Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 17,589
- 28,570
Ukitaka baraka lia na wanaolia.Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
Umetoa mchango gani binafsi?
Domo lako kavu laleta shombo tu!
Ukitaka baraka lia na wanaolia.Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
Jitahidi na wewe kuigiza wema huo tukuombee na wewe kwa Mola dua njema.Yaani unadanyanyika na maigizo hayo?
Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
Mbona kila siku mwenyekiti wako anawaomba msaada?? Au na yeye ni wale wale??Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
mfariji mkuu wa Tanzania alituma faraja zake kwa njia ya Twitter.
Moisemusajiografii....mbona kama ninakufahamu kaka?Aiseee! Yaani hata huu wema wa wazungu kuna viumbe wanabeza? Tumeona hapa Watanzania tena viongozi wamebugia rambirambi tukang'aka mnawatetea. Hivi unashindwaje kushukuru aliyejitolea bure halafu umsifie kibaka? Huzuni, huzuni, huzuni!
wakati huohuo viongozi wa hapa kwetu wanakula rambirambi
Sad!mfariji mkuu alituma faraja zake kwa njia ya Twitter.
Una matatizo wewe. Nimeishi Marekani lakini treatment niliyoipata, niliipata kwa wazazi wangu tu miaka dahar iliyopita. Asikwambie mtu majority ya wamarekani wana nyoyo nyeupe sana. Huwezi kufananisha na nyie akina terrible teens.Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
wakati huohuo viongozi wa hapa kwetu wanakula rambirambi
Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
Kwa nini na wewe si ungewazidi kwa maigizo ungeenda kukodi japo KQ uwatoe Arusha uwapeleke MOI tu.Yaani unadanyanyika na maigizo hayo?
Kama huyu wa kwetu, nadhani anasikitika kwa kuwa hakuna maafa makubwa yaliyotokea.wakati huohuo viongozi wa hapa kwetu wanakula rambirambi
Mungu atakuuliza kwa nini umemuua Ben.Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
Halafu hata wanaoipinga wanakimbilia kuishi hukohuko Marekani kana kwamba hawana kwao!!!!!!Marekani ni Taifa lenye baraka tele kutoka kwa Mungu.