Pal
I have no issue na yoyote, naona wote sawa kwani wanahangaikia kugawana urithi na baba hajakata roho... si lowassa, membe, mwandosya, CDM nk...
Ningependa tu-focus kuondoa nchi kwenye shimo refu, tusaidiane kujitoa na tukifanikiwa kila kitu kitakua in place or at least tutajua leaders ni wapi na prakatatumba ni nani
Just tell me tangu tuwe kwenye turmoil ni kiongozi gani amesimama kuhesabiwa??? tunahangaika na kamati za bunge, wamekua ndio mawaziri, wamekua ndio wasemaji, wamekua ndio watendaji, wamekua ndio makatibu wa wizara... SAD!!!
I wouldnt mind chochote as long as tunapunguza shida zilizopo sasa
Imagine senior government officer wa take home ya 500,000 maana yake anapata chini ya dolla 250 kama mshahara!!!!!!!!!!!!! sukari, chumvi, ugali, wali vya mgao, umeme, mafuta, gesi, foleni kila kitu mgao and we are very busy talking up 2015 which is over 1000 days to come meaning over 30,000 hours of suffering fook
I need a gun!!