Thank you America God bless you!

masopakyindi

Platinum Member
Jul 5, 2011
18,196
13,837
Yaani nikifikiria msaada uliotolewa na raia wa kawaida kabisa wa Kimarekani baada ya kuona ajali ya watoto kule Arusha, nsishia kumshukuru Mungu tu.

Ajali ile imetikisa mioyo ya watu duniani, na wale wenye mioyo mikunjufu wamesaidia karibia Tshs 670million kuokoa watoto watatu na kuwapeleka kwao Marekani ili wapate matibabu yanayofaa.

Tuondoe siasa, lakini moyo kama huu hupata baraka za Mungu.

God Bless America.
 
Yaani nikifikiria msaada uliotolewa na raia wa kawaida kabisa wa Kimarekani baada ya kuona ajali ya watoto kule Arusha, nsishia kumshukuru Mungu tu.

Ajali ile imetikisa mioyo ya watu duniani, na wale wenye mioyo mikunjufu wamesaidia karibia Tshs 670million kuokoa watoto watatu na kuwapeleka kwao Marekani ili wapate matibabu yanayofaa.

Tuondoe siasa, lakini moyo kama huu hupata baraka za Mungu.

God Bless America.


Unashawishika na kudanganyika kirahisi sana, Amerika ni evil Empire!
 
Yaani nikifikiria msaada uliotolewa na raia wa kawaida kabisa wa Kimarekani baada ya kuona ajali ya watoto kule Arusha, nsishia kumshukuru Mungu tu.

Ajali ile imetikisa mioyo ya watu duniani, na wale wenye mioyo mikunjufu wamesaidia karibia Tshs 670million kuokoa watoto watatu na kuwapeleka kwao Marekani ili wapate matibabu yanayofaa.

Tuondoe siasa, lakini moyo kama huu hupata baraka za Mungu.

God Bless America.
Lkn wenye mioyo ya kutu wametumia hilo janga kama kitega uchumi
 
Yaani nikifikiria msaada uliotolewa na raia wa kawaida kabisa wa Kimarekani baada ya kuona ajali ya watoto kule Arusha, nsishia kumshukuru Mungu tu.

Ajali ile imetikisa mioyo ya watu duniani, na wale wenye mioyo mikunjufu wamesaidia karibia Tshs 670million kuokoa watoto watatu na kuwapeleka kwao Marekani ili wapate matibabu yanayofaa.

Tuondoe siasa, lakini moyo kama huu hupata baraka za Mungu.

God Bless America.
Yaani unadanyanyika na maigizo hayo?
 
wakati huohuo viongozi wa hapa kwetu wanakula rambirambi

Hii kitu inasikitisha na kuhuzunisha sana. Yaani viongozi wanaopaswa kusimamia kuziwakilisha pole kwa wafiwa wao wanakula hizo pole au wanazipeleka kusikohusika.
Yaani majanga juu ya majanga.
 
Aiseee! Yaani hata huu wema wa wazungu kuna viumbe wanabeza? Tumeona hapa Watanzania tena viongozi wamebugia rambirambi tukang'aka mnawatetea. Hivi unashindwaje kushukuru aliyejitolea bure halafu umsifie kibaka? Huzuni, huzuni, huzuni!
 
Back
Top Bottom