I appreciate mkuu, thanks 🙏🏻Mwanamke utakaempata ajihesabu kuwa kapata mwanaume wa kweli. Mkuu jitambue kuwa wanaume wa type yako nowdays ni wachache sana. U r a real man. Hongera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well umenifungua kidogo mkuu, so tunakubalina kuwa swala la kuchapiwa ni kawaida ila usije ukajua, right?Ningemwacha si kwa sababu kanisaliti au kazini, sababu ni karuhusu nifahamu. Mwanamke mjanja ambaye hajanidharau angemkana huyo na matusi angemtukana maana anajua ni short term mngono na mm ni mumewe. Ukweli ni kwamba wanawake wengi sana wanaliwa pale wanapopewa msaada au wanahitaji msaada. Wengi sana.
.Thanks mamaa, that was years ago.Aisee pole kwa hilo ulilopitia naona kila tunachopitia katika maisha kuna jambo la msingi la kujifunza .
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kuuchukia umasikini mkuu,(Men i was down as ****, hasira ziliisha nikabaki kama fala sijui nifanye nini nilimuonea huruma mpenzi wangu "M" on the other side roho iliniuma kuchapiwa tena na prof ninaemjua.
Nilikuwa kwenye wakati mgumu sanaa nikashindwa hata nifanye nini nikakubaliana na hali halisi na ombi lake la kuwa na prof, lakini nafsi yangu iliniuma sanaa na kujiona falaa kwa umasikini wangu, niliuchukia umasikini, roho iliniuma zaidi nikifikiria mwanamke wangu akiwa anageuzwa geuzwa kitandani na prof.)
WANAUME WENZANGU
Umasikini ni dhambi
Ukiwa masikini hata ukioga kwapa lanuka
Ukiwa maskini kuku wako atakudonoa
Masikini huonekana hana hata busara
Maskini hana rafiki wa maana
Maskini hamiliki demu mkali
Maskini akitongoza anaonekana anapiga
kelele
Mimi nsuchukia umaskini kwa moyo wangu wote.
Sent using Jamii Forums mobile app



Yeah mkuu!"Everything is possible for those who believes"
Cheers
Umemalizia vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake ni binadamu, ni mara chache sana itatokea kuwa mpenzi wako asivutiwe na mtu mwingine nje au asishawishiwe akashawishika. Na hata ikitokea hajawahi toka nje basi lazima mara moja moja ata emagine yupo na huyo mtu anafanywa. Asipoemagine atatamani.Well umenifungua kidogo mkuu, so tunakubalina kuwa swala la kuchapiwa ni kawaida ila usije ukajua, right?
All is well mkuu.Nilichokisoma ulitaka tu tujue kuwa now upo vizuri kiuchumi na u can go abroad for vacation,hongera sana mkuu,keep struggling and hustling
🙆🏻♂️🙆🏻♂️🙆🏻♂️Wanawake ni binadamu, ni mara chache sana itatokea kuwa mpenzi wako asivutiwe na mtu mwingine nje au asishawishiwe akashawishika. Na hata ikitokea hajawahi toka nje basi lazima mara moja moja ata emagine yupo na huyo mtu anafanywa. Asipoemagine atatamani.
Kwani a fake man angefanyaje???sijaona ureal man apoMwanamke utakaempata ajihesabu kuwa kapata mwanaume wa kweli. Mkuu jitambue kuwa wanaume wa type yako nowdays ni wachache sana. U r a real man. Hongera sana.
Sent using Jamii Forums mobile app