BlessedHope
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 7,988
- 32,649
salio saana nafikiri mbinguni tutaelewana zaidi ya unavyofikiria.

salio saana nafikiri mbinguni tutaelewana zaidi ya unavyofikiria.

Sema unapoifichagaa bhn
Huyu ni mke na mfanyakazi ajira kwa mtu.Hapo hapo kuna watoto wawili wa wifi umeambiwa watakaa mpaka wamalize shule, unaona kabisa mkate hautoshi asubuhi, inabidi ukirudi kazini uumue unga wa maandazi na hulali mpaka uyakaange ili watoto wanywe chai.
Hapa ndipo unapomshauri mtoto wa kike awe na ka biashara kake ka dogo, sasa hali hiyo mtu unachanganyikiwa kabisa. Kama vitafunwa ni kazi hapo kuna hela ya saloon kweli?Dah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
Hebu ona, Maskini mama WA watu.Dah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
Kuna mmoja aliwahi sema, "nyie wanawake ni wavivu sana,msaidizi wa kazi wa nini?" Na hapo alikuwa anaongea na wanawake ambao ni waajiriwa. Just emagine mwanaume wa hivyo!! Kuwa mwanamke ni shughuli jamani, unalea watoto wadogo na mmoja mwenye ndevu zote.
nimecheka mkuu huyo mwenye ndevuAma kweli umdhaniaye siye.
So sad ,Mungu amsaidie jamani,tena mzazi nawaza hiyo njaa na majukumuDah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
Tena huyo mwenye ndevu zote ndio malezi yake magumu kweli, bora hata mtoto utamkaripia kidogo na kumtia hata kwenzi ikibidi, ila huyo dooooh!!!![]()
![]()
nimecheka mkuu huyo mwenye ndevu
Yaani Mungu atusaidie wanawakeTena huyo mwenye ndevu zote ndio malezi yake magumu kweli, bora hata mtoto utamkaripia kidogo na kumtia hata kwenzi ikibidi, ila huyo dooooh!!!
Wanawake tuna roho ya kipekee sanaKuna mmoja aliwahi sema, "nyie wanawake ni wavivu sana,msaidizi wa kazi wa nini?" Na hapo alikuwa anaongea na wanawake ambao ni waajiriwa. Just emagine mwanaume wa hivyo!! Kuwa mwanamke ni shughuli jamani, unalea watoto wadogo na mmoja mwenye ndevu zote.
Hahahahaha kweli eeeh,karibu mkuuGood student
Kweli aisee, halafu ni daily.....na hapo ukute kuna ka-kid kamoja ndo utashika adabu---- Respect to all responsible MamazMmmh!
Kuna kipindi nilikaa nyumbani bila msaidizi wa kazi... Mimi ndo nikawa beki tatu... Najikuta kwa siku nna masaa mawili tu kupumzika!
Uamke asubuhi ufanye usafi na kuandaa chai... Hujakaa vizuri uanze fikiria vya kupika mchana... Unamaliza kupika, baada ya kula unaosha vyombo... Unapumzika kidogo na kuanza mishe za kuandaa chakula cha usiku... Mnamaliza kula usiku uoshe vyombo!!! Hapo bado hujafua nguo na shughuli zingine za kwenda sokoni na kutengeneza juice... Na hiyo ni nyumba isiyokua na watoto!!!
Mwanaume wa kawaida hawezi fanya yote hayo...
Ninakuelewa sana hapo, akimaliza kujikausha anaacha taulo kitandani, soaks zake mwenyewe anatafuta ya pili iko wapi.Tena huyo mwenye ndevu zote ndio malezi yake magumu kweli, bora hata mtoto utamkaripia kidogo na kumtia hata kwenzi ikibidi, ila huyo dooooh!!!
Kwani shemeji bado unaubashite ndani yako?![]()
![]()
![]()
![]()
Ndio umemaanisha nini shemeji?
Kwakweli na awabariki sanaaaa. Familia nyingi zimebebwa na wanawake.Wanawake tuna roho ya kipekee sana
Hawa viumbe hawa wanahitaji uvumilivu wa hali ya juu
Kuna vitu vingine vidogo tu mwanaume hawezi kufanya mpaka akuite wewe mwanamke ambae umetingwa na majukumu uje ukifanye
Mungu awabariki wanaume wanaojali wake na familia zao kwakweli