masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,410
- 14,119
- Thread starter
- #41
Mkuu na mimi nimepita huko Marekani.Una matatizo wewe. Nimeishi Marekani lakini treatment niliyoipata, niliipata kwa wazazi wangu tu miaka dahar iliyopita. Asikwambie mtu majority ya wamarekani wana nyoyo nyeupe sana. Huwezi kufananisha na nyie akina terrible teens.
Mioyo ya individual Americans ni tofauti kabisa , tena kwa sana na Serikali yao.
Huu moyo ulioonyeshwa wa kujitolea kwa kuguswa tu na hao watoto, unwezekan tu kama mtu hana moyo uliojaa mchafuko moyoni.