DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Zimelipiwa kodi ?Hivi kuna jini huwa linapita kwenye uzi kufuta comment za watu?! Kuna comment zangu mbili nimepost hapa sizioni?!
Zimelipiwa kodi ?Hivi kuna jini huwa linapita kwenye uzi kufuta comment za watu?! Kuna comment zangu mbili nimepost hapa sizioni?!
Utakuwa umeandika pumbaHivi kuna jini huwa linapita kwenye uzi kufuta comment za watu?! Kuna comment zangu mbili nimepost hapa sizioni?!
Sina chakukupaMzeee tena
Unataka kunipa nini?
Acha uongoSina chakukupa
SawaAcha uongo
Lugha chafu kinyamahongera prof. endelea kula hilo tobo
Basi ngoja nianze kuandika point kama wewe unavyoandika point za kutongoza michepuko!Utakuwa umeandika pumba
Utakuwa na roho nzuri sana, Ingekua mimi ningempiga tukio Prof. Either kwa mke wake or mtoto wake alaf namalizia kwa mdogo wake au dadaake Dear X.Haha shida zote za nini T-Bagwell kikubwa ni kuzingatia lesson uliyopata tu, by the way ilishatokea na maisha lazima yaendelee.
I see 😅, hapo maana yake unatakiwa uache shughuli nyingine kwaajili ya kukamilisha yote hayo??Utakuwa na roho nzuri sana, Ingekua mimi ningempiga tukio Prof. Either kwa mke wake or mtoto wake alaf namalizia kwa mdogo wake au dadaake Dear X.
#Bagwell
Nimekusoma mkuu, tupo pamoja.Mimi kuna kitu nimeona kwa hawa mabinti wa chuo. Ni kwa nini wote huwa wanakuwaga na shida ? Katika maisha yangu ya ubaharia nilishakutana nao wengi tu, na wote walikuwa na shida, mara baba kakwama mara hivi.
Tukirudi kwenye mada yako, nakupongeza kwa kufanya maamuzi sahihi japo kwa kuchelewa. Sema baharia na wewe unafeli sana unapoona kwamba ni halali yako kumlipia kodi ya nyumba na majukumu mengine madogo dogo. Nyinyi ndio mnaofanya hawa watoto wa kike waone ni haki yao kupewa hela na hadi wanadai na ya kutolea.
Ila kila la kheri mkuu, tuendelee kupambana