Thadei Kweka aachiwa huru

Thadei Kweka aachiwa huru

Hivi na yule waliyesungizia ni Mwajeshi wa marekani kakamatwa na mabomu vipi#

Dah serikali zetu za kiafrika Zina movie za kishamba sana ,USA soldier kwanza akifanya makosa Kwa Sheria zao anashitakiwa marekani tu si vinginevyo
Mwigulu alikuwa anajitekenya na kucheka mwenyewe hakukuwa na kitu kama hicho.😚
 
Unaishi nchi inalinda uhai wa watu wake kokote kwa namna yoyote hadi una feel proud. Sisi Watanzania tunahitaji kurudi kwenye misingi! Kwasasa uzalendo ni kuunga mkono serikali ya CCM bila kujali uovu wao! Hapana lazima tujiulize upya!
Enzi za awamu ya 5 ulikuwa Pro- government, naona kwa sasa umeamua kuasi mfumo kama ndugu zako kina Idugunde Mzee Mwanakijiji

Kwa Sasa kina Stuxnet gallow bird Lusungo wamechukua nafasi zenu.

Kweli Kila masika ina mbu wake.
 
Kuna jambo haliko sawa hapa.

Nimesoma michango yote hapa zaidi ya ishirini, yote ikisifu na kushangilia Marekani kuwa na nguvu za kuwatia jambajamba hawa waovu.
Sikuona hata mchango mmoja tu ukisema nguvu waliyonayo waTanzania ya kuwatia adabu mashetani hawa!

Inamaana waTanzania kwa ujumla wetu wote ni wanyonge sana!

Hivi kweli tutasubiri wamarekani na wa aina hiyo ndio waje hapa kutuondoa kwenye utumwa huu?

Tuwape nini hao wamarekani waweze kuona kuwa tuna umuhimu wa wao kuja kutuokoa?

Au tuseme hivi: kwa nini tusitumie fursa hii ya kumwokoa Kweka kwa sisi wenyewe kuwaonyesha hao wakubwa kwamba tunahitaji kuungwa mkono tu katika juhudi zetu wenyewe za kujiokoa?

Ni fikra tu zinavuruga kichwa.
hao venuzera wenyew wameshindwa kumtoa maduro mpk trump kaja kumtoa, Ishu sio unyonge tatizo wanatumia vyombo vya ulinzi kupambana na raia na raia hao hao hawana silaha yoyote
 
Taarifa ya hivi punde...

Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.

View attachment 3524678

KWA KINA:

Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".

Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.

Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.

Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.

Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
Ukiishii marekani lazima afya iwe juu...

Jamaa ana afyaa marekani sio ARDHI ya wanyongeeee
 
Taarifa ya hivi punde...

Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.

View attachment 3524678

KWA KINA:

Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".

Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.

Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.

Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.

Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
aliyetoa maagizo akamatwe YEYE ili twende sawa!
 
hao venuzera wenyew wameshindwa kumtoa maduro mpk trump kaja kumtoa, Ishu sio unyonge tatizo wanatumia vyombo vya ulinzi kupambana na raia na raia hao hao hawana silaha yoyote
Nakuelewa vyema, na mfano wa Venezuela uliotoa wewe ni freshi kabisa akilini mwa watu; lakini hujaeleza chochote kama mabadiliko kila sehemu yamewategemea wababe toka nje kuokoa/komboa nchi zao.
Hata sijui kama wewe ni mtoto wa jana, kutoweza kujuwa mifano kama Afrika Kusini; au hata ya karibu zaidi kama Madagascar na Bangladesh.

Kwa hiyo wewe unasubiri tu hadi hapo Marekani watakapojisikia kutaka kuwaondoa hawa wanaokuweka jela wewe?
Sasa ngoja nikuulize mwenyewe, unayo maslahi na hawa waovu, maana naona upo bize kabisa na kuwajengea ukuta wa kuwakinga wao!
Huna hata mchango mdogo tu, wa kuisaidia Tanzania iondokane na haramu hii; hata bila ya wewe kwenda huko unakokuogopa sana wasikuue?

Kwa fikrabbzako hizi ulizoonyesha hapa, nakuweka moja kwa moja kwenye kundi la waovu.
 
Taarifa ya hivi punde...

Mmarekani mwenye asili ya Tanzania ambaye alikamatwa huko Kilimanjaro kwa ‘maagizo toka juu’, ameachiwa huru jioni ya leo.

View attachment 3524678

KWA KINA:

Thadei Kweka ameachiwa huru leo January 3, 2026 baada ya kushikiliwa Polisi kwa siku 6 kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kupitia group la "What sup".

Thadei ambaye ni raia wa Marekani mwenye asili ya Tanzania alikamatwa December 28, 2025 usiku na kushikiliwa kituo kikuu cha Polisi (Central) Moshi. December 31, 2025 alipandishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi na kupewa AMRI ya kutoa password ya simu yake ili polisi waweze kupekua hilo group la "What sup" alikokuwa akifanya uchochezi.

Hata hivyo Thadei alisema hatambui "What sup" ni kitu gani na hana application ya aina hiyo kwenye simu yake. Pia alisema kutokana na unyanyasaji aliofanyiwa na polisi, alipoteza kumbukumbu ya mambo yake mengi ikiwemo password ya simu yake.

Ubalozi wa Marekani ulituma fomu maalumu (Consular Notification and Access Form) ambayo Thadei alitakiwa kusaini ili Serikali ya Marekani iweze kuwa "involved" kwenye kesi yake. Ni kawaida Marekani kufuatilia kesi yoyote inayohusu raia wake. Lakini polisi walikataa asisaini.

Jana Mawakili wa Thadei wali-file "Habeas corpus" ili kuwalazimisha Polisi wamfikishe mahakamani. Pia Ubalozi wa Marekani ukataka kujua kwanini Thadei hajasaini "Consular Notification and Access Form" ili waweze kufuatilia kesi yake. Haraka sana Tahdei akapewa fomu ya ubalozi akasaini jana, na leo ameachiwa huru
Sasa sirikali imlipe fidia ya nauli yake ya ndege na Kwa adha aliyopata ya kusherekea Mwaka Mpya akiwa mbali na watu alipokuja kusherekea nao na shughuli zingine za kifamilia
 
Back
Top Bottom