MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
ANGALIZO
Tafadhali kisibadilishwe na pia Kicheze kama ambavyo nimekipanga kwani Kiunyangindo kimeonyesha Mafanikio na tutashinda mechi zilizobakia.
Kikosi cha Kuanza kiwe hiki tu....
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Yassin Mustafa
4. Ibrahim Ame ( kama bado hajapona aanze Dickson Job )
5. Bakari Mwamnyeto
6. Erasto Nyoni ( kama bado hajapata ruhusa ya Vipimo vya CORONA aanze Feisal Salum )
7. Deus Kaseke
8. Said Ndemla
9. Ditram Nchimbi
10. John Boko ( kama bado hajawa vizuri Kiafya aanze Adam Adam )
11. Farid Mussa ( na huyu asibadilishwe hadi dakika zote 90 kwani ndiyo atakuwa mwiba kwa Wapinzani au Kutufungia pia )
Wachezaji wa Akiba wawe hawa tu....
1. Juma Kaseja
2. Edward Manyama
3. Dickson Job
4. Feisal Salum
5. Adam Adam
6. Lucas Kikoti
7. Ayoub Lyanga
Sihitaji malipo yoyote kwa Unyangindo ( Ushirikina ) nilioufanya hapa Nyumbani Pemba ninapoishi kwani nimejitolea Kuipigania Tanzania yangu. Naomba kwa aliye karibu na Rais wa TFF Karia au Katibu Mkuu Kidao au Msemaji Ndimbo au Benchi la Ufundi la Taifa Stars wawafikishie upesi mno huu Uzi wangu na hasa hasa hiki Kikosi kwani nina uhakika nacho na Kikipangwa kama nilivyokipanga hapa Watanzania wote kuanzia leo tutafurahi na kusahau Machungu yote kwani Namibia leo na Guinea wiki ijayo watakufa ( watafungwa ) mapema tu.
Nahodha wa leo ahakikishe sana tunaanzia Goli la Kusini ili mwisho tuje kumalizia la Kaskazini na ule Mzigo ( Hirizi ) leo avalishwe Farid / Deus tu.
Tafadhali kisibadilishwe na pia Kicheze kama ambavyo nimekipanga kwani Kiunyangindo kimeonyesha Mafanikio na tutashinda mechi zilizobakia.
Kikosi cha Kuanza kiwe hiki tu....
1. Aishi Manula
2. Shomary Kapombe
3. Yassin Mustafa
4. Ibrahim Ame ( kama bado hajapona aanze Dickson Job )
5. Bakari Mwamnyeto
6. Erasto Nyoni ( kama bado hajapata ruhusa ya Vipimo vya CORONA aanze Feisal Salum )
7. Deus Kaseke
8. Said Ndemla
9. Ditram Nchimbi
10. John Boko ( kama bado hajawa vizuri Kiafya aanze Adam Adam )
11. Farid Mussa ( na huyu asibadilishwe hadi dakika zote 90 kwani ndiyo atakuwa mwiba kwa Wapinzani au Kutufungia pia )
Wachezaji wa Akiba wawe hawa tu....
1. Juma Kaseja
2. Edward Manyama
3. Dickson Job
4. Feisal Salum
5. Adam Adam
6. Lucas Kikoti
7. Ayoub Lyanga
Sihitaji malipo yoyote kwa Unyangindo ( Ushirikina ) nilioufanya hapa Nyumbani Pemba ninapoishi kwani nimejitolea Kuipigania Tanzania yangu. Naomba kwa aliye karibu na Rais wa TFF Karia au Katibu Mkuu Kidao au Msemaji Ndimbo au Benchi la Ufundi la Taifa Stars wawafikishie upesi mno huu Uzi wangu na hasa hasa hiki Kikosi kwani nina uhakika nacho na Kikipangwa kama nilivyokipanga hapa Watanzania wote kuanzia leo tutafurahi na kusahau Machungu yote kwani Namibia leo na Guinea wiki ijayo watakufa ( watafungwa ) mapema tu.
Nahodha wa leo ahakikishe sana tunaanzia Goli la Kusini ili mwisho tuje kumalizia la Kaskazini na ule Mzigo ( Hirizi ) leo avalishwe Farid / Deus tu.