Thamani ya mke

Thamani ya mke

Dah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
Hapa ndipo unapomshauri mtoto wa kike awe na ka biashara kake ka dogo, sasa hali hiyo mtu unachanganyikiwa kabisa. Kama vitafunwa ni kazi hapo kuna hela ya saloon kweli?
 
Dah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
Hebu ona, Maskini mama WA watu.

Ila Mungu anaona, and trust me sijui maandiko yanasemaje ILA am very sure wanawake Mnathawabu kubwa Sana mbele za haki.

Mungu anawaona kwa namna ya Pekee. Ndiyo maana wanawake mnazeeka mapema coz mnafanya mambo mengi Sana kuliko wanaume.

Kila siku moyo WA mwanamke unajeruhika.
 
Kuna mmoja aliwahi sema, "nyie wanawake ni wavivu sana,msaidizi wa kazi wa nini?" Na hapo alikuwa anaongea na wanawake ambao ni waajiriwa. Just emagine mwanaume wa hivyo!! Kuwa mwanamke ni shughuli jamani, unalea watoto wadogo na mmoja mwenye ndevu zote.
nimecheka mkuu huyo mwenye ndevu
 
Dah huu mfano unamlenga kabisa jirani
Mume ana kazi mke goal keeper aisee ni Huruma sana na Wana watoto wawili
Na Shemejii mtu mdogo wa mume
Hapohapo mume anataka kuongeza mdogo wake mwingine
Yani huyo mama ana ana changamoto sana
Mume anaeza kunywa chai hukooo na mdogo wake akirudi hom haji hata na vitafunwa eti hana hela na mke ni mzazi amejifungua hivi karibuni
So sad ,Mungu amsaidie jamani,tena mzazi nawaza hiyo njaa na majukumu
 
Kuna mmoja aliwahi sema, "nyie wanawake ni wavivu sana,msaidizi wa kazi wa nini?" Na hapo alikuwa anaongea na wanawake ambao ni waajiriwa. Just emagine mwanaume wa hivyo!! Kuwa mwanamke ni shughuli jamani, unalea watoto wadogo na mmoja mwenye ndevu zote.
Wanawake tuna roho ya kipekee sana
Hawa viumbe hawa wanahitaji uvumilivu wa hali ya juu
Kuna vitu vingine vidogo tu mwanaume hawezi kufanya mpaka akuite wewe mwanamke ambae umetingwa na majukumu uje ukifanye
Mungu awabariki wanaume wanaojali wake na familia zao kwakweli
 
Mmmh!
Kuna kipindi nilikaa nyumbani bila msaidizi wa kazi... Mimi ndo nikawa beki tatu... Najikuta kwa siku nna masaa mawili tu kupumzika!
Uamke asubuhi ufanye usafi na kuandaa chai... Hujakaa vizuri uanze fikiria vya kupika mchana... Unamaliza kupika, baada ya kula unaosha vyombo... Unapumzika kidogo na kuanza mishe za kuandaa chakula cha usiku... Mnamaliza kula usiku uoshe vyombo!!! Hapo bado hujafua nguo na shughuli zingine za kwenda sokoni na kutengeneza juice... Na hiyo ni nyumba isiyokua na watoto!!!

Mwanaume wa kawaida hawezi fanya yote hayo...
Kweli aisee, halafu ni daily.....na hapo ukute kuna ka-kid kamoja ndo utashika adabu---- Respect to all responsible Mamaz
 
Wanawake tuna roho ya kipekee sana
Hawa viumbe hawa wanahitaji uvumilivu wa hali ya juu
Kuna vitu vingine vidogo tu mwanaume hawezi kufanya mpaka akuite wewe mwanamke ambae umetingwa na majukumu uje ukifanye
Mungu awabariki wanaume wanaojali wake na familia zao kwakweli
Kwakweli na awabariki sanaaaa. Familia nyingi zimebebwa na wanawake.
 
Back
Top Bottom