Thamani ya Legacy dhidi ya Pata potea ya 2025

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,880
35,888
Mama Samia alikuwa na muda wote wa kutuwekea misingi imara ya Tanzania mpya yenye haki kamili. Tukawa na Tanzania isiyokuwa na malalamiko. Sote tukajisikia kuwa na haki sawa.

Ajabu na kweli mzuka uliompitiliza wa 2025 umempiga upofu. Haoni wala hasikii.

Haya matozo yanayopigiwa kelele kila kona hata hayamfikirishi? Chawa wake wangapi nguli hawaonekani tena mitandaoni hata kumjibia hoja?

Amepima kuona kama akikwama 2025 au atakapotoka madarakani atakuwa na sifa au hata kuacha legacy gani?

Angeshukuru kwa minne aliyopata na kujielekeza kwenye kuliweka taifa mikononi mwa watu, hata mitano mingine ya haki mbona ingemfuata tu?

Yetu macho, ngoja tuone.
 
Mambo ya Uongozi wa Nchi Huitaji Vipanga kichwani. Kwa mambo yanavyoenda imethibitika pasi na shaka kuwa Akili zinazotuongoza kwq sasa zinatosha tu kuongoza Familia na Ukoo.

Hata Machawa Wanaomsifia kwa lengo eti la kumtia nguvu ni kupoteza muda tu. Akili haziji kichwani kwa watu kukusifiasifia.

Ni Mungu aliumba hivyo. Wenye akili nyingi na wale akili ndogo.
 
Mambo ya Uongozi wa Nchi Huitaji Vipanga kichwani. Kwa mambo yanavyoenda imethibitika pasi na shaka kuwa...
Palikuwa na umuhimu wa TWAWEZA au ndugu zao kumpatia approval rating yake baina ya watu leo inasimama wapi, labda ingemgutua.
 
Palikuwa na umuhimu wa TWAWEZA au ndugu zao kumpatia approval rating yake baina ya watu leo inasimama wapi, labda ingemgutua.
Unadhani hajui kuwa watu hawampendi? Anajua sana! Sema kuna timu imempa Assurahce kuwa ukishindwa Uchahuzi umependa mwenye wakati watu wa IT na Polisi wa kutimua wanoko wa kulinda Kura wapo na ni yeye anawalipa.
 
Unadhani hajui kuwa watu hawampendi? Anajua sana! Sema kuna timu imempa Assurahce kuwa ukishindwa Uchahuzi umependa mwenye wakati watu wa IT na Polisi wa kutimua wanoko wa kulinda Kura wapo na ni yeye anawalipa.
Kama uliyoandika ni sahihi, basi huyu mama atakuwa na roho ngumu sana. Roho za namna hiyo haziwezi kuwa na nafasi katika jamii iliyostaarabika.
 
Mambo ya Uongozi wa Nchi Huitaji Vipanga kichwani. Kwa mambo yanavyoenda imethibitika pasi na shaka kuwa Akili zinazotuongoza kwq sasa zinatosha tu kuongoza Familia na Ukoo. Hata Machawa Wanaomsifia kwa lengo eti la kumtia nguvu ni kupoteza muda tu. Akili haziji kichwani kwa watu kukusifiasifia. Ni Mungu aliumba hivyo. Wenye akili nyingi na wale akili ndogo.
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Mwalimu J.K.Nyerere na Kingwendu
 
Mama Samia alikuwa na muda wote wa kutuwekea misingi imara ya Tanzania mpya yenye haki kamili. Tukawa na Tanzania isiyokuwa na malalamiko. Sote tukajisikia kuwa na haki sawa.

Ajabu na kweli mzuka uliompitiliza wa 2025 umempiga upofu. Haoni wala hasikii.

Haya matozo yanayopigiwa kelele kila kona hata hayamfikirishi? Chawa wake wangapi nguli hawaonekani tena mitandaoni hata kumjibia hoja?

Amepima kuona kama akikwama 2025 au atakapotoka madarakani atakuwa na sifa au hata kuacha legacy gani?

Angeshukuru kwa minne aliyopata na kujielekeza kwenye kuliweka taifa mikononi mwa watu, hata mitano mingine ya haki mbona ingemfuata tu?

Yetu macho, ngoja tuone.
Sometimes simlaumu sana maana kazingirwa na panyabuku na nguchiro kila kona
 
Hehehe! Sasa mpaka Washauri wanakuwa tatizo yeye hajui kama ni tatizo hapo hujagundua kuwa yeye ndo zigo kqbisa? Unadanganywa halafu hujui kama unadanganywa?
Wewe umetoa mawazo yako nami nina yangu, mama anaharibiwa na wasaidizi wake aliowaamini na kuwasikiliza.
 
Ninavyoona mama yupo vizuri ila washauri wake ndio tatizo!
Una maana tumerejea kwenye square A?

IMG_20220820_172058_204.jpg


Tulidhani tulishatoka huku.
 
Back
Top Bottom