Kuna uzi niliuliza 'kwani huyu hana pp ya USA' tumshtue Trump? Hii nchi kuna wajinga watamponza mtu soon.Taarifa ya hivi punde...
Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.
View attachment 3524678
KWA KINA:
Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".
Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.
Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.
Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.
Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
hahahahahahauah bro kwenye delta force hata ingekuwa siku ya idd wangefanya kazi tyuu, hivi wale mbwa waliokuwa wanadai password wamepewa?? kenge maji kabsaMahakama zinafanya kazi Jumamosi?
KWani unafikiri simu kutoks ubalizi wa USA ni za kihuni kama alizosema Ristam?Kama alivyosema rostam?(inapigwa simu tu)
Lakini kwa kuwa hii mumeipenda mnaihalalisha?
Double standard
💯Kama kuna mahali US amekosea, ni kuacha nchi kujitawala sijui kuwa na uhuru wa kujiamulia mambo yake ya ndani, huu upuuzi umesababisha kuwa na viongozi makatili mno kwenye nchi nyingi hasa za kiafrika. US anatakiwa arudi kwenye nafasi yake. Nchi zirudi kwenye mstari wa demokrasia, ukienda kinyume inachukua hatua chap.
Kwani wewe unajuwa rais ni nani hasa ambaye unadhani anasingiziwa. Unamjuwa rais wewe?Lakini hii taarifa yako umeongeza chumvi sio kila kitu asingiziwe Rais bwa a
Watu wapuuzi kama huyu Kabuti, ukombozi wa Tanzania utakapokamilika inafaa siku moja wawekwe hadharani waTanzania wawazomee, na wanaotaka, hata kuwatemea mate wakitaka.TOKA MAKTABA :
Prof. Palamagamba Kabudi - Kwa wivu mkubwa wa soveriniti , kamwe hatutapiga magoti !
“NASEMA KAMWE HATUTAPIGA MAGOTI, TUMEONA VIHOJA VYAO”-WAZIRI KABUDI
View: https://m.youtube.com/watch?v=kifc7RT840A
Hawa, kuna siku yao ikifika wasiachwe. Ni muhimu wakumbushwe nafasi zao walizochangia katika udhalilishaji wa waTanzania.TOKA MAKTABA
Jeuri ya Prof. Palamagamba Kabudi akibagaza komenti za watu wa mitandao na matamko ya mabeberu
TAMKO ALILOLITOA WAZIRI KABUDI LEO "TANZANIA ITACHAGUA HESHIMA BADALA YA FEDHA AU MISAADA"
View: https://m.youtube.com/watch?v=QaZ5VGvpemc
Hahahahah kina cha wamarekani hakipimwi kwa ruler!Nywi nywi nywi haivuki border kumbe 😹
Polisi mngeendelea kumshikilia bhana kama wengine tuone ufanisi wenu kwa Wamarekani..!!
Ngoja niutafute.. kuna manzi angu yupk huko mwaka wa 13 sasa. Acha nisemezane nae, maana yeye ashaukwaa.Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
P
Hakika, yaani kuna nchi hapa duniani, kuzaliwa tu humo, tayari una uhakika wa maishaKama angekuwa si wa marekani basi saa hizi ni bwana alitoa na bwana ametwaa
Truehao venuzera wenyew wameshindwa kumtoa maduro mpk trump kaja kumtoa, Ishu sio unyonge tatizo wanatumia vyombo vya ulinzi kupambana na raia na raia hao hao hawana silaha yoyote
vipi umeanza kufua boxaHivi lile sinema lao la mwanajeshi feki wa Marekani mwenye suti kama wachungaji wa Mbeya iliishia wapi??
Bongo kweli nyosoooo 😹😹😹😹
Na jina lake lihimidiweKama angekuwa si wa marekani basi saa hizi ni bwana alitoa na bwana ametwaa
Na hukumu au Maamuzi ya siku hiyo yalikuwaje ?Alipelekwa mahakamani tarehe 31 december 2025. Get your facts right.
Sikumbuki vizuri, maana hakuna kesi hapo bali ni kumkomoa huyo jamaa. Katika mazingira hayo usitegemee utaratibu halisi kufuatwa.Na hukumu au Maamuzi ya siku hiyo yalikuwaje ?
Huyu watamtengenezea ajali sio kwa njia ya mahakamaAise! Inaonekana hata Mange Kimambi akisema akanyage Tanzania hawatamgusa!
Kiukweli kuwa raia wa nchi zinazojitambua, it's a very big deal,
US passport imemuokoa, bila hivyo, saa hizi...zamaani!.
Bwana asifiwe
Nakubaliana na wewe.... Kwasasa viongozi wetu wamukuwa Dracula. Kupoteza uhai wa mtu hawaoni shida..... Wanasahau kuwa wote tutakufa.....