hana administrative experience na is too risk kwa amani na mshikamano wa nchi, huku ukiimba kwa sauti kubwa kuwa Benard Membe ni Tumaini Jipya la Maendeleo ya Tanzania, by the way Watanzania hawahitaji track record yake, wimbo utakaopigwa kwa sauti kubwa utatosha kuwaelewesha...

...kiutani utani hii strategy inaweza ikamfanikishia ushindi wa kishindo...
 
Rejao, tumpambe Membe ameremete, tumpake mafute ang'ae, tumtaje taje sana mpaka afahamike na awe na mvuto kama JK, na kwa vile ni Mkatoliki, kanisa Katoliki litoe waraka maalum kuwa ule utaratibu wa zamu za Wakristu na Waislamu CCM unamaanisha Wakatoliki, Nyerere alikuwa Mkatoliki, Mkapa alikuwa Mkatoliki na sasa ni Membe, Mkatoliki.

Pia katika kumfagilia Membe, lazima kuundwa mtandao wa wanahabari kama ile timu ya JK ya 2005 ambao kazi yao itakuwa kuwamaliza every posible threats, Sitta ni CCJ, Magufuli ataweza kuwa Dictator, Pinda ni too humble hivyo too weak at the end of the day, anabaki Membe and only him!

Ajabu sana Huu uzi umefikia Page ya 7 sijaona Like ya Mbopo lol! Nadhani atakuwa amekusoma Vyema Pasco! Yes Membe for President 2015 ha ha haa
 
Ajabu sana Huu uzi umefikia Page ya 7 sijaona Like ya Mbopo lol! Nadhani atakuwa amekusoma Vyema Pasco! Yes Membe for President 2015 ha ha haa
Arooooi
huu sio upuuzi... Axha dharau na usome tena kama ni upuuzi, mbopo hawezi huku kuna faya burning
 
Laiti kama vetting ya viongozi wetu ingekuwa inafanyika hapa JF, tngempata malaika au tukabaki bila kiongozi!
 
mara mia rais awe dovutwa kuliko membe

Dah this can be the post of the day, by the The Boss, Rejao na MTM mmezungumza Mambo ya Msingi sana Tuliowapa dhamana ya kuliongoza Taifa hili kwa Kipindi cha Miaka mitano 2010/15 wamwshaloose phocus na wako busy kwa Mbio za Urais inabidi kama Taifa hii Tabia Ikemewe kwa Nguvu zote. Tukiilea hii Tabia Tutakuwa kila Baada ya miaka Mitano tunachagua Viongozi ambao watakuwa busy na Urais ujao Matokeo tutakuwa ni taifa la uchaguzi tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom