TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024

Tango73

JF-Expert Member
Dec 14, 2008
2,128
1,225
TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa midfilders ambao hushuka na kulinda goli na kusonga mbele kusaka goli kama wafanyavyo Yanga na Simba za sasa.
jamani tukae na kujiuliza nini haswa kitufanyacho tucheze pira la ngumbaru wakati wenzetu wote hata Namibia wako gawiza sana kiuwezo wa ufundi .
 
Nimekwazika sana, sirikali inachangia pesa nyingi na wadau wa soka pia ila wachezaji ovyo ovyo zaidi ni wananufaika wao binafsi kwa hizo fedha!!
Mby zaidi kuna huyo naodha wa taifa star, sijawahi elewa mchango wake hata siku moja.
Ye nikuja kurukaruka wanjani akimaliza anaondokea huko kwenda majuu😂
 
TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa midfilders ambao hushuka na kulinda goli na kusonga mbele kusaka goli kama wafanyavyo Yanga na Simba za sasa.
jamani tukae na kujiuliza nini haswa kitufanyacho tucheze pira la ngumbaru wakati wenzetu wote hata Namibia wako gawiza sana kiuwezo wa ufundi .
haibu ndio nini?
 
TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa midfilders ambao hushuka na kulinda goli na kusonga mbele kusaka goli kama wafanyavyo Yanga na Simba za sasa.
jamani tukae na kujiuliza nini haswa kitufanyacho tucheze pira la ngumbaru wakati wenzetu wote hata Namibia wako gawiza sana kiuwezo wa ufundi .
Mwinjaku.
 
Nimekwazika sana, sirikali inachangia pesa nyingi na wadau wa soka pia ila wachezaji ovyo ovyo zaidi ni wananufaika wao binafsi kwa hizo fedha!!
Mby zaidi kuna huyo naodha wa taifa star, sijawahi elewa mchango wake hata siku moja.
Ye nikuja kurukaruka wanjani akimaliza anaondokea huko kwenda majuu

Shida ni wachezaji was SSC. Mkitaka kufanikiwa msiweke wachezaji wa SSC

HAWAONI, wavivu kujutuma, ni uchocho, mpira wao ni slow sana
 
Sio kazi ya kocha wa taifa kukuza uwezo wa wachezaji wetu. Kosa lake ni kuchagua wachezaji kutokana na timu na maeneo wanayotoka na si kwa uwez wao.

mf, viungo wote walioitwa ni wagumu hakuna mbunifu pale hata mmoja lakini Awesu Awesu ameachwa sababu tu anatokea KMC Fc.
Pia mchezaji kama Kibu anakosaje nafasi ya kucheza kwenye hii timu?

SIjaona sababu ya msingi ya kuwaacha Kijili, Mzize na Ally Salim. Kwa sasa Ally Salim ni kipa bora kuliko wote wale walioitwa.
 
Sio kazi ya kocha wa taifa kukuza uwezo wa wachezaji wetu. Kosa lake ni kuchagua wachezaji kutokana na timu na maeneo wanayotoka na si kwa uwez wao.

mf, viungo wote walioitwa ni wagumu hakuna mbunifu pale hata mmoja lakini Awesu Awesu ameachwa sababu tu anatokea KMC Fc.
Pia mchezaji kama Kibu anakosaje nafasi ya kucheza kwenye hii timu?

SIjaona sababu ya msingi ya kuwaacha Kijili, Mzize na Ally Salim. Kwa sasa Ally Salim ni kipa bora kuliko wote wale walioitwa.
yule kocha hazimtoshi unamuacha vipi ALLY SALIM na kumuita METACHA MNATA wakati hata sisi wana yanga tu hatuna hamu nae alichotufanyia huko algeria
 
Nimekwazika sana, sirikali inachangia pesa nyingi na wadau wa soka pia ila wachezaji ovyo ovyo zaidi ni wananufaika wao binafsi kwa hizo fedha!!
Mby zaidi kuna huyo naodha wa taifa star, sijawahi elewa mchango wake hata siku moja.
Ye nikuja kurukaruka wanjani akimaliza anaondokea huko kwenda majuu😂
Unataka hizo hela zibadilishe uwezo wao?
ficha ujinga wako
 
TFF iondoke madarakani haraka sana la sivyo tusiandae AFCON 2024. TFF inabeba lawama zote za mpira mbovu waoneshao taifa stars huko Abidjan Ivory cost. Huyu kocha anashindwa hata kukuza uwezo wa midfilders ambao hushuka na kulinda goli na kusonga mbele kusaka goli kama wafanyavyo Yanga na Simba za sasa.
jamani tukae na kujiuliza nini haswa kitufanyacho tucheze pira la ngumbaru wakati wenzetu wote hata Namibia wako gawiza sana kiuwezo wa ufundi .
Hakuna Afcon ya 2024 imekua ligi hiyo?
 
Yanga ingeenda badala Taifa Stars Afcon, Tanzania ingewashangaza watu.
 
Sio kazi ya kocha wa taifa kukuza uwezo wa wachezaji wetu. Kosa lake ni kuchagua wachezaji kutokana na timu na maeneo wanayotoka na si kwa uwez wao.

mf, viungo wote walioitwa ni wagumu hakuna mbunifu pale hata mmoja lakini Awesu Awesu ameachwa sababu tu anatokea KMC Fc.
Pia mchezaji kama Kibu anakosaje nafasi ya kucheza kwenye hii timu?

SIjaona sababu ya msingi ya kuwaacha Kijili, Mzize na Ally Salim. Kwa sasa Ally Salim ni kipa bora kuliko wote wale walioitwa.
Ao walioteuliwa ndio afadhali kidogo lakini kwa Level inayochezwa AFCON ni sahihi alivyo sema kocha tunakwenda kujifunza.

Hatuna wachezaji hata mmoja wa kushindana tuna wachezaji wa kushiriki.
Ni kama tunavyo wacheka Zalani ya South Sudan wakijabkushiriki mashindano ya klabu bingwa Afrika apa DSM dhidi ya timu zetu Pendwa.

Kinachohitajika ni kuandaa miundombinu na walimu kuanzia grassroot uko.
Uwe mkakati maaluma ambao Serikali inahitajika iweke fedha ya kutosha (billions) na wasimamizi makini na uwe mpango endelevu.

Tuki Fanya hivyo tutapata matunda miaka 8/10 ijayo.
Kwasasa Mashindano ya AFCON ni kujidanganya kwenda na level ya Mwamyeto, Kibu n.k kwenda kushindana sio kweli.
Angalia Senegal anavyo mtesa Cameroon,vijana wadogo 20/26 wamoto, wanakimbiza hatari.
Cheki Morocco, vijana wadogo 20/26 wanakimbiza muda wote.
Kama hatutaki kuweka fedha basi tusi lalamike.
Tunashiriki kwa mara ya tatu hatujawahi kupata point 3.
 
Ao walioteuliwa ndio afadhali kidogo lakini kwa Level inayochezwa AFCON ni sahihi alivyo sema kocha tunakwenda kujifunza.

Hatuna wachezaji hata mmoja wa kushindana tuna wachezaji wa kushiriki.
Ni kama tunavyo wacheka Zalani ya South Sudan wakijabkushiriki mashindano ya klabu bingwa Afrika apa DSM dhidi ya timu zetu Pendwa.

Kinachohitajika ni kuandaa miundombinu na walimu kuanzia grassroot uko.
Uwe mkakati maaluma ambao Serikali inahitajika iweke fedha ya kutosha (billions) na wasimamizi makini na uwe mpango endelevu.

Tuki Fanya hivyo tutapata matunda miaka 8/10 ijayo.
Kwasasa Mashindano ya AFCON ni kujidanganya kwenda na level ya Mwamyeto, Kibu n.k kwenda kushindana sio kweli.
Angalia Senegal anavyo mtesa Cameroon,vijana wadogo 20/26 wamoto, wanakimbiza hatari.
Cheki Morocco, vijana wadogo 20/26 wanakimbiza muda wote.
Kama hatutaki kuweka fedha basi tusi lalamike.
Tunashiriki kwa mara ya tatu hatujawahi kupata point 3.
AFCON hii timu nyingi zinacheza vibaya, tungechagua vizuri wachezaji tungeshindana. Hadi sasa timu ambazo nimeziona zina mpira mzuri ni Cape Verde, Misri na Morocco basi, hao wengine ni majina tu.
 
Nimekwazika sana, sirikali inachangia pesa nyingi na wadau wa soka pia ila wachezaji ovyo ovyo zaidi ni wananufaika wao binafsi kwa hizo fedha!!
Mby zaidi kuna huyo naodha wa taifa star, sijawahi elewa mchango wake hata siku moja.
Ye nikuja kurukaruka wanjani akimaliza anaondokea huko kwenda majuu😂
Samatta kaisha sijui wanamng'ang'ania nini.
 
AFCON hii timu nyingi zinacheza vibaya, tungechagua vizuri wachezaji tungeshindana. Hadi sasa timu ambazo nimeziona zina mpira mzuri ni Cape Verde, Misri na Morocco basi, hao wengine ni majina tu.
Kwamba Senegal Hana mpira mzuri

Congo Hana mpira mzuri

Cape Verde imekuwa timu ya Kwanza kutinga hatua ya mtoano na yenyewe Haina mpira mzuri.


Una kichaa wewe
 
Back
Top Bottom