TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

SIONI TATI

ZO HAPO BRO MANA UMETOA INSTAGRAM, SASA JF NA INSTA WAPI PANA USHAWISH MKUBWA? INSHORT NACHO SHAURI HAYA MAMBO YASIPUUZIWE KABISA OKTOBA 29 HAIKUDHANIWA KUFIKA HAPO, NINESIKIA MKUNDA ANADAI JESHI LITAINGILIA KATI BADO NA MASWALI YASIYO NA MAJIBU, MUDA UTAONGEA KUNA MEMBER HUM HUS MA, TANZANIA HAITARUDI KAMA ZAMANI, ISHA HARIBIKA
Kama katamka hivyo kunakaribia kupambazuka maana
Hilo sio tamko binafsi
Sio tamko la kisiasa
Sio tamko la bahati mbaya
 
Bahati mbaya watakaoyapata maumivu halisi ya vita wengi ni wananchi wa kawaida wasio na pesa wasio na ulinzi wowote. Kwa hali hiyo waitakayo ndipo wabongo wataanza kulia wakikumbuka old days of peace.
Mungu tuepushie mbali hili janga.
Kwa yote haya ccm hawawezi kukosa kulaumiwa!! Ccm ndiyo walio tufikisha hapa tulipo!!

Na MACHAWA ndiyo wanaoongeza Petrol kwenye moto!!!
 
Hawana lolote hao Tff n content creator wa mtandaoni Sion maajabu yoyote kwao
Usiudharau Mwiba, Guu litaota tende.

Siipendi CCM KABISA, ila siungi mkono aslan matumizi ya silaha ili kuiondoa madarakani.
Njia hiyo ina màdhara makubwa mno na maumivu ya muda mrefu kwa wananchi wa kawaida.
Mifano ya nchi zilizotumia njia hiiyo na madhara yake ni nyingi. TUSIDHUBUTU KULAMBA SUMU..!!

Njia tunayotumia kwa sasa ni sahihhji japo itachukua muda.
Tuendelee kupambana, tusikate tamaa.
 
Kama katamka hivyo kunakaribia kupambazuka maana
Hilo sio tamko binafsi
Sio tamko la kisiasa
Sio tamko la bahati mbaya
BIG BROTHER ALEX hii habari ni ya kweli? Kama ni ya kweli hamuoni kuwa huyo Mkunda anataka kutuliza wananchi ili kuzima hasira za mauaji ya 29/10? Kwa nini wasitake wale wote ambao walitekwa kabla ya uchaguzi warudishwe mara moja na waliowateka wawajibishwe? Mimi huwa siamini kabisa matamko ya CCM and co... Mshana Jr hata hili la kuanzisha kikundi linaweza kuwa ni mpango wa CCM kuwafanya wananchi watulize hasira zao. Wajuzi wa mambo husema ''wasiwasi ni akili''.
 
Usiudharau Mwiba, Guu litaota tender.

Siipendi CCM KABISA, ila siungi mkono aslan matumizi ya silaha ili kuiondoa madarakani.
Njia hiyo ina màdhara makubwa mno na maumivu ya muda mrefu kwa wananchi wa kawaida.
Mifano ya nchi zilizotumia njia hiiyo na madhara yake ni nyingi. TUSIDHUBUTU KULAMBA SUMU..!!

Njia tunayotumia kwa sasa ni sahihhji japo itachukua muda.
Tuendelee kupambana, tusikate tamaa.
Kuna nchi nyingi tu madiktekta waliondolewa kwa njia ya silaha na baadae zikakaa vizuri. Sasa hivi CCM imeshafikia hatua ambayo iko tayari kuua hata watanzania wote ili tu ibaki. Kilichotokea tarehe 29/10 na haya wanayofanya sasa hivi kufikia hatua ya waziri kutukejeli na magari ya kifahari kuliko hata waziri wa nchi zinazotupa misaada kinaonyesha kabisa hawaogopi tena yeyote na wamejindaa kwa kila namna.
 
BIG BROTHER ALEX hii habari ni ya kweli? Kama ni ya kweli hamuoni kuwa huyo Mkunda anataka kutuliza wananchi ili kuzima hasira za mauaji ya 29/10? Kwa nini wasitake wale wote ambao walitekwa kabla ya uchaguzi warudishwe mara moja na waliowateka wawajibishwe? Mimi huwa siamini kabisa matamko ya CCM and co... Mshana Jr hata hili la kuanzisha kikundi linaweza kuwa ni mpango wa CCM kuwafanya wananchi watulize hasira zao. Wajuzi wa mambo husema ''wasiwasi ni akili''.
Nimekupata vema ila kwa Bali ilivyo katika uhalisia wake kuna mkanyanyiko mkubwa kila mahali na ccm imebaki jina tuu
 
Ilianza kama utani mitandaoni lakini ni wazi ni kitu kinachojijenga katika uhalisia wake
TFF (Tanganyika Freedom Fighters) Wapigania Uhuru Tanganyika (WAUTA)
Mwansilishi halisi hajulikani mpaka sasa lakini ni wazi ni kundi lenye vinasaba vyote na Gen-Z hasa baada ya yote yaliyotokea 0ctober 29 mpaka Nov 3 na mwendelezo wake
Ni kundi lenye lengo la kuikomboa Tanganyika toka mikononi mwa ccm (kundi la wachache) kupitia njia mbadala badala ya kwenye sanduku la kura kushindikana
Ni kundi linalozidi kujizolea umaarufu lakini lisilo na anuani rasmi mpaka sasa.. Na hata idadi ya wanachama haijulikani

Baadhi wanaliita ni kundi la waasi lakini hilo jina linazidi kukosa nguvu huku kundi la ukombozi likizidi kupata nguvu
Ukifuatilia mitandaoni ni kundi lenye uasisi chini ya Kapteni Tesha anayesemekana yuko hai, yuko salama nje ya Tanganyika, akiwa na support ya wanajeshi kadhaa walioasi jeshi na kwenda kuungana naye kuunda TFF
Inasemekana pia lina support kubwa ndani ya jeshi na ndani ya vyombo vingine vya usalama ambao hawakubaliani na yaliyotokea kwenye uchaguzi mkuu na yanayoendelea kutokea

Ukiacha hao kuna kundi kubwa la vijana wenye mwelekeo wa kulikubali kundi hilo kwa asilimia 100

Je ukweli wa TFF ni upi? Ni halisi au ni dhanifu?

Waswaheli wanasema lisemwalo lipo kama halipo linakuja!
Tuupe muda wakatiView attachment 3543647
Mbinu zozote zitatumika kuikabili Sisiemu na uchafu wake. Tupo tunaangalia na kushiriki ipasavyo kwenye Mapambano dhidi ya Sisiemu na uchafu wake.
 
20260216133739_-700642152_6053798798390053767_640_513_85_webp(1).png
 
BIG BROTHER ALEX hii habari ni ya kweli? Kama ni ya kweli hamuoni kuwa huyo Mkunda anataka kutuliza wananchi ili kuzima hasira za mauaji ya 29/10? Kwa nini wasitake wale wote ambao walitekwa kabla ya uchaguzi warudishwe mara moja na waliowateka wawajibishwe? Mimi huwa siamini kabisa matamko ya CCM and co... Mshana Jr hata hili la kuanzisha kikundi linaweza kuwa ni mpango wa CCM kuwafanya wananchi watulize hasira zao. Wajuzi wa mambo husema ''wasiwasi ni akili''.
Fact
 
Back
Top Bottom