Thadei Ole Mushi; The Hero of Freethinking

Thadei Ole Mushi; The Hero of Freethinking

Mkuu

Ukifa utasifiwa..

Umeanza lini kumfuatilia jamaa thadei ole mushi

Falsafa ya kuandika namba ya simu unajua jamaa ni muasisi japo Kuna wengi wali ianzisha

R.I.P FATHER KARUGENDO
Najua ni mwandika namba ya simu, najua ni chawa fulani wa CCM. Ila akili zake na za Mwashambwa haviendani. Unajua mtu anaweza kuwa kinyume na msimamo wako ila at least ana akili za kudanganya na kutetea hoja angalau kwa mbali analeta mashiko.
Hata kwenye vita huwezi waambia allies kwamba Nazi Germany ilikuwa na jeshi bovu wakakuelewa, hata majenerali wa Ujerumani walisifiwa na kuheshimiwa ingawa ni maadui. Upande mwingine, Waitaliano inakubalika walikuwa na jeshi yeboyebo.
 
Jamaa alikuwa anajua kujenga hoja ,na kupinga wazi wazi bila ya kupeoesa macho , ni miongoni mwa vijana wachache waliokuwa na uzalendo na upeo wa mambo
Na hilo ndiyo lilimuingiza kwenye rada za watesi wake ambao hata uwezo wa kujenga hoja hawana.
 
Gilbert Massawe unafikiri wewe utaishi milele? Hizo hela zitakutesa sana
Wachagha wa kizazi hiki wamekuwa wa hovyo.

Baba zao na babu zao walikuwa maarufu kwa kudunduliza shilingi mpaka wakawa mabilionea lakini kizazi chao cha leo wamekuwa wapambe wa wanasiasa kisiasa pamoja na kuwa matapeli kupitia dini.
 
Sisi walimu tuna baraka zote za kuleta mabadiliko kwenye nchi hii!!

Ni walimu pekee wenye uthubutu was kulivusha taifa,

Mbegu hii aliipanda Baba was taifa Mwl Nyerere!!

Na itakua hivyo,ni mwalimu baada ya mwalimu ndio atakua kwenye series ya mabadiliko ya kweli kwenye Taifa!!
 
Najua ni mwandika namba ya simu, najua ni chawa fulani wa CCM. Ila akili zake na za Mwashambwa haviendani. Unajua mtu anaweza kuwa kinyume na msimamo wako ila at least ana akili za kudanganya na kutetea hoja angalau kwa mbali analeta mashiko.
Hata kwenye vita huwezi waambia allies kwamba Nazi Germany ilikuwa na jeshi bovu wakakuelewa, hata majenerali wa Ujerumani walisifiwa na kuheshimiwa ingawa ni maadui. Upande mwingine, Waitaliano inakubalika walikuwa na jeshi yeboyebo.
Nimekupata 🙏🙏
 
Back
Top Bottom