TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

TFF: Dhana dhanifu ama halisi?

Ni sahihi kabisa, mara zote huwa mwangalifu kuwa neutral, however nashauri kidogo uongeze umakini kuleta Hoja kama hizi kabla hazijawa public agenda, delay kidogo, nakuwa mwoga tu, sio vingine!
Asante sana mkuu.. Nauzingatia na kuuchukulia ushauri wako kwa uzito wake
 
SIONI TATI
Nimeleta kama hoja jadilifu kutokana na yale yanayoendelea mitandaoni. Nmekuwa mwangalifu mno wa kuchagua maneno ya kuandika illi kuepuka kufikiriwa vinginevyo
Ni aina ya mada ambayo inaweza kuamsha mjadala wenye tija utakaolisaidiq taifa kutoingizwa kwenye machafuko
ZO HAPO BRO MANA UMETOA INSTAGRAM, SASA JF NA INSTA WAPI PANA USHAWISH MKUBWA? INSHORT NACHO SHAURI HAYA MAMBO YASIPUUZIWE KABISA OKTOBA 29 HAIKUDHANIWA KUFIKA HAPO, NINESIKIA MKUNDA ANADAI JESHI LITAINGILIA KATI BADO NA MASWALI YASIYO NA MAJIBU, MUDA UTAONGEA KUNA MEMBER HUM HUS MA, TANZANIA HAITARUDI KAMA ZAMANI, ISHA HARIBIKA
 
Mwenye kufahamu namna ya kujiunga na Hilo kundi anielekeze.Maana nimepigana vita urusi dhidi ya Ukraine na Bado Nina mzuka wa vita ya ukombozi.
Vita vya urusi au vita vya panzi? Kama unataka kujiunga na upepo naweza kukuelewa ila kama ni tff inayosemwa mtafute jamali malinzi akuunganishe!!
 
sipendi yanayotendeka nchi hii, ila zaidi sitaki kuona hili taifa linakua uwanja wa vita, maana athali hazitawapata hao mafisadi bali sisi wananchi wa kima cha chini, wakati huo wao watakua wameshakimbilia oman,

Djs tunaomba utusindikize na ule wimbo uliyoimbwa na wamakonde wawili,
"bora ugali dagaa kwenye amani,kuliko wali nyama vitani".
Unajua ''uwanja wa vita'' utasababishwa na nani? 1. Ndugu yako anatekwa bila sababu na ukilalamika na wewe unauawa 2. Ndugu zako wakitaka kumuondoa aliyekuteka kwa kura na amani nao wanauawa. 3. Wanaobaki wakilalamika na wenyewe wanauawa.
 
Kuogopa ogopa vita ndio kunafanya,, kina Bashite watembelee ma Bentrey ya Bilioni kwa kodi zetu,, wakati ni huu wakati ni sasa,, kiwake tu
 
Back
Top Bottom