Thamani ya mke

Thamani ya mke

Hebu ona, Maskini mama WA watu.

Ila Mungu anaona, and trust me sijui maandiko yanasemaje ILA am very sure wanawake Mnathawabu kubwa Sana mbele za haki.

Mungu anawaona kwa namna ya Pekee. Ndiyo maana wanawake mnazeeka mapema coz mnafanya mambo mengi Sana kuliko wanaume.

Kila siku moyo WA mwanamke unajeruhika.
Moyo unavuja damu taratibu..kufa mapema...kupooza..kusahau...kulia kila siku ukitoka nje kicheko "cha kulazimisha" angalau uwafikishe watoto mahali fulani jamani!!! Mungu aingilie kati !
 
Wanawake tuna roho ya kipekee sana
Hawa viumbe hawa wanahitaji uvumilivu wa hali ya juu
Kuna vitu vingine vidogo tu mwanaume hawezi kufanya mpaka akuite wewe mwanamke ambae umetingwa na majukumu uje ukifanye
Mungu awabariki wanaume wanaojali wake na familia zao kwakweli
Awabariki sana wanaume hao na ukiwakuta utashangaa kumbe wapo na wanajali hasa
 
Mmmh!
Kuna kipindi nilikaa nyumbani bila msaidizi wa kazi... Mimi ndo nikawa beki tatu... Najikuta kwa siku nna masaa mawili tu kupumzika!
Uamke asubuhi ufanye usafi na kuandaa chai... Hujakaa vizuri uanze fikiria vya kupika mchana... Unamaliza kupika, baada ya kula unaosha vyombo... Unapumzika kidogo na kuanza mishe za kuandaa chakula cha usiku... Mnamaliza kula usiku uoshe vyombo!!! Hapo bado hujafua nguo na shughuli zingine za kwenda sokoni na kutengeneza juice... Na hiyo ni nyumba isiyokua na watoto!!!

Mwanaume wa kawaida hawezi fanya yote hayo...
Nilimtembelea my sister wakati kajifungua alafu house maid kasepa, alafu kuna watoto wadogo wa3, yaani nilikuwa nalala kama mbeba zege.
Wiki3 ila duuuuh!!!

Emagine sasa hayo ni maisha ya mtu ya kila siku.
 
Hatari anaanza kuvulia mlangoni hadi bafuni anadondosha kimojakimoja akitumia bafu utafikiri yumo kwenye jaccuuz maji bafu zima ukasafishe upya
Shost mmoja alipeleka kesi kwa wakwe, mume hasafishi choo, vilimkera sana, anasema kama hakisafishi basi asikitumie. Conclusion ilifikiwa kila akisafisha mume amlipe.
 
Hatari anaanza kuvulia mlangoni hadi bafuni anadondosha kimojakimoja akitumia bafu utafikiri yumo kwenye jaccuuz maji bafu zima ukasafishe upya

Akitoka hapo shati ulomnyooshea halitaki unyooshe lingine.
 
Back
Top Bottom